Pole ila imarisha banda lako. Sasa mayai tu wanaingia na kula vifaranga vitakuwa salama? Tafuta hata bati used na chicken wire jenga simple na ufunge mlango saa zote. Ukiwa porini vicheche, ukiwa mjini paka na mbwa wa majirani. Jitaidi ukivuka hii changamoto utafanikiwa
Hivi mkuu wale wadudu wanaokula mayai mfano .vicheche au kenge dawa yao ni nini maana wamenitia hasara sana mayai km ishirini waliyala yote karibu wiki waweze kuangua iliniuma sana



