Ufugaji wa kuku wa kienyeji ni jambo linalowezekana

Ufugaji wa kuku wa kienyeji ni jambo linalowezekana

Hongera pia pole kwa changamoto. Nakushauri weka uzio wa muda mfupi wa makuti ya minazi huwa yanakaa zaidi ya miaka mitatu, pia pale panapotokea udhaifu una repair. Hii itakusaidia pia kuwa na faragha ya mifugo yako na kuepusha magonjwa.
asante kwa ushauri. najaribu yote hayo, ila it is very costly!
 
Nakushauri nunua mashine ya kutotolesha vifaranga Mkuu, ili kufikia hiyo idadi kwa muda mfupi uliowekea malengo, itakupasa kununua mayai kutoka kwa wafugaji wa uhakika mfano mashirika ya masista.

Unaweza kufikisha kuku hadi 3000 ndani ya huo muda lakini utaweza kwa kuwa na mashine ya kutotolesha vifaranga.

Ukiwa na mashine ya mayai mfano 520, itakuchukua miezi minne tu kufikia idadi kubwa ya vifaranga na hapo tegemea.kila mzunguko wa mayai 520 kupata vifaranga 400 imara yaani wale.vifaranga walioanguliwa siku ya 18 hadi 20 hao wa siku ya 21-22 huwa ni miyeyusho wanaugua na kufa hovyo.

Chakula kwa kuku wa kienyeji sio mtihani sana kama una shamba na unafahamu namna ya kuzalisha wadudu. Pia kwa aina hii ya ufugaji unatakiwa kununua chakula kwa shehena sio kagunia kamoja ka kilo 100 bali gunia 10 za kilo mia yaani ukinunua ni tani kwenda mbele.

Hilo shamba tenga kwa wavu mara nne yaani kama ni eka moja tenga nusu eka 4 kisha uwe kila wiki unawafungulia eneo moja huku mengine unanyeshea na kuotesga mchicha na kuweka mbolea ya mifugo kuleta wadudu na kukuza majani.

Uzuri kuku wa kienyeji 2000 mfano wanalala sehemu ndogo sana, pawe tu na hewa yakutosha na vichanja vya kulalia.

Baada ya muda chagua kuku wako kwa ajili ya kutaga mayai ya kuangua na hao utawatenga waishi kivyao na majogoo yao, ila kwa sasa focus kuipata hiyo idadi na kuwauza nusu baada ya kuona wana ukubwa na uzito mzuri.

Kila la heri Mfugaji, ila tambua jambo moja unahitaji mtaji wa pesa na muda.
 
Nakushauri nunua mashine ya kutotolesha vifaranga Mkuu, ili kufikia hiyo idadi kwa muda mfupi uliowekea malengo, itakupasa kununua mayai kutoka kwa wafugaji wa uhakika mfano mashirika ya masista.

Unaweza kufikisha kuku hadi 3000 ndani ya huo muda lakini utaweza kwa kuwa na mashine ya kutotolesha vifaranga.

Ukiwa na mashine ya mayai mfano 520, itakuchukua miezi minne tu kufikia idadi kubwa ya vifaranga na hapo tegemea.kila mzunguko wa mayai 520 kupata vifaranga 400 imara yaani wale.vifaranga walioanguliwa siku ya 18 hadi 20 hao wa siku ya 21-22 huwa ni miyeyusho wanaugua na kufa hovyo.

Chakula kwa kuku wa kienyeji sio mtihani sana kama una shamba na unafahamu namna ya kuzalisha wadudu. Pia kwa aina hii ya ufugaji unatakiwa kununua chakula kwa shehena sio kagunia kamoja ka kilo 100 bali gunia 10 za kilo mia yaani ukinunua ni tani kwenda mbele.

Hilo shamba tenga kwa wavu mara nne yaani kama ni eka moja tenga nusu eka 4 kisha uwe kila wiki unawafungulia eneo moja huku mengine unanyeshea na kuotesga mchicha na kuweka mbolea ya mifugo kuleta wadudu na kukuza majani.

Uzuri kuku wa kienyeji 2000 mfano wanalala sehemu ndogo sana, pawe tu na hewa yakutosha na vichanja vya kulalia.

Baada ya muda chagua kuku wako kwa ajili ya kutaga mayai ya kuangua na hao utawatenga waishi kivyao na majogoo yao, ila kwa sasa focus kuipata hiyo idadi na kuwauza nusu baada ya kuona wana ukubwa na uzito mzuri.

Kila la heri Mfugaji, ila tambua jambo moja unahitaji mtaji wa pesa na muda.
Hivi heka nne unaweza fuga kuku wa kienyeji wangapi idadi ya juu?
 
Hivi heka nne unaweza fuga kuku wa kienyeji wangapi idadi ya juu?
Sifahamu Mkuu, ila utafuga wengi sana. Mimi sio mtaalamu wa mifugo ila eka nne zinaweza beba maelfu ya kuku. Tena ziwe ni kama bonde ndio kabisaa chakula ni uhakika.
 
Sifahamu Mkuu, ila utafuga wengi sana. Mimi sio mtaalamu wa mifugo ila eka nne zinaweza beba maelfu ya kuku. Tena ziwe ni kama bonde ndio kabisaa chakula ni uhakika.
Kuna blog moja hivi ya mzungu fulani yeye alitoa darasa kwamba kama unataka kuendeleza eneo likabakia na asili yake, unaweza kufuga kuku hamsini tu free range na majani yakaendelea kumea vizuri, ukizidisha basi kuku wanamaliza majani yote panabakia jangwa. Ila kwa mtazamo wangu mimi kibongo bongo eka moja unaweza kufuga kuku mia mbili wakakaa vizuri tu huku ukiwahudumia
 
M

Mimi nina eneo kubwa kidogo , relatively kulinganisha na wenzangu kama 3/4 of an acre. Wao wana 20x15 metres eneo yao. Wanafuga, hivyo kuku wote ni kwangu.... nikiweka chakula wote wanakuja pale na wameshajua kuwa pale asubuhi kuna chochote. Wakifunguliwa tu wanajaa! Tuko majirani 3 lkn mmoja niyo shida. mwizi anawaiba kweli kweli! Nina ngombe pia na kama uivyosema kuna mafunza mle, lkn ni scrable kweli keli......

Matofali ya kujenga ukuta around my area si mchezo..... hida tupu kufuga
Unaweza kutengeneza fence ya mabanzi yaani yale maganda yanayobaki baada ya kupasua mbao, ni gharama nafuu kwa fence ya at least miaka mitatu
 
Na hii ndiyo ilinifanya niache kwanza kwa muda. Mbaya zaidi wanaachia mifugo yao inachanganyikana na ya kwako na maisha yetu ya kitanzania kwenye eneo dogo inakuwa changamoto sana. Nilichojifunza ni kwamba kuku wa kienyeji wanaweza kufugika kwa idadi kubwa na wakakulipa kibiashara ila linahitajika eneo kubwa la kutosha na ni vizuri ukawa na mfugo mchanganyiko kama vile ng'ombe ili wapate ziada kutoka kwenye mbolea

Safi kabisa
 
Unaweza kutengeneza fence ya mabanzi yaani yale maganda yanayobaki baada ya kupasua mbao, ni gharama nafuu kwa fence ya at least miaka mitatu
Wazo zuri, ama makuti yaliyo fumwa
 
Kuna blog moja hivi ya mzungu fulani yeye alitoa darasa kwamba kama unataka kuendeleza eneo likabakia na asili yake, unaweza kufuga kuku hamsini tu free range na majani yakaendelea kumea vizuri, ukizidisha basi kuku wanamaliza majani yote panabakia jangwa. Ila kwa mtazamo wangu mimi kibongo bongo eka moja unaweza kufuga kuku mia mbili wakakaa vizuri tu huku ukiwahudumia
Ni muhimu piakujua na kuwa na mkakati wa kufanya eneo lako liendelee kuwa na majani maana kweli kuku wanadonoa sana majani unaweza kushangaa ndani ya muda mfupi pakawa kama panapita watu kumbe ni kuku wamepashindilia kwa kukanyaga.

lakini pia namna bora na ya uhakika ila ina gharama ni kutengeneza wavu sabafu yaani unaweka wavu wa kuku umbali wa kama nusu futi kutoka ardhi kwa maana hiyo kuku hawatakanyaga ardhi bali watapanda juu ya wavu ili kula majani yaliyooteshwa. sijui kama nimeeleweka vizuri

Na hii njia unaweza kufanya kwa kutenga maeneo tofauti tofauti kwenye eneo lako na kupanda majani mfano mchicha na kuu sasa ukaweka huo wavu so kuku akitaka kula majani itamlazimu kupanda juu ya wavu, usisahau pembeni napo utapaziba kwa wavu ili wasipenye chini. kazi yako itakuwa ni kunyesha maji na kuotesha mchicha mwengine

Kwa namna hiyo ardhi itabaki na majani hata ukifuga kuku elfu saba maana hawataweza kula hadi shina za majani sababu yamefunikwa kwa wavu wao ni kupanda juu tu au kula kwa pembeni.
 
Ni muhimu piakujua na kuwa na mkakati wa kufanya eneo lako liendelee kuwa na majani maana kweli kuku wanadonoa sana majani unaweza kushangaa ndani ya muda mfupi pakawa kama panapita watu kumbe ni kuku wamepashindilia kwa kukanyaga.

lakini pia namna bora na ya uhakika ila ina gharama ni kutengeneza wavu sabafu yaani unaweka wavu wa kuku umbali wa kama nusu futi kutoka ardhi kwa maana hiyo kuku hawatakanyaga ardhi bali watapanda juu ya wavu ili kula majani yaliyooteshwa. sijui kama nimeeleweka vizuri

Na hii njia unaweza kufanya kwa kutenga maeneo tofauti tofauti kwenye eneo lako na kupanda majani mfano mchicha na kuu sasa ukaweka huo wavu so kuku akitaka kula majani itamlazimu kupanda juu ya wavu, usisahau pembeni napo utapaziba kwa wavu ili wasipenye chini. kazi yako itakuwa ni kunyesha maji na kuotesha mchicha mwengine

Kwa namna hiyo ardhi itabaki na majani hata ukifuga kuku elfu saba maana hawataweza kula hadi shina za majani sababu yamefunikwa kwa wavu wao ni kupanda juu tu au kula kwa pembeni.
Wazo zuri lakin utaweka wavu eneo lenye ukubwa kiasi gani ili kukidhi mahitaji ya kuku Mia 5?, naona kama sio scalable kwan gharama zitakuwa kubwa sana.
 
Nakushauri nunua mashine ya kutotolesha vifaranga Mkuu, ili kufikia hiyo idadi kwa muda mfupi uliowekea malengo, itakupasa kununua mayai kutoka kwa wafugaji wa uhakika mfano mashirika ya masista.

Unaweza kufikisha kuku hadi 3000 ndani ya huo muda lakini utaweza kwa kuwa na mashine ya kutotolesha vifaranga.

Ukiwa na mashine ya mayai mfano 520, itakuchukua miezi minne tu kufikia idadi kubwa ya vifaranga na hapo tegemea.kila mzunguko wa mayai 520 kupata vifaranga 400 imara yaani wale.vifaranga walioanguliwa siku ya 18 hadi 20 hao wa siku ya 21-22 huwa ni miyeyusho wanaugua na kufa hovyo.

Chakula kwa kuku wa kienyeji sio mtihani sana kama una shamba na unafahamu namna ya kuzalisha wadudu. Pia kwa aina hii ya ufugaji unatakiwa kununua chakula kwa shehena sio kagunia kamoja ka kilo 100 bali gunia 10 za kilo mia yaani ukinunua ni tani kwenda mbele.

Hilo shamba tenga kwa wavu mara nne yaani kama ni eka moja tenga nusu eka 4 kisha uwe kila wiki unawafungulia eneo moja huku mengine unanyeshea na kuotesga mchicha na kuweka mbolea ya mifugo kuleta wadudu na kukuza majani.

Uzuri kuku wa kienyeji 2000 mfano wanalala sehemu ndogo sana, pawe tu na hewa yakutosha na vichanja vya kulalia.

Baada ya muda chagua kuku wako kwa ajili ya kutaga mayai ya kuangua na hao utawatenga waishi kivyao na majogoo yao, ila kwa sasa focus kuipata hiyo idadi na kuwauza nusu baada ya kuona wana ukubwa na uzito mzuri.

Kila la heri Mfugaji, ila tambua jambo moja unahitaji mtaji wa pesa na muda.

Bless
 
Inawezekana....nakutia🙂....moyo
Kuna rafiki yangu kafikisha kuku 10,000 na zaidi...ila hafanyi shughuli nyingine...yupo mwenyewe 24/7...
Siku namtembelea alikuwa anauza majogoo 15,000x500=7,500 000
Na nikiangalia wale kuku wala sioni tofauti kama wamepungua.....Sasa fikiri haupo ni umeweka mfanyakazi.....lazima akutie👆
Aisee sipati picha kuku kuanzia mmoja, hadi 100 hadi 1000 hadi 10,000, kwanza how do you count them hadi upate hiyo idadi?? Kuku 10,000 wanachukua eneo lenye ukubwa gani!??
 
Wazo zuri lakin utaweka wavu eneo lenye ukubwa kiasi gani ili kukidhi mahitaji ya kuku Mia 5?, naona kama sio scalable kwan gharama zitakuwa kubwa sana.
Hapo chakufanya ni kuotesha majani anayokuwa haraka mfano mchicha, ila sasa hapa chakufanya ni kuotesha kwa mfumo wa matuta kama ya mboga then hayo matuta ndio unayafunikwa kwa kichanja cha wafu

Mfano tuseme labda tuta moja lina mita 1.5 kwa 3 hapo utatafuta wavu wakufunika kama mita 6/7 hivi so ukiwa na matuta 100 utajua wastani ni wavu mita ngapi zitatosha. Ni gharama ila sio gharama ya kutisha. Ndio ufugali ulivyo gharama hazikwepeki japo zinavumilika Mkuu.

Namna ya kutengeneza hivyo vichanja vya wavu vya kufunika hayo matuta ni ubunifu wako tu, ila kama utamudu mtu ukitumia chuma ni safi zaidi maana vitadumu na ile funua funika havitalegea haraka tofauti na fito au mbao.

Naeleza maelezo marefu ila nilitamani kutumia picha ila sina maana ni nilijifunza miaka kidogo iliyopita.
 
Kama eneo ni kubwa na salama wanajiokotea wenyewe.....unaongeza matakataka kidogo toka ma dampo ya sokoni..migahawani

.
Halafu tenga eneo kubwa lenye nyasi za kijani za kawaida wala hutasumbuka mambo ya chakula.
 
Hapo chakufanya ni kuotesha majani anayokuwa haraka mfano mchicha, ila sasa hapa chakufanya ni kuotesha kwa mfumo wa matuta kama ya mboga then hayo matuta ndio unayafunikwa kwa kichanja cha wafu

Mfano tuseme labda tuta moja lina mita 1.5 kwa 3 hapo utatafuta wavu wakufunika kama mita 6/7 hivi so ukiwa na matuta 100 utajua wastani ni wavu mita ngapi zitatosha. Ni gharama ila sio gharama ya kutisha. Ndio ufugali ulivyo gharama hazikwepeki japo zinavumilika Mkuu.

Namna ya kutengeneza hivyo vichanja vya wavu vya kufunika hayo matuta ni ubunifu wako tu, ila kama utamudu mtu ukitumia chuma ni safi zaidi maana vitadumu na ile funua funika havitalegea haraka tofauti na fito au mbao.

Naeleza maelezo marefu ila nilitamani kutumia picha ila sina maana ni nilijifunza miaka kidogo iliyopita.
Au unaweza kupanda maboga eneo kubwa, humo kuku watakula majani ya maboga pamoja na wadudu na variety zingine. hapo ishu ya chakula inakuwa solved.
 
mbona nitashukuru. basi weka hapa wote tufaidike or else come inbox!

All in all, nimewafuga sana na sasa nina kama 50/40 or so.

Ulaji wao unatisha... nina vifaranga 30 vya wiki moja , vinakula kg 1 ya starter kwa wiki (kwa kuwabania)! which costs 2000 per kilo. Wakifikisha mwezi itakuwaje?
Ukitumia vyakula vya kununua utapasuka msamba.Zipo njia nyingi za kutengeneza chakula
1.Tumia azola
2.Kutumia hydroponic folder
3.Unapanda Majani ya mlonge, lucina
4.Fuga panzi unawalisha nyasi wanakua haraka unawakausha unawasaga
5.Kuzalisha mchwa kwa kutumia mabox au makaratasi
 
Back
Top Bottom