bab-D
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 1,215
- 322
We hapo umeshatobozea, jitahidi dawa tu, mimi niliwahi kufuga kuku wakafika 57, nikajisahau kuendeleza dawa, kilicho nikuta kila siku nikawa nakula kuku tatu hadi nne nanyingine kutupa, toka hapo hadi leo sijajipanga kufuga ingawa moyo ninao,pia kama una alovela wapatie uwezavyo ila isichukue zaidi ya siku nne mwaga na weka tena, pia otc ya unga inasaidia, pia dawa ya viroboto hakikisha viroboto haviwapati, safisha banda kila siku, hapo watasema unadawa, pamoja mkuu