Mwana wa Nuru
JF-Expert Member
- Dec 3, 2012
- 589
- 412
Mpwa hii bonge ya deal hata mate yananitoka ila tatizo mimi imani yangu inaniambia nguruwe ni haramu kabisa. lakini hiyo hela naitaka
Ni haramu kula siyo kufuga, kasome tena uje uanze ufugaji wake uwe tajiri.
navyojua ni ratio ya chakula unachompa inawezekana anakula (protein+carbs+fats)kwa wingi sana .Nguruwe kuwa mkubwa na kilo nyingi lakini ndani ana mafuta kuliko Steak inasababishwa na nini?
Je ni Chakula anachokula kila siku au ni aina ya Nguruwe(Breed) ndio inafanya wawe hivyo.
Kwa wale ambao mnakula nguruwe mtakubaliana na Mimi kwamba Nguruwe mzuri ni yule mwenyewe mafuta kidogo na nyama nyingi naamini hata wachinjaji inawapa faida zaidi akichinja nguruwe mwenye nyama nyingi na mafuta kidogo
Sasa Je mfugaji afanye nini ili Nguruwe wake wawe na Kilo nyingi lakini zenye nyama pamoja na mafuta machache maana unaweza kumuona Nguruwe mkubwa kwa mwili na kilo nyingi lakini akichinjwa unakuta mafuta ni mengi mno kuliko nyama kitu ambacho walaji hawapendi.
Naamini hata wachinjaji wanapenda zaidi Nguruwe wa aina hii maana anawapatia faida zaidi,
Naombeni majibu wadau,sikumoja napenda nifuge hawa wanyama
Ahsante
Mkuu sijaanza kufuga bado ila najaribu kujiuliza mambo ya msingi ili wafugaji waelewa wanipe somo maana hiki kitu nimeshakutana nacho,nashukuru kwa mchango wakonavyojua ni ratio ya chakula unachompa inawezekana anakula (protein+carbs+fats)kwa wingi sana .
hapa inabid upunguze ratio ya chakula.wengi hawajui mnyama ni kama binadamu kwaiyo kwa kutaka kujua ni kwann nguruwe anamafuta mengi kuliko stake bac at the same time jiulize kwann pia binadamu ana kuwa mnene kupindukia,nadhani ukiweza kujua ni kwa nn bac utakuwa umepata majibu mazuri zaidi.
Yan tz sjui tunafeli wap yan hakuna daraja kati wa wataalamu na wafugaji au wakulima matokeo yake ndo kama haya mfugaji anaweza kua anatumia expenses nyingi kwenye ufugaji na faida anapata ndogo ufagaji mzuri ni ule wenye tija production cost ndogo na kupata faida kubwaDah umesema kweli mkuu, nguruwe anahitaji uangalizi wa karibu sana ukiwaachia vijana wewe ukawa mbali inakula kwako na nguruwe watadumaa na wakidumaa ndio basi tena hata ulishe vipi, mim ni mfugaji lakini gharama za utunzaji wa nguruwe hadi akue ni kubwa sana
Mkuu unamia chakula kiasi gani kuwalisha hao nguruwe 25 kwa mwezi (kilogramu ngapi) na je ni wakubwa kabisa?Hakika jukwaa hili ni SULUHISHO,, mimi ni ufugaji wa nguruwe nimeanza mwaka huu mwezi wa 5 na nimeanza na majike 25 tayari 10 wana mimba ,, nategemea kuuza nguruwe 100 kila mwezi wadogo kwa wakubwa,, nina eneo la hekari mbili maeneo ya kerege bagamoyo,, nimelima migomba, maboga kwa ajili ya chakula cha ziada, nawapa mchanganyiko wa Pumba za mchele, pumba za mshindi, mashudu ya alizeti, chumvi,pig mix,, nawaona wakiwa na afya njema sanaa.Wale wenzangu tujuzane masoko serious!!
Ili kupunguza mafuta mengi kwa nguruwe jitahidi kumpa majani mengi na pia tumia kiasi kikubwa cha pumba za mpunga katika mchanganyiko wa chakula chao kuliko pumba za mahindiNguruwe kuwa mkubwa na kilo nyingi lakini ndani ana mafuta kuliko Steak inasababishwa na nini?
Je ni Chakula anachokula kila siku au ni aina ya Nguruwe(Breed) ndio inafanya wawe hivyo.
Kwa wale ambao mnakula nguruwe mtakubaliana na Mimi kwamba Nguruwe mzuri ni yule mwenyewe mafuta kidogo na nyama nyingi naamini hata wachinjaji inawapa faida zaidi akichinja nguruwe mwenye nyama nyingi na mafuta kidogo
Sasa Je mfugaji afanye nini ili Nguruwe wake wawe na Kilo nyingi lakini zenye nyama pamoja na mafuta machache maana unaweza kumuona Nguruwe mkubwa kwa mwili na kilo nyingi lakini akichinjwa unakuta mafuta ni mengi mno kuliko nyama kitu ambacho walaji hawapendi.
Naamini hata wachinjaji wanapenda zaidi Nguruwe wa aina hii maana anawapatia faida zaidi,
Naombeni majibu wadau,sikumoja napenda nifuge hawa wanyama
Ahsante
Mama akiwa anatoa maziwa yenye vimelea vya ugonjwa ndio watoto huharisha .........hapa Fanya kutumia dawa zenye sulphur kuwatibu au changanya kiasi cha chakula chao ( creep feeds na antibiotic za unga zenye sulphur ) lakin muhimi kuzingatia usafi piaJe kuharisha kwa piglets kunaweza sababishwa na maziwa ya sow kama hakupata matibabu na chanjo stahiki kabla ya kubeba mimba?
AsanteIli kupunguza mafuta mengi kwa nguruwe jitahidi kumpa majani mengi na pia tumia kiasi kikubwa cha pumba za mpunga katika mchanganyiko wa chakula chao kuliko pumba za mahindi
Hapa utapata nyama nyingii mafuta kidogo
Mimi nina eneo kubwa tu Vigwaza pale, tuingie ubia au kama utataka kununuaNimekuwa interested sana na ushauri wako nami ningependa kujaribu hilo deal. Jambo moja linanisumbua ni jinsi ya kupata sehemu ya kufugia, kama kuna mtu ana idea mashamba ya bei nafuu pembezoni mwa Dar es salaam naomba msaada.
Mimi nina wazo hili miaka mingi, nina mtaji wa eneo kama eka moja na ushee kule Vigwaza, linatosha kabisa kuhifadhi nguruwe hata miaNatafuta sehemu ambayo naweza kodisha ili nianzishe mradi wa kufuga nguruwe, iwe eneo lolote pembeni mwa dar es salaam, kama kibamba, mbezi, segerea etc.
Wakuu wenye uzoefu naomba mnielekeze, nahitaji mtaji wa shilingi ngapi ili kuanza na ufugaji wa nguruwe watano?
Je cost yake kwa vyakula etc yaweza kuwa vipi?
Je kuna mdau mwenye wazo kama hili ambaye naweza kushirikiana nae?
Shukrani.
πππππππππππππππBIASHARA IPI UFANYE??
Watu wengi sasahivi wamekuwa wakitafuta kuwa ni biashara gani afanye ili kujiingizia kipato katika maisha yake
wengine wameamua kuuza nguo nawengine biashara ya duka
pia wengine wameamua kuuza vyakula mfano butcher
SWALI KUBWA LA KUJIULIZA NI BIASHARA IPI NI NZURI NA INAHITAJI MTAJI MDOGO???
JIBU:biashara ambayo inaweza kukupatia kipato ni ile iliyo na uwezo wa kutatua matatizo ya watu
Ahaaa kumbe ukitafuta tatizo ambalo linawasumbua watu wengi ndipo ambapo unaweza pata pesa
Na hakuna sehemu nzuri ya kupata pesa nyingi kama kupitia kutatua matatizo ya afya, kutatua matatizo hayo sio mpaka uwe umesoma ila unaweza jifunza na ukafahamu na ukamsaidia mtu
KONA HIZO AMBAZO PESA NYINGI HUPATIKANA NI
1.MAGONJWA YA MFUMO WA UZAZI
Hii nikwa mwanamme au mwanamke unaweza jikita katika pande zote mfano wanaume wanasumbuliwa na matatizo ya
UUME KUWA LEGELEGE,TEZI DUME,UUME KUTOSIMAMA VIZURI .,MADHARA YA PUNYETO
Upande wa wanawake wanasumbuliwa na matatizo kama
MAJI KWENYE MAYAI,FANGASI,SHINGO YA KIZAZI
Hivyo unatafuta dawa ambazo zinauwezo wa kutibu tatizo hilo na unajitangaza kwamba wewe ni mtaalamu wa kutibu matatizo hayo hapa ndipo unaweza tafuta kampuni ambalo dawa zake ni imara na ambalo utajiunga kwa bei rahisi ili uwe member
Pesa utapata maana utanunua katika kampuni kwa bei rahisi
na wewe ndio utapanga bei ya kuuza dawa yako na nakushauri ni vyema ukajiunga na kampuni la BF SUMA maana utajiunga kwa sh.40000 tu na utakuwa member na utanunua kwa bei ya punguzo
2.MAGONJWA YA KISUKARI
Magonjwa haya yamekuwa sugu na watu wametumia madawa ya hospitali bila mafanikio
unaweza jitangaza kuwa wewe unauwezo wa kutibu tatizo hilo na hivyo watu kukufata na kuwapa huduma yako
Kwavile utakuwa umejiunga na kampuni kwa sh,40000 tu basi utachukua dawa kwa bei rahisi na wewe utauza kwa bei unayoitaka na mgonjwa wako atapona
3.MAGONJWA YA VITAMBI
Unaweza jitangaza na kujibrand wewe kuwa unauwezo wa kutibu watu wenye vitambi, na hivyo watu wakikufata utawahudumia kwa kuwapa dawa za kampuni la BF SUMA maana utakuwa umejiunga na hivyo kwakua linanguvu hivyo mgonjwa wako atapona na hivyo utapata faida maana bei unapanga wewe
4.MAGONJWA YA MENO PAMOJA NA MACHO
Pia unaweza kuisaidia jamii yako kutibu tatizo la macho na meno kutokana na dawa utakazo wapa za kampuni
kwa vile zina nguvu watu watakupenda na utapata wateja wengi sana
5.VIDONDA VYA TUMBO PAMOJA NA MATATIZO YA TUMBO
Pia unaweza saidia jamii yako kutatua tatizo la vidonda vya tumbo kupitia dawa za kampuni lako la BF SUMA
6.NGOZI MA NYWELE
Pia unaweza isaidia jamii kupitia matatizo kama hayo
na kuwafanya watu wapendeze sana
hapa utawashika wote wanaume kwa wanawake
JINSI YA KUPATA WATEJA
Vijana wengi wamekuwa wakijiunga katika kampuni bila kujua wanaenda kufanya nini hivyo ni vyema kama ukachagua kitu kimoja cha kutatia katika jamii yako hii haijarishi wewe ni mwanafunzi au mfanya kazi unaweza fanya
Ukitumia vizuri mtandao wa facebook utapata wateja wengi sana sana sana
JINSI YA KUFANYA FACEBOOK
Kamwe usipost bidhaa za kampuni lako ila jikite kutoa mafunzo juu ya hicho ambacho umeamua kukifanya
Harafu tengeneza group la whatsapp katika simu yako harafu andika tangazo facebook kuwa wewe unauwezo wa kutatua tatizo flani na kopi link ya group lako la whatsapp libandike kwenye tangazo lako
Hivyo kila atakae gusa link ataingia kwenye group lako na hapo ndipo utaweza uza sana sana
Ili kupata wateja wengi unaweza lipia tangazo lako na facebook ikakutangazia kwa watu wengi zaidi unaweza toa kama dolla 5 ambayo ni kama sh10000 tu na wakakutangazia kwa watu kama 20000 ambao unawataka wewe
BAADA YA KUJUA KUWA UNAJIUNGA NA KAMPUNI KUFANYA NINI BASI VIZURI
JINSI YA KUJIUNGA NA KAMPUNI YA BF BF Suma
Kampuni hili kwa upande wangu ni kati ya kampuni bora sana maana unatumia ada kidogo kujiunga kama sh.40000 tofauti na makampini mengine yote ambayo hutumia mpaka sh.500000
Bidhaa zake hazina kemikali na zina bei ya chini sana kila mtu anaweza nunua kwa urahisi itakufanya upate pesa sana rafiki
Bidhaa zake hazijachanganywa na mafuta ya nguruwe
1.uwe na majina matatu
2.uwe na email yako
3.namba yako ya simu
UNAHITAJIKA KUWA NA MLITHI
HUYU ATARITHI BIASHARA YAKO KAMA UKIFA
AWE NA VITU VIFUATAVYO
1.majina matatu
2.email
3.namba ya simu
NANI ANAKUUNGA KATIKA KAMPUNI LA BF SUMA?
Mimi ndie ntakuunga na kampuni na tutafanya kazi kwa ushirikiano
USIHOFU:maduka ya kampuni yanapatikana karibu mikoa yote sasa hapa TANZANIA
KAMA WEWE UNAHITAJI KUBADILI MAISHA YAKO
TUWASILIANE KUPITIA NAMBA
0769601703
PIA NAPATIKANA WHATSAPP
AHSANTE SANA
TSH. 46,000 TU UTAJIRIKE
Mbona umecheka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulifanikiwa kumtembelea?This is cool Ameoba ahsante kwa kurespond kwenye hili na PM pia. Well, tunakutakia safari njema ya Iringa (kwa kiasi fulani nimetokea huko pia so nimeguswa). Tutafurahi sana kupata feedback baada ya hiyo wiki moja. Personally ninakuwa na muda week-end japo hata week days ninaweza kuutafuta kwa ajili ya kutembela hiyo project yako. Of course iko wapi project nayo itakuwa ni determining factor pia. So limalize hilo la Iringa ili tuweze kujipanga vizuri. Once again, tunakutakia safari njema na kila la heri kwa linalokupeleka huko.
Ni muda umepita mkuu hata sikumbuki vzr hii thread. Ila ni Amoeba ndiyo alikuwa ana mpango wa kumtembelea mfugaji mkubwa wa nguruwe Iringa ninadhani. Na mm ndiyo nilisema nikipata mrejesho toka kwake ndiyo ningepanga hiyo safari pia. Sikumbuki kama nilipata huyo mrejesho toka kwa mkuu Amoeba.Ulifanikiwa kumtembelea?