Ufugaji wa kuku wa kienyeji ni jambo linalowezekana

Ufugaji wa kuku wa kienyeji ni jambo linalowezekana

Practicality yake ndiyo ngumu. Ninafuga hao wa kienyeji kama 40 hivi. Chakula kinanitoa jasho. Kilo Moja ya mchanganyiko wa pumba, mashudu alizeti/ pamba, mahindi, lukina, dagaa ni elfu moja. Wakila kilo 5 a day for six months....na unauza unapata Nini?

Nina eneo kubwa kama nusu eka, lkn hakuna chakula maana ni jua hakuna wadudu wa kuokoteza. Mahotelini labda lkn na wenyewe watakuchoka unless unalipia matakataka hayo. Dampo huko siwezi...

Kibaya soko lake ni kama hakuna. Hapa kwetu mjini ni elfu kama sh 15-35...nani uswazi atoe Hela hiyo!

Nami nilivutiwa na story kama hizi, lkn Kuna shida kidogo Kwenye chakula. Magonjwa siyo kihivyo ukiwa makini na chanjo, vitamins, minerals etc etc
Uko sahihi....
 
chakula kitakutoa josho maana wanakula sana na hawakui haraka mpaka miezi 6 or so! hutaweza !
Ndomana nmesema baada ya majaribio kadhaa kaka nikikuonyesha kuku wangu wa kienyeji wa miezi mitatu unaweza kukataa ukazani ni wa miezi 6
IMG_20230831_091323_504.jpg
 
Ni jambo zuri cha muhim zingatia chanjo,fwatilia mwenendo wa ukuaji wa kuku na la muhimu tafuta mbinu sahihi kukupunguzia gharama za chakula
Nina mbinu nyingi sana na pia Nina eneo kubwa sana ambalo kuku jioni napomaliza shughuli zangu binafsi hua nawaachia huku na me nikiwa nawafatilia kwa karibu ,chanjo nipo makini sana
 
#Be positive mkuu, kila mwanadam anahtaj zaid faraja pas na kukatshwa tamaa. Ndugu yetu amejaribu yapaswa kumpa moyo il apge hatua zaid.

Kama ulijua tatzo n chakula kwann usimpe suluhu ya nn kfanyke il kutatua changamoto, neno #HUTAWEZA kweny uzi huu sio mahala pake.
Hakika mkuu
 
Practicality yake ndiyo ngumu. Ninafuga hao wa kienyeji kama 40 hivi. Chakula kinanitoa jasho. Kilo Moja ya mchanganyiko wa pumba, mashudu alizeti/ pamba, mahindi, lukina, dagaa ni elfu moja. Wakila kilo 5 a day for six months....na unauza unapata Nini?

Nina eneo kubwa kama nusu eka, lkn hakuna chakula maana ni jua hakuna wadudu wa kuokoteza. Mahotelini labda lkn na wenyewe watakuchoka unless unalipia matakataka hayo. Dampo huko siwezi...

Kibaya soko lake ni kama hakuna. Hapa kwetu mjini ni elfu kama sh 15-35...nani uswazi atoe Hela hiyo!

Nami nilivutiwa na story kama hizi, lkn Kuna shida kidogo Kwenye chakula. Magonjwa siyo kihivyo ukiwa makini na chanjo, vitamins, minerals etc etc
Mkuu bila shaka upo kwenye mazingira ambayo yanakubana lakini mimi nipo sehemu ambayo gunia la pumba linauzwa elfu12 na nje Kuna wadudu panzi na mchwa wa kutosha bora Ata mimi hua nawapa pumba kdg majirani zangu wao wanafungulia asubuhi na wanafungia usiku
Karibu
 
Mimi ni objective, scientific, sina longo longo. Kwenye science hakuna wengi Wape na kupeana moyo.
Nimesema shida ni chakula, kama anaweza pata chakula Cha bei nafuu kwa miezi kama 6 ( mpaka kukomaa kuuzwa) then let him go on!

Nawafuga and I have 40 or so, therefore I am talking from experience. Akiweza chakula Cha bei nafuu, then ni mradi mzuri maana Hauna risk ya magonjwa kama wa kisasa.
Soko unaweza kutafuta taratibu maana Kwa bei yake kubwa wateja wanakuwa kidogo.
All in all, ni vema kujaribu
Kaka njoo nikufundishe kumlisha kuku wa kienyeji akifikia miezi 3 watu wanamshangaa au wanasema sio kienyeji
 
Kama una eneo kubwa, waweke wawe free range wajitaftie chakula. What you do, asubuh unawawekea kidogo af unawaacha watafute, jioni wakikaribia kurudi unawawekea tena chakula kidogo af wanaenda kulala.
Same thing kwa vifaranga, wakimaliza mwezi unawaachia. Kwa kias fulani itapunguza gharama ya chakula.
Muhim uwe na fence na uhakikishe hawali mavi. Pia vicheche ni hatari.
All in all kila.la kheri mkuu
Wakila mavi wanafanyaje?
 
Kaka njoo nikufundishe kumlisha kuku wa kienyeji akifikia miezi 3 watu wanamshangaa au wanasema sio kienyeji
mbona nitashukuru. basi weka hapa wote tufaidike or else come inbox!

All in all, nimewafuga sana na sasa nina kama 50/40 or so.

Ulaji wao unatisha... nina vifaranga 30 vya wiki moja , vinakula kg 1 ya starter kwa wiki (kwa kuwabania)! which costs 2000 per kilo. Wakifikisha mwezi itakuwaje?
 
Mkuu bila shaka upo kwenye mazingira ambayo yanakubana lakini mimi nipo sehemu ambayo gunia la pumba linauzwa elfu12 na nje Kuna wadudu panzi na mchwa wa kutosha bora Ata mimi hua nawapa pumba kdg majirani zangu wao wanafungulia asubuhi na wanafungia usiku
Karibu
Hapo sawa kama bei ya pumba ni hiyo, one can manage to some extent!. huku kilo ya pumba ni Tsh 350. 100 kg ni 35,000. ..............wanakula wiki hiyo kama wako 50...... na wakila pumba bila vitamins wanaanza kuugua magonjwa ya ajabu ajabu! vidonda midomoni, mwili kuwa dhaifu etc etc...
 
Back
Top Bottom