Ufugaji wa kuku wa kienyeji ni jambo linalowezekana

Ufugaji wa kuku wa kienyeji ni jambo linalowezekana

Kumekua na kasumba juu ya swala Zima la ufugaji wa kuku wa kienyeji kuonekana kama ni swala lisilowezekana yani kufuga kuku wa kienyeji mpk kufikia idadi kubwa yani 1000, 2000 au hata 3000

Baada ya majaribio kadhaa ya kufuga hawa kuku sasa rasmi nmeingia kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji kwa mazingatio ya hali ya juu na mpk kufkia mwezi December nataka kua na kuku si chini ya 1000.

Nmeanza na makoo 35 na majogoo 6. Mpk sasa nina vifaranga zaidi ya 50 ambao nawalea kwa kutumia joto la taa na mkaa na makoo zaidi ya 7 yanayolalia mayai yasiyopungua 15 kwa kila moja

Rafiki njoo tubadilishane mawazo juu ya mradi wa kuku wa kienyeji pure.

View attachment 2738085View attachment 2738086View attachment 2738088
Nataka ninunie vifaranga TU, sh ngapo wakuu
 
Aisee sipati picha kuku kuanzia mmoja, hadi 100 hadi 1000 hadi 10,000, kwanza how do you count them hadi upate hiyo idadi?? Kuku 10,000 wanachukua eneo lenye ukubwa gani!??
Rahisi tu, Kuna tag unawavalisha miguuni zinakuwa za rangi tofauti tofauti unaweza weka Kila rangi kuku 500
 
Kuna mfugaji anafuga kuku wa kienyeji huwa anawalisha starter wiki 2 baada ya hapo anawachanganyia chakula simple tu na anawauza kwa Bei ya elfu 10_ 12 @ mmoja wanakuwa wa kubwa,kuliwa kama saso au kroiler.
 
  • Thanks
Reactions: PYD
Hapo chakufanya ni kuotesha majani anayokuwa haraka mfano mchicha, ila sasa hapa chakufanya ni kuotesha kwa mfumo wa matuta kama ya mboga then hayo matuta ndio unayafunikwa kwa kichanja cha wafu

Mfano tuseme labda tuta moja lina mita 1.5 kwa 3 hapo utatafuta wavu wakufunika kama mita 6/7 hivi so ukiwa na matuta 100 utajua wastani ni wavu mita ngapi zitatosha. Ni gharama ila sio gharama ya kutisha. Ndio ufugali ulivyo gharama hazikwepeki japo zinavumilika Mkuu.

Namna ya kutengeneza hivyo vichanja vya wavu vya kufunika hayo matuta ni ubunifu wako tu, ila kama utamudu mtu ukitumia chuma ni safi zaidi maana vitadumu na ile funua funika havitalegea haraka tofauti na fito au mbao.

Naeleza maelezo marefu ila nilitamani kutumia picha ila sina maana ni nilijifunza miaka kidogo iliyopita.
Sawasawa mkuu
 
Hapo chakufanya ni kuotesha majani anayokuwa haraka mfano mchicha, ila sasa hapa chakufanya ni kuotesha kwa mfumo wa matuta kama ya mboga then hayo matuta ndio unayafunikwa kwa kichanja cha wafu

Mfano tuseme labda tuta moja lina mita 1.5 kwa 3 hapo utatafuta wavu wakufunika kama mita 6/7 hivi so ukiwa na matuta 100 utajua wastani ni wavu mita ngapi zitatosha. Ni gharama ila sio gharama ya kutisha. Ndio ufugali ulivyo gharama hazikwepeki japo zinavumilika Mkuu.

Namna ya kutengeneza hivyo vichanja vya wavu vya kufunika hayo matuta ni ubunifu wako tu, ila kama utamudu mtu ukitumia chuma ni safi zaidi maana vitadumu na ile funua funika havitalegea haraka tofauti na fito au mbao.

Naeleza maelezo marefu ila nilitamani kutumia picha ila sina maana ni nilijifunza miaka kidogo iliyopita.
Sawasawa mkuu
 
Hapo chakufanya ni kuotesha majani anayokuwa haraka mfano mchicha, ila sasa hapa chakufanya ni kuotesha kwa mfumo wa matuta kama ya mboga then hayo matuta ndio unayafunikwa kwa kichanja cha wafu

Mfano tuseme labda tuta moja lina mita 1.5 kwa 3 hapo utatafuta wavu wakufunika kama mita 6/7 hivi so ukiwa na matuta 100 utajua wastani ni wavu mita ngapi zitatosha. Ni gharama ila sio gharama ya kutisha. Ndio ufugali ulivyo gharama hazikwepeki japo zinavumilika Mkuu.

Namna ya kutengeneza hivyo vichanja vya wavu vya kufunika hayo matuta ni ubunifu wako tu, ila kama utamudu mtu ukitumia chuma ni safi zaidi maana vitadumu na ile funua funika havitalegea haraka tofauti na fito au mbao.

Naeleza maelezo marefu ila nilitamani kutumia picha ila sina maana ni nilijifunza miaka kidogo iliyopita.
Sawasawa mkuu
 
Hapo chakufanya ni kuotesha majani anayokuwa haraka mfano mchicha, ila sasa hapa chakufanya ni kuotesha kwa mfumo wa matuta kama ya mboga then hayo matuta ndio unayafunikwa kwa kichanja cha wafu

Mfano tuseme labda tuta moja lina mita 1.5 kwa 3 hapo utatafuta wavu wakufunika kama mita 6/7 hivi so ukiwa na matuta 100 utajua wastani ni wavu mita ngapi zitatosha. Ni gharama ila sio gharama ya kutisha. Ndio ufugali ulivyo gharama hazikwepeki japo zinavumilika Mkuu.

Namna ya kutengeneza hivyo vichanja vya wavu vya kufunika hayo matuta ni ubunifu wako tu, ila kama utamudu mtu ukitumia chuma ni safi zaidi maana vitadumu na ile funua funika havitalegea haraka tofauti na fito au mbao.

Naeleza maelezo marefu ila nilitamani kutumia picha ila sina maana ni nilijifunza miaka kidogo iliyopita.
Sawasawa mkuu
 
Ndomana nmesema baada ya majaribio kadhaa kaka nikikuonyesha kuku wangu wa kienyeji wa miezi mitatu unaweza kukataa ukazani ni wa miezi 6View attachment 2739229
Usirudi nyuma mkuu uko sahihi sana! Chakula cha kuku siyo tu kuwatupia pumba za mahindi na mashudu ya alizeti bali kuna mchanganyiko maalum kwa kila daraja la kuku. Kwa mfano wewe una kuku wazazi unawapa chakula cha kuku wa nyama, wapi na wapi hii? Growers unawapa cha kuku mzazi, utachukia ufugaji hakika!
 
Tutaendelea kupeana mrejesho wakuu nawahakikishia hakuna kinachoshindikana
20230907_143334.jpg
 
Inawezekana....nakutia[emoji846]....moyo
Kuna rafiki yangu kafikisha kuku 10,000 na zaidi...ila hafanyi shughuli nyingine...yupo mwenyewe 24/7...
Siku namtembelea alikuwa anauza majogoo 15,000x500=7,500 000
Na nikiangalia wale kuku wala sioni tofauti kama wamepungua.....Sasa fikiri haupo ni umeweka mfanyakazi.....lazima akutie[emoji115]
Anafunga wa kienyeji ama kisasa
 
Back
Top Bottom