ameline
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 2,292
- 1,151
Jamani mimi ni mfugaji pia ila naomba kaushauri..nilikua napata oda ya bata mzinga. ikabidi niwaanze sasa wamefika 12 wakubwa bado bado wengine wataanguliwa karibuni sasa suala la bei ndo linanichanganya kwani nikijaribu kuuliza kwa wanaofuga wananichanganya madaktar nao vilevile kila mtu ananiambia bei yake sasa nimepata oda hapa shoprite Arusha bata mzinga 4 kuna anaefika kg 25 niuze vip maana wao wananiambia elf 70??