Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
- Thread starter
- #101
kwel maana ilikuwa 2020Hiyo Bei ya kitambo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwel maana ilikuwa 2020Hiyo Bei ya kitambo sana
Ahaaa sawa huenda mazingira nayo yanachangia na upatikanaji kwa uwingikwel maana ilikuwa 2020
Hata sijaweka bado naangalia tu hizo mbao zainavoliwa nikawa nawaza kujenga kwa tofali na wavuMh tunatofautiana kumbe hupendi? banda linaliwa na mchwa sababu mmejengea miti pendwa kwao na hapo wanapatikana sasa upakae oil chafu kwenye hizo mbao vinginevyo watalishusha lote.
Ehee umeweka kuku aina gani hapo kwaajili ya wanangu hao.
Biashara so mchezo lzm moyo uwe mgumu na kukubali kupoteza watuMashaallah,,watoto wanapenda kucheza na ndege ,,ufugaji nahisi una Nuru za Allah ndani yake,,,ukiwa mfugaji moyo huwa laini,,na ukiwa mfanyabiashara moyo huegemea kwenye ubahili..au kaka Kazakh destroyer na Akhy mnasemaje kwenye hili.
[emoji1666]Ahaaa sawa huenda mazingira nayo yanachangia na upatikanaji kwa uwingi
unafuga tu kulingana na eneo lakoHivi Kwenye Eneo la kiwanja cha 20*20 naweza nikafuga kuku na Bata?
Ujenzi Ni mipango TU halafu mabanda ya kisasa yanachukua nafasi ndogo sanaHivi Kwenye Eneo la kiwanja cha 20*20 naweza nikafuga kuku na Bata?
Sawa kabisa mkuuKwanza hawakamatiki kwa kukimbizwa kizembe (wana mbio balaa) na uwezo wao wa kupaa ni mkubwa sana, kwahiyo hata wakienda kuzurura ni ngumu sana kukamatwa na raia maana kwa mbio hawapati na wakiamua wanaruka wanamuachia manyoya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kanga hawapendi kuku mwenye vifaranga anavojitanuwa watamchangia wampige Hadi afe.Wana wivu sana sema mi nilikuwaga nna jogoo wangu mmoja alikuwa kiboko anawabanduwa kanga kinoma.Vikaja vikazaliwa vitoto shombe shombe ilivonyesha mvua vikanyeshewa vikafariki.
Hujapigwa ndio bei yake,ila yawe na mbegu tu,yakiwa hayana mbegu utakuwa umepigwaa hahahaha [emoji16][emoji16]Sijajua nilikuwa nahitaji mengi niwawekee kuku Sasa sijajua nimepigwa au vipi
Weka kuku atakusaidia kuwala hao mchwaHata sijaweka bado naangalia tu hizo mbao zainavoliwa nikawa nawaza kujenga kwa tofali na wavu
Ndivyo bobu junia alivopatikanaKanga hawapendi kuku mwenye vifaranga anavojitanuwa watamchangia wampige Hadi afe.Wana wivu sana sema mi nilikuwaga nna jogoo wangu mmoja alikuwa kiboko anawabanduwa kanga kinoma.Vikaja vikazaliwa vitoto shombe shombe ilivonyesha mvua vikanyeshewa vikafariki.
So funny [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kanga hawapendi kuku mwenye vifaranga anavojitanuwa watamchangia wampige Hadi afe.Wana wivu sana sema mi nilikuwaga nna jogoo wangu mmoja alikuwa kiboko anawabanduwa kanga kinoma.Vikaja vikazaliwa vitoto shombe shombe ilivonyesha mvua vikanyeshewa vikafariki.
Dah utakuwa Ni ukatili sanaHujapigwa ndio bei yake,ila yawe na mbegu tu,yakiwa hayana mbegu utakuwa umepigwaa hahahaha [emoji16][emoji16]
Hao ndio Safi mkuu nyama Tamu Sana halaf hawali sanaPakikucha tu wanaanza kelele
Nikipata kitoweo chake nitaleta mrejeshoHao ndio Safi mkuu nyama Tamu Sana halaf hawali sana
Nina kuku hapa home kwa siku wanakunywamaji kuanzia Lita 20 mpk 30....kanga wasingefikia kiwango hikiNikipata kitoweo chake nitaleta mrejesho