Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Biashara hii ni ngumu sana. Mnunuzi akija bandani kuangalia nguruwe wako bei anayokutajia utachoka. Nguruwe likubwa na ni hybrid anakwambia anakupa laki 4. Natamani ningekua na kijiwe changu mwenyewe niwe nachinja na kuuza mwenyewe kuliko unafuga halafu mwisho wa siku unamsubiria mnunuzi aje na bei za kikolo..
Inaumiza sana,naona wanunuzi wengi wanapenda izo Bei za lak nne ata kama pig ni mkubwa kias gan .
 
Inshu ni kuamzisha bucha la kitimoto tu.

#MaendeleoHayanaChama
Itasaidia kupunguza mnyororo wa dhamani,ndio wengi wanadai huwezi kutajirika na kulima au kufuga kumbe ukija kufanya uchunguzi unakuta chain ya kulalia Bei ni kubwa sana,na unakuta wanao uza kujiweni wanapiga pesa sana kuliko unaefuga
 
MalafyaleP mkuu nauliza iyo pig inovation production system 1.wakati wa usafi unasafishaje Kwa sababu naona wapo kwenye mchanga ,

2.Na apo juu ya mchanga kinyesi Chao hakitatoa harufu kikiwa juu ya mchanga?

3.na je nauliza hawataweza kuchimba chini?
 
View attachment 1468519

  • Nguruwe watoto 20 @ 20000 = 400000
  • Banda la mabanzi=1,000,000
  • Chakula = 1,000,000
  • Dawa= 200000

After 1yr: Nguruwe 20 watazaa vitoto kama 160,utachakuwa vitoto jike 100,
mama zao wote watauzwa, huku shambani kwetu nguruwe
mkubwa ni Tsh 200,000 tu, utapata 4,000,000.

After 2yrs: Nguruwe 100 wanaweza kuzaa 700. Kati ya 700 chagua majike 500,(unaweza kuuza watoto dume ukanunua jike).

Year 3: Nguruwe 500 watazaa watoto 3500, chagua watoto 1500 tu
Kutoka hapo unamentein Number 1500, kila mwaka unaweza kuuza
watoto zaidi ya 3000, na nguruwe wakubwa 1500.
1500*200000= Tsh 300,000,000/= kwa mwaka
Nusu ya hiyo pesa ni gharama zingine, unabaki na 150mil.
Welcome to the club

Kabla hujajitumbukiza kaone mifano, au nenda sokoine ukaonane na wataalamu.

Kila mwaka nalima Mahindi, alizeti, maboga ekari 30 kwa ajili ya chakula cha nguruwe tu.

Nakupenda saana mpwa..









==========

USHUHUDA

===
Hizi hesabu mbona ni kama zile za kiljmo cha matikiti na Mapapai?
 
1.Nguruwe anachukua miezi 6 mpaka 12 mpaka kufikia uzito wa kutosha (inategemeanan na malisho)
2.Inategemeana na nafasi yako, ukiwa upo pale full time, wapagazi watatu ni more than enough (kumbuka usipokuwapo watu wanakuwa na uzembe flan). mimi nnao sita chini ya usimamizi mkali.
3.inategemea uko wapi. huku kwetu hata kama haulimi gunia la pumba za mahindi ni Tsh 10,000/=! mashudu ya alizeti gunia ni 20,000/=!
4. Ekari moja wanakaa kwa amani yote. ni vizuri kuwa mbali na makazi ya watu.
5. inategemea uko wapi. kwangu mm nauwezo wa kuuza nguruwe 200 kwa mwezi bila shida. watoto inasumbua kidogo kwa sababu wananunua wafugaji, ukitaka kuwauza kwa urahisi wakuze mpaka miezi mitatu hv.
6. Minyoo na ukurutu. Kikubwa ni chanjo na usafi wa hali ya juu KILA SIKU (nguruwe ni msafi sana akitunzwa, wa kwangu nikimkuta sebuleni nacheka tu-ni WASAFI kama pet)

Nguruwe wanahitaji usimamizi wa karibu sana, uwajue kwa namba ili uweze kufuatilia maendeleo yao kila asubuhi. Ukiona mnyama mmoja amezubaa mwite doctor haraka sana. usiachie wasaidizi kila kitu, kuwa makini na kuhakikisha wanapata milo miwili ya kutosha bila kusahau vegs. nguruwe wanapenda maji-usiwanyime starehe ya kwa kuwabananisha hawatanenepa vya kutosha. Nguruwe ana uwezo wa kuzaa mara mbili kwa mwaka. Mimi sijasoma kilimo na mifugo, ni ubishi tu na kuthubutu vilivyoletwa na maisha magumu. MUHIMU UKUBALI KUKAA SHAMBA, JF UIPATE KWA TTCL NA SOLLAR!
Mbona kama gharama ya uendeshaji ni kubwa? Gunia la.pumba 10k sasa japo mpaka ufikishe miezi 12 kwa nguruwe 200 si mamilioni hayo?
 
katika kutafuta tafuta nimekutana na blog fulani inaitwa MITIKI,hapo amaefafanua kila kitu hadi aina na vikorokoro vyote vya jinsi ya kuwafuga nguruwe,anayetaka aitembelee atafaidika.
Je hawa nguruwe wanaofungwa kama Broiler na wao nyama yao tamu?
 
Biashara hii ni ngumu sana. Mnunuzi akija bandani kuangalia nguruwe wako bei anayokutajia utachoka. Nguruwe likubwa na ni hybrid anakwambia anakupa laki 4. Natamani ningekua na kijiwe changu mwenyewe niwe nachinja na kuuza mwenyewe kuliko unafuga halafu mwisho wa siku unamsubiria mnunuzi aje na bei za kikolo..
Peleka machinjion mwenyewe
 
Kuongezeka " 0.7-0.9kg kwa siku", kama ni kweli lazima kutakuwa na side effects kwenye quality ya nyama nk. Believe me or not. Hapo ni ongezeko la wastani wa kilo 1 kwa masaa 24!!!!!!

Hiyo mbegu mliibreed wenyewe au exotic? Kama ni imported vipi swala la "GMOs"! Kama ni imported tuwe makini sana na hivi vitu vinavyotoka kwa hawa wenzetu!

Kwa mfano kuna aina ya kuku imeningia hapa nchini (Tz) wameenea sehemu nyingi sana hapa nchini wanakuwa wakubwa sana na kwa muda mfupi! Lakini quality ya nyama yake ni ya CHINI mno! Hawa kuku ni imported!!
Miaka mingap sasa unakula hiyo nyama? Umepata madhara gani
 
Kama umefuga wengi bora ufungue kijiwe chako mwenyewe cha kuuzia.
Biashara hii ni ngumu sana. Mnunuzi akija bandani kuangalia nguruwe wako bei anayokutajia utachoka. Nguruwe likubwa na ni hybrid anakwambia anakupa laki 4. Natamani ningekua na kijiwe changu mwenyewe niwe nachinja na kuuza mwenyewe kuliko unafuga halafu mwisho wa siku unamsubiria mnunuzi aje na bei za kikolo..
 
Hey bob! Mbona una hasira hivyo?

Be wise with SPEED. A fool at forty, is a fool INDEED! : Kichwa cha habari SOKO LA NGURUWE kama wewe hutumii, kiherehere gani kilikuleta humu?

Go have sex to ease your stress.
Ni miaka mingi sana tokea utoe hii comment ila nimeshindwa kujiuzia kukusifia kwa hili bonge la comment.
 
Back
Top Bottom