Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

Ahsante Reti , Nami nimeanza kupatwa wasiwasi wa chakula ninatumia zaidi concentrate nachanganya na pumba za kawaida. Je ni sahihi?

Ok, Layers concentrate ni sawa, inashauriwa 25kg C.L/40-50kg za pumba, unaweza ongeza na DCP kidogo. say vijiko 10 vya chakula kwa kg 70 za chakula.
 
Ok, Layers concentrate ni sawa, inashauriwa 25kg C.L/40-50kg za pumba, unaweza ongeza na DCP kidogo. say vijiko 10 vya chakula kwa kg 70 za chakula.

Ahsante Mkuu RETI, DCP nini nini?
 
Ahsante Mkuu RETI, DCP nini nini?

Asante, Labda nikushauri ku-google usome kazi zake zaidi kwa mifugo yote. Ila kikubwa inasaidia mifupa, mayai kuimarika pamoja na kifaranga atakayetoka, kuzuia kudonoana au kula mayai n.k
 
Kaka mkuu, hali yako kwanza? Mi swali langu lita diverge kidogo, ni kuwa ningependa kujua njia tofauti tofauti juu ya kuliface tatizo kubwa la kuku wa kienyeji, la ugonjwa ambao husababisha vifo vyao kwa wingi, je kuna njia gani mbadala huwa zinatumika? Asante.

Mkuu magonjwa yapom sana ila suluhisho pekee ni kufuata mashaiti kama vile kuwachanja, kuwpa Chakula Bora chenye virutubisho, sehmu nzuri ya kulala, n kazalika mimi nazani hayo yakifuatwa magonjwa kwa kweli hayatakuwepo

Tatizo kuw ni sisi kushindwa kuzingaia kanuni bora z kufuga hawa kuku
 
Ni kweli kuku wa kienyeji ni dili sana lkn ingekuwa vyema ungenieleza the whole process from begin mpk kukuwa kwake kitaalamu kwani huwa wanakufaga sana kwa ugonjwa wa "Mdondo" huu ugonjwa ni adui mkubwa sana kwa maendeleo kwa kuku wa kiswahili!



usipate shida ........... dawa ya MDONDO kwa kuku wa kiswahili ni UGORO ...........unawachanganyia kwenye maji
na yule anayeumwa .... unamshika na kumnywesha. Atapona.

Pia anayeumwa mpe dozi ya pilipili .......nzima asubuhi .........nzima mchana .......... na nzima jioni. I tell you within a day or two kuku wako atakuwa mzima.

Mimi nime - experience hivi vyote na niliwapa kuku wangu WAKAPONA!!!
 
Wewe mtu!
Mdondo ni virus inachanjo tu kinyume na hapo ni kupoza tu sio tiba. Mtoa hoja chanjo ipo fuata maelezo tu
usipate shida ........... dawa ya MDONDO kwa kuku wa kiswahili ni UGORO ...........unawachanganyia kwenye maji
na yule anayeumwa .... unamshika na kumnywesha. Atapona.

Pia anayeumwa mpe dozi ya pilipili .......nzima asubuhi .........nzima mchana .......... na nzima jioni. I tell you within a day or two kuku wako atakuwa mzima.

Mimi nime - experience hivi vyote na niliwapa kuku wangu WAKAPONA!!!
 
Shukrani Kubota kwa kuanzisha huu uzi, na wachangiaji wengine mliochangia mbarikiwe!!!!!

Mie na swali kidogo,

nina kuku alitaga nje ya banda lao, alivyoanza kutamia nilimuhamisha usiku kumpeleka ndani ya banda(mahala nilipotengeneza kwa ajili ya kutania (kulalia), HAKULALIA yale mayai, kesho yake nikamrudisha pale alipokuwa ametaga/ametamia, aliendelea kutamia.

tatizo linakuja hiki ni kipindi cha mvua nilijaribu kumuwekea bati ili mvua ikinyesha asiloane, ila na wasiwasi endapo mayai yakipata maji yataharibika???

swali la pili, najitahidi kufuga ila kuku wanapoanguliwa ni kwa nini wiki ya pili tu wanakuwa wanapata viuvimbe machoni, na kwenye pua zao?? nilijaribu kuuliza nikaambiwa ni ndui, so napenda kujua kuna kinga ya ndui?? na kama ipo natakiwa niwape kuku wakiwa na umri gani??
 
Shukrani Kubota kwa kuanzisha huu uzi, na wachangiaji wengine mliochangia mbarikiwe!!!!!

Mie na swali kidogo,

nina kuku alitaga nje ya banda lao, alivyoanza kutamia nilimuhamisha usiku kumpeleka ndani ya banda(mahala nilipotengeneza kwa ajili ya kutania (kulalia), HAKULALIA yale mayai, kesho yake nikamrudisha pale alipokuwa ametaga/ametamia, aliendelea kutamia.

tatizo linakuja hiki ni kipindi cha mvua nilijaribu kumuwekea bati ili mvua ikinyesha asiloane, ila na wasiwasi endapo mayai yakipata maji yataharibika???

swali la pili, najitahidi kufuga ila kuku wanapoanguliwa ni kwa nini wiki ya pili tu wanakuwa wanapata viuvimbe machoni, na kwenye pua zao?? nilijaribu kuuliza nikaambiwa ni ndui, so napenda kujua kuna kinga ya ndui?? na kama ipo natakiwa niwape kuku wakiwa na umri gani??

ndui dawa yake ni mafuta ya alizet
 
paka kichwan apo kwenye vidonda, rudi nyuma ya hi thread kuna mahal imeandikwa vizuri Kubota
 
Last edited by a moderator:
mafuta ya alizet nayafanyia nini?? nawapaka kwenye vile viuvimbe?, naweka kwenye maji/chakula au?? naomba ufafanuzi tafadhali!

Soma thread yote mkuu. Kukurahisishia tu unapaka mafuta kwenye uvimbe, ikiwezekana hata ukipaka kichwa chote haina ubaya.
 
Shukrani Kubota kwa kuanzisha huu uzi, na wachangiaji wengine mliochangia mbarikiwe!!!!!

Mie na swali kidogo,

nina kuku alitaga nje ya banda lao, alivyoanza kutamia nilimuhamisha usiku kumpeleka ndani ya banda(mahala nilipotengeneza kwa ajili ya kutania (kulalia), HAKULALIA yale mayai, kesho yake nikamrudisha pale alipokuwa ametaga/ametamia, aliendelea kutamia.

tatizo linakuja hiki ni kipindi cha mvua nilijaribu kumuwekea bati ili mvua ikinyesha asiloane, ila na wasiwasi endapo mayai yakipata maji yataharibika???

swali la pili, najitahidi kufuga ila kuku wanapoanguliwa ni kwa nini wiki ya pili tu wanakuwa wanapata viuvimbe machoni, na kwenye pua zao?? nilijaribu kuuliza nikaambiwa ni ndui, so napenda kujua kuna kinga ya ndui?? na kama ipo natakiwa niwape kuku wakiwa na umri gani??

Mkuu Ankojei kesha kudokeza ipasavyo juu ya tatizo la ndui. Chanjo ya ndui kiutaalamu ipo ila sijawahi kuona ikiuzwa Tanzania! Kinachofanyika ni kutibu dalili zinapojitokeza. Suala la ndui nimeliongelea tayari huko kwenye post zilizopita kuhusu magonjwa fuatilia upate simulizi kwa mapana na marefu yake.

Kuku anaeatamia kama maji ya mvua yakiyafikia mayai yanaweza yasitotolewe kwa vile huwa ni rahisi kushambuliwa na vimelea vya magonjwa. Jitahidi umwekee bati! Kuku wengi hukubali kuhamishwa usiku, lakini kuna wachache huwa wanakataa, ni budi uwatambue kuku wanaokubali kuhamishwa kirahisi na endeleza kizazi chao, kuku wakorofi uza!
 
Mkuu Ankojei kesha kudokeza ipasavyo juu ya tatizo la ndui. Chanjo ya ndui kiutaalamu ipo ila sijawahi kuona ikiuzwa Tanzania! Kinachofanyika ni kutibu dalili zinapojitokeza. Suala la ndui nimeliongelea tayari huko kwenye post zilizopita kuhusu magonjwa fuatilia upate simulizi kwa mapana na marefu yake.

Kuku anaeatamia kama maji ya mvua yakiyafikia mayai yanaweza yasitotolewe kwa vile huwa ni rahisi kushambuliwa na vimelea vya magonjwa. Jitahidi umwekee bati! Kuku wengi hukubali kuhamishwa usiku, lakini kuna wachache huwa wanakataa, ni budi uwatambue kuku wanaokubali kuhamishwa kirahisi na endeleza kizazi chao, kuku wakorofi uza!

Hongera kwa kazi nzuri,
Mkuu chanjo ya ndui ipo huwa ni dawa mbili zinachanganywa na zipo kwny vichupa vidogo sana, chanjo hutolewa kwa njia ya sindano sehemu fulani maalum kwenye bawa (mimi huwa nachanja mwenyewe maana nishazoea sasa). Chanjo hutolewa vifaranga wakiwa na miezi 2 kamili ili vifaranga wawe na nyama nyama kwenye bawa.

Kwa kifaranga aliyetunzwa vizuri hawezi pata ndui kabla ya muda huo wakati mwingine hata baada ya hapo anaweza asipate ikiwa anatunzwa na kulishwa ipasavyo.
 
Asante mkuu RETI kwa elimu hii. Ila ni vizuri ukatupa hata jina la hiyo dawa, ili iwe rahisi kuitafuta humo madukani. Funguka RETI!Asante.
 
Asante mkuu RETI kwa elimu hii. Ila ni vizuri ukatupa hata jina la hiyo dawa, ili iwe rahisi kuitafuta humo madukani. Funguka RETI!Asante.

Inapatikana kwenye maduka ya dawa za mifugo, waambie tu "CHANJO YA NDUI". bei ni kati ya 10,000-12,00.

asante
 
Inapatikana kwenye maduka ya dawa za mifugo, waambie tu "CHANJO YA NDUI". bei ni kati ya 10,000-12,00.

asante

Mkuu Reti mimi sikujua kuhusu upatikanaji wake madukani afu unakuta msisitizo wa chanjo hiyo ya ndui umekuwa si mkubwa sana, asante Mkuu kwa kunijulisha hilo, ugonjwa wa ndui nao sasa utabaki historia kwenye ufugaji wangu, kwa hilo RETI nitakukumbuka daima.
 
Back
Top Bottom