Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Wanajamvi hatimaye nimekutana na wafugaji wenye experience zao linapokuja suala la ufugaji wa Nguruwe,nimepigwa lecture ya kutosha kabisa na kwa mtaji wangu ni mkubwa tu kwa kuanza na idadi ya majike 20 kama wadau wengine walivyoshauri hapo juu,thanks to all mliochangia na mtakao endelea kuchangia wacha mie nikafanye utekelezaji..
 
Wanajamvi hatimaye nimekutana na wafugaji wenye experience zao linapokuja suala la ufugaji wa Nguruwe,nimepigwa lecture ya kutosha kabisa na kwa mtaji wangu ni mkubwa tu kwa kuanza na idadi ya majike 20 kama wadau wengine walivyoshauri hapo juu,thanks to all mliochangia na mtakao endelea kuchangia wacha mie nikafanye utekelezaji..

Mwaga hiyo lecture uliyopigwa hapa ili nasi tufaidike
 
Siku ingine ujifunze kauli ujue kutumia tafsida, sawa?
Hawaitwi Nguruwe, wanaitwa NOAH OLD MODEL!!
 
Wana jamvi,katika pita pita zangu mitaani,na kwenye mitandao ya kijamii nimegundua njia pekee itakayonipa ajira ni kujikita katika ufugaji wa Nguruwe kitaalam na kibiashara zaidi ikizingatiwa ndo kwanza nimehitimu elimu yangu ya Chuo kikuu..Nna shamba la ukubwa wa ekari 5 huko kijijini kwetu,maji yapo ya kutosha.Swali ni je shilingi milioni kumi (10,000,000) zinatosha kuanza kufuga nguruwe wangapi tangu wakiwa watoto hadi umri wa kuwauza? Naomba mnisaidie wadau

WE JAMAA NI choko, NILIKUTUMIA PM KUWA TUBADILISHENE MAWAZO KUHUSU HUU MRADI KWAKUWA MI MWENYEWE NATAKA KUANZA KUFUGA LAKINI HUJANIJIBU MPAKA LEO, NA NI WIKI IMEPITA. MA$ABURI YAKO
 
WE JAMAA NI choko, NILIKUTUMIA PM KUWA TUBADILISHENE MAWAZO KUHUSU HUU MRADI KWAKUWA MI MWENYEWE NATAKA KUANZA KUFUGA LAKINI HUJANIJIBU MPAKA LEO, NA NI WIKI IMEPITA. MA$ABURI YAKO

we nawe hovyo kweli ishu ndogo ndio umtusi mwenzio? unajuaje km yuko kijijini kwenye huo mradi na hakuna net? jitahidi kua na subira hasira hazijengi....
 
WE JAMAA NI choko, NILIKUTUMIA PM KUWA TUBADILISHENE MAWAZO KUHUSU HUU MRADI KWAKUWA MI MWENYEWE NATAKA KUANZA KUFUGA LAKINI HUJANIJIBU MPAKA LEO, NA NI WIKI IMEPITA. MA$ABURI YAKO

Hahahaaaaaa mkuu acha kulazimisha msaada wiki tu imepita umeanza matusi? Mpe muda huwezi jua yupo wapi bwana
 
WE JAMAA NI choko, NILIKUTUMIA PM KUWA TUBADILISHENE MAWAZO KUHUSU HUU MRADI KWAKUWA MI MWENYEWE NATAKA KUANZA KUFUGA LAKINI HUJANIJIBU MPAKA LEO, NA NI WIKI IMEPITA. MA$ABURI YAKO

We ----- kweli sasa unalazmisha msaada?naww komaaa kivyako upate utaalam kama alioupata yeye,Nkamia ww
 
WE JAMAA NI choko, NILIKUTUMIA PM KUWA TUBADILISHENE MAWAZO KUHUSU HUU MRADI KWAKUWA MI MWENYEWE NATAKA KUANZA KUFUGA LAKINI HUJANIJIBU MPAKA LEO, NA NI WIKI IMEPITA. MA$ABURI YAKO

Ila wewe njegele kweli... khaa...! mtusi mkubwa hivyo kisa hajajibu PM!?? unaupenda sana uchoko eeh!
 
Ila wewe njegele kweli... khaa...! mtusi mkubwa hivyo kisa hajajibu PM!?? unaupenda sana uchoko eeh!

Mkuu ukiwa na Stress we ingia JF tu hata sioni sababu ya matusi yote haya kisa PM
 
Wanajamvi hatimaye nimekutana na wafugaji wenye experience zao linapokuja suala la ufugaji wa Nguruwe,nimepigwa lecture ya kutosha kabisa na kwa mtaji wangu ni mkubwa tu kwa kuanza na idadi ya majike 20 kama wadau wengine walivyoshauri hapo juu,thanks to all mliochangia na mtakao endelea kuchangia wacha mie nikafanye utekelezaji..

Kaka though wengi wamechangia,nami pia nichangie kidogo.Mie nafuga for the past 8 months na nalima pia

1. Gharama kubwa ya ufugaji nguruwe ni chakula (about 80%) especially kama unafuga huku pwani. ni vema kama waweza kulima mahindi,matango,maboga,alizeti au hata mtama gharama zitashuka sana. Kwa sasa hv kama unanunua chakula kilichochanganywa (pumba pekee haitoshi,unahitaji madini,protein etc) ina average shs.600,000 per tonne.Nguruwe mmoja mkubwa anakula 2-3kg za hiyo complete ration. Ukichanganya mwenye (unahitaji formula) inaweza kuwa about tshs.400,000. Kama unalima hayo mazao hapo juu ni way cheaper.
Kwa hiyo nguruwe 20 watakula a minimum of 1200kg per month.upo kaka!!,Nguruwe 200 inakuwa=....
2.Band sio expensive sana lakini ukiwa nao wengi ni considerable cost! Banzi 1 wanauza 3000/-
3. Unahitaji kuwa na daktari wa wanyama karibu au ambae anaweza kutembelea regularly. Ukipata uzoefu haitakuwa mara kwa mara only unapokuwa na case za ugonjwa
4. Kwa mtu ambaye unaanza project hii naungana na ushauri wa kuanza na wa 5. Itakupa opportunity ya kupata uzoefu uzoefu ukiwa na wachache na waweza kuwamudu kirahisi unless kama utaajiri mtaalamu. Ukipata mbegu ambayo ni prolific hao watupa watoto wasipopungua 35! Ukiona mambo yanaenda vizuri baada ya miezi 6 waweza kuongeza wengine. Hiyo ya kuanza na wengi ni kama una mtaalamu au ww upo fulltime.
Pia nashauri kuanza na nguruwe wenye mimba za kwanza au pili. Tembelea wafugaji,chagua mbegu nzuri, then mwambie akupandishie. Wachukue nguruwe wakiwa na mimba za miezi 2 na dume mmoja wa miezi 8-12. Nguruwe huzaa baada ya miezi3 week3 siku 3. Unawanyonyesha piglets kwa 6-8 weeks halafu unawaachisha. Nguruwe huhitaji dume siku 5 baada ya kuachisha watoto kama alikuwa analishwa vizuri. Baada ya mwaka mmoja utakuwa na nguruwe zaidi ya 80. Karibu kaka.
 
Back
Top Bottom