Kaka ukiwa muoga wa kutake risk hutafanikiwa maishani,waliofanikiwa ni wale wasiogopa hasara!We ni Wakala wa sera ya JK ya Kilimo kwanza eeh?
Mbona hujaweka effect ya SWINE- FLU, ambayo inaweza kuwamaliza nguruwe wote kwa wiki 1?
Yaani kumbe hata nguruwe wenyewe hawajaingia bandani tayari unasema muda si mrefu utaanza kuuza?
Ukiwa pale River Side, Ubungo, kuna njia inaenda jeshini. Fuata hiyo njia mpaka ukaribie mesi ya jeshi, kulia kuna machinjio ya kitimoto, pale kila siku kitimoto hawatoshi, si unajua Watanzania tupo takriban 45m na wote tunakula nguruwe
kuna huyu wa kisasa, anapatikana bahariniKatitima,
Uki search kwenye internet kuna information nyingi nzuri Pia.mi nafuga for the past 5 month.nilianza na nguruwe 8 wenye mimba.nina watoto 50 sasa wa miezi tofauti. Tunaweza kushare uzoefu through 😛jmwaikenda@gmail.com
katitima,
uki search kwenye internet kuna information nyingi nzuri pia.mi nafuga for the past 5 month.nilianza na nguruwe 8 wenye mimba.nina watoto 50 sasa wa miezi tofauti. Tunaweza kushare uzoefu through 😛jmwaikenda@gmail.com
Amina Mpwa!
wakuu nataka kuanzisha mradi huu wa ufugaji nguruwe kutokana na soko lake kuwa pana na zuri kila kukicha. Nataka kufuga kitaalamu mkoani lringa naombeni mawazo yenu kwa kuanzia nataka nianze na 10.
acha uviv mkuu,ukitembea vizur kwenye hili jukwaa utakutana na threads kama;
1.msaada ufugaji wa nguruwe
2.anza hivi mpwa
3.baada ya kusoma mawazo ya wengi humu jamii forum nimeona nianze hivi.
Hiz threads znazungmzia ufugaj wa nguruwe,so you better find them insead of a new one
Nguruwe watoto 20 @ 20000 = 400000
Banda la mabanzi=1,000,000
Chakula = 1,000,000
Dawa= 200000
After 1yr: Nguruwe 20 watazaa vitoto kama 160,
utachakuwa vitoto jike 100,
mama zao wote watauzwa, huku shambani kwetu nguruwe
mkubwa ni Tsh 200,000 tu, utapata 4,000,000
After 2yrs: Nguruwe 100 wanaweza kuzaa 700
Kati ya 700 chagua majike 500,(unaweza kuuza watoto dume ukanunua jike)
Year 3: Nguruwe 500 watazaa watoto 3500, chagua watoto 1500 tu
Kutoka hapo unamentein Number 1500, kila mwaka unaweza kuuza
watoto zaidi ya 3000, na nguruwe wakubwa 1500
1500*200000= Tsh 300,000,000/= kwa mwaka
Nusu ya hiyo pesa ni gharama zingine, unabaki na 150mil.
Welcome to the club
Kabla hujajitumbukiza kaone mifano, au nenda sokoine ukaonane na wataalamu.
Kila mwaka nalima Mahindi, alizeti, maboga ekari 30 kwa ajili ya chakula cha
Nguruwe tu.
nakupenda saana mpwa,
Kuna boss wangu ofisini amenipigia simu eti nguruwe wake amezaa vitoto 12 na hataki kuvinyonyesha badala yake anavishangaa na kutaka kuvikanyaga,hii pia ni changamoto itiliwe maanami sio kuota mafanikio tuu !!
niaje wadau,nahtaj mnisaidie ktu hapa.nina uwezo wa kupata mtaj wa kiasi cha kma 3m hv na huku nliko nina eneo la ekar 1.sasa idea yangu ni kufuga nguruwe wa biashara na nimelileta suala langu hapa kwan najua kuna wat wamefanya ANIMAL SCIENCE,AGR ENG ambapo wamesoma course ya FARM STEADY,wapo pia walofanya ANIMAL NUTRITION na mengne ila wapo wengne wana uzoef tu na jambo lenyew.sasa omb langu ni kufanyiwa cost estimations na how can I start na hata muundo mzma wa eneo na jengo la kufugia.NAWASILISHA WAKUU
Nguruwe watoto 20 @ 20000 = 400000
Banda la mabanzi=1,000,000
Chakula = 1,000,000
Dawa= 200000
After 1yr: Nguruwe 20 watazaa vitoto kama 160,
utachakuwa vitoto jike 100,
mama zao wote watauzwa, huku shambani kwetu nguruwe
mkubwa ni Tsh 200,000 tu, utapata 4,000,000
After 2yrs: Nguruwe 100 wanaweza kuzaa 700
Kati ya 700 chagua majike 500,(unaweza kuuza watoto dume ukanunua jike)
Year 3: Nguruwe 500 watazaa watoto 3500, chagua watoto 1500 tu
Kutoka hapo unamentein Number 1500, kila mwaka unaweza kuuza
watoto zaidi ya 3000, na nguruwe wakubwa 1500
1500*200000= Tsh 300,000,000/= kwa mwaka
Nusu ya hiyo pesa ni gharama zingine, unabaki na 150mil.
Welcome to the club
Kabla hujajitumbukiza kaone mifano, au nenda sokoine ukaonane na wataalamu.
Kila mwaka nalima Mahindi, alizeti, maboga ekari 30 kwa ajili ya chakula cha
Nguruwe tu.
nakupenda saana mpwa,
Nguruwe watoto 20 @ 20000 = 400000
Banda la mabanzi=1,000,000
Chakula = 1,000,000
Dawa= 200000
After 1yr: Nguruwe 20 watazaa vitoto kama 160,
utachakuwa vitoto jike 100,
mama zao wote watauzwa, huku shambani kwetu nguruwe
mkubwa ni Tsh 200,000 tu, utapata 4,000,000
After 2yrs: Nguruwe 100 wanaweza kuzaa 700
Kati ya 700 chagua majike 500,(unaweza kuuza watoto dume ukanunua jike)
Year 3: Nguruwe 500 watazaa watoto 3500, chagua watoto 1500 tu
Kutoka hapo unamentein Number 1500, kila mwaka unaweza kuuza
watoto zaidi ya 3000, na nguruwe wakubwa 1500
1500*200000= Tsh 300,000,000/= kwa mwaka
Nusu ya hiyo pesa ni gharama zingine, unabaki na 150mil.
Welcome to the club
Kabla hujajitumbukiza kaone mifano, au nenda sokoine ukaonane na wataalamu.
Kila mwaka nalima Mahindi, alizeti, maboga ekari 30 kwa ajili ya chakula cha
Nguruwe tu.
nakupenda saana mpwa,