Basi nipe maujanja... Kama kuna wadudu wa kula wao kwa kujitafutia, then hiyo inawezekana without doubt.Ndomana nmesema baada ya majaribio kadhaa kaka nikikuonyesha kuku wangu wa kienyeji wa miezi mitatu unaweza kukataa ukazani ni wa miezi 6View attachment 2739229
Looks nice kuku wako.... nitakuwekea wa kwangu leo uone wa miezi 2, lkn kwa kula kweli kweli
Tatizo ni kuwa wasiposhiba hawatagi in time , watachelewa sana. sawa na bata, ninao around 25, wasiposhiba hawatagi kabisa.......