Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Kaka though wengi wamechangia,nami pia nichangie kidogo.Mie nafuga for the past 8 months na nalima pia

1. Gharama kubwa ya ufugaji nguruwe ni chakula (about 80%) especially kama unafuga huku pwani. ni vema kama waweza kulima mahindi,matango,maboga,alizeti au hata mtama gharama zitashuka sana. Kwa sasa hv kama unanunua chakula kilichochanganywa (pumba pekee haitoshi,unahitaji madini,protein etc) ina average shs.600,000 per tonne.Nguruwe mmoja mkubwa anakula 2-3kg za hiyo complete ration. Ukichanganya mwenye (unahitaji formula) inaweza kuwa about tshs.400,000. Kama unalima hayo mazao hapo juu ni way cheaper.
Kwa hiyo nguruwe 20 watakula a minimum of 1200kg per month.upo kaka!!,Nguruwe 200 inakuwa=....
2.Band sio expensive sana lakini ukiwa nao wengi ni considerable cost! Banzi 1 wanauza 3000/-
3. Unahitaji kuwa na daktari wa wanyama karibu au ambae anaweza kutembelea regularly. Ukipata uzoefu haitakuwa mara kwa mara only unapokuwa na case za ugonjwa
4. Kwa mtu ambaye unaanza project hii naungana na ushauri wa kuanza na wa 5. Itakupa opportunity ya kupata uzoefu uzoefu ukiwa na wachache na waweza kuwamudu kirahisi unless kama utaajiri mtaalamu. Ukipata mbegu ambayo ni prolific hao watupa watoto wasipopungua 35! Ukiona mambo yanaenda vizuri baada ya miezi 6 waweza kuongeza wengine. Hiyo ya kuanza na wengi ni kama una mtaalamu au ww upo fulltime.
Pia nashauri kuanza na nguruwe wenye mimba za kwanza au pili. Tembelea wafugaji,chagua mbegu nzuri, then mwambie akupandishie. Wachukue nguruwe wakiwa na mimba za miezi 2 na dume mmoja wa miezi 8-12. Nguruwe huzaa baada ya miezi3 week3 siku 3. Unawanyonyesha piglets kwa 6-8 weeks halafu unawaachisha. Nguruwe huhitaji dume siku 5 baada ya kuachisha watoto kama alikuwa analishwa vizuri. Baada ya mwaka mmoja utakuwa na nguruwe zaidi ya 80. Karibu kaka.

Ebwana asante sana kwa kuendelea kuchangia uzi huu kwa kutupa knowledge za uhakika,mwalimu mmoja wa advance maujanja kama haya alikuwa akiita NONDO..Kwenye idadi nimepunguza naanza na 10
 
Nguruwe wanalipa, lakini uchanganye na maombi isije ikakupitia hii kitu wanaitwa swine feaver! Uliza watu wa rombo na moshi vijijini watakueleza vizuri. Mimi imenicost vibaya mwezi uliopita. Katika batch ambayo nilitarajia kupata walau milioni tano, nimeishia kuambualia milioni moja. Majirani zangu ndo usiseme. Kuna dingi kapoteza nguruwe 180, kila mmoja mwenye wastani wa bei ya sh 300,000,. Mbaya zaidi, hakuna tiba wala chanjo.
 
Hapo kwenye hilo shimo hapalowi au kuweka unyevu unyevu?

inapotokea unyevu umekuwa mwingi unatakiwa kuongeza either pumba za mpunga or randa za mbao , nakama ni kipindi cha kiangazi waweza weka majani makavu. hii inakuwa ndiyo kama kuosha banda, hivyo vyote vinapatikana bure katika mashine za kukoboa mpunga au kuranda mbao. chakuongeza ni kuwa chakula unachowapa kisiwe ndani ya maji mengi sana , kiwe cha unyevu au kikavu na maji pembeni , kwani kikiwa ndani ya maji hupelekea nguruwe kunywa maji mengi saaana na kisha kukojoa saana kiasi cha kulowesha zaidi chamba chake.
 
wasiwasi kidogo nilionao ni jinsi ya kulea piglet , kwani natarajia watazaliwa wengi kwa kipindi kimoja kifupi yaani february, na hasa ukizingatia upya wangu ktk fanii hii kidogo inanitia wasiwasi . ninachijiandaa kwa sasa ni chakula cha kutosha tu, hivyo ombi langu hapa JF kama kuna mwana JF mwenye uzoefu huo naomba anishauri nn chakufanya. maana matarajio ni nguruwe 15 kuzaa kipindi hicho na kama kila mmoja akizaa 6 hao ni 80 na kama ni 8 basi ni 120 hivyo nadhani utaiona changamoto nitakayokuwa nayo. mpango wangu ni kuwakuza wote , je mnanishaurije?
 
Nguruwe wanalipa, lakini uchanganye na maombi isije ikakupitia hii kitu wanaitwa swine feaver! Uliza watu wa rombo na moshi vijijini watakueleza vizuri. Mimi imenicost vibaya mwezi uliopita. Katika batch ambayo nilitarajia kupata walau milioni tano, nimeishia kuambualia milioni moja. Majirani zangu ndo usiseme. Kuna dingi kapoteza nguruwe 180, kila mmoja mwenye wastani wa bei ya sh 300,000,. Mbaya zaidi, hakuna tiba wala chanjo.
Aisee poleni sana..Hv huu ugonjwa kweli hauna hata chanjo?
 
Hongera sana mkuu.... watakuja tu wataalamu wa humu JF kukupa ushauri.... nimependa sana style ya ufugaji wako
 
Hongera sana fuchi kwa kuthubutu.ushauri wangu juu ya kulea hao watoto ni kwamba nenda katafute kijana mwingine wa ziada ambaye tayari ana uzoefu huo,unaweza kumpata kirahisi kupitia wafugaji hao hao waliokupa ushauri nwanzoni.

Kipindi hiki usiogope kutumia hela,tafuta huyo kijana kwa gharama yoyote hata kama ni kwa part time.
 
wasiwasi kidogo nilionao ni jinsi ya kulea piglet , kwani natarajia watazaliwa wengi kwa kipindi kimoja kifupi yaani february, na hasa ukizingatia upya wangu ktk fanii hii kidogo inanitia wasiwasi . ninachijiandaa kwa sasa ni chakula cha kutosha tu, hivyo ombi langu hapa JF kama kuna mwana JF mwenye uzoefu huo naomba anishauri nn chakufanya. maana matarajio ni nguruwe 15 kuzaa kipindi hicho na kama kila mmoja akizaa 6 hao ni 80 na kama ni 8 basi ni 120 hivyo nadhani utaiona changamoto nitakayokuwa nayo. mpango wangu ni kuwakuza wote , je mnanishaurije?
Hongera Fuchi
Umefika pazuri.
Kwa design hiyo ya ufugaji,ni lazima sana kuwepo mtu wakati wa kuzaa na siku zinazofuata baada ya hapo.Ni rahisi watoto kulaliwa na mama yao kwa sababu wkwa sababu ya mapumba.
Nashauri kuwa sehemu ya kuwaweka na wanyonye kwa uangqlizi mpaka watakapo pata nguvu za kutembea vizuri.
Wakatwe vitovu to about 5 cm mara wanapozaliwa na vichovye kwenye iodine.mazingira yako ni safi kwani watapata joto la kutosha
Wachome iron siku ya 2-3 na siku ya 21.mam alishwe chakula cha kutosha na watoto wakifikia week3 waanze kupata creep feed(chakula cha watoto).
Ukifanya hivyo watakuwa vizuri na kuacha kunyosha wakiwa wanakula vizuri.wakiachishwa wachomwe dawa ya minyoo
 
Hongera sana fuchi kwa kuthubutu.ushauri wangu juu ya kulea hao watoto ni kwamba nenda katafute kijana mwingine wa ziada ambaye tayari ana uzoefu huo,unaweza kumpata kirahisi kupitia wafugaji hao hao waliokupa ushauri nwanzoni.

Kipindi hiki usiogope kutumia hela,tafuta huyo kijana kwa gharama yoyote hata kama ni kwa part time.


yah, naona hili ni wazo zuri linaweza kuwa ni suluhisho la wasiwasi wangu, nitafanya hivyo mkuu lakini pia nitaendelea fanya mawasiliano humu JF ili kama nitapata ugumu fulani tushauriane.
 
Hongera Fuchi
Umefika pazuri.
Kwa design hiyo ya ufugaji,ni lazima sana kuwepo mtu wakati wa kuzaa na siku zinazofuata baada ya hapo.Ni rahisi watoto kulaliwa na mama yao kwa sababu wkwa sababu ya mapumba.
Nashauri kuwa sehemu ya kuwaweka na wanyonye kwa uangqlizi mpaka watakapo pata nguvu za kutembea vizuri.
Wakatwe vitovu to about 5 cm mara wanapozaliwa na vichovye kwenye iodine.mazingira yako ni safi kwani watapata joto la kutosha
Wachome iron siku ya 2-3 na siku ya 21.mam alishwe chakula cha kutosha na watoto wakifikia week3 waanze kupata creep feed(chakula cha watoto).
Ukifanya hivyo watakuwa vizuri na kuacha kunyosha wakiwa wanakula vizuri.wakiachishwa wachomwe dawa ya minyoo

asante mkuu kwa ushauri nitazingatia yote, hasa hili la kukata vitovu nilikuwa sijaliwazia kabisa , nilidhani nao wanazaa kama ng'ombe au mbuzi bila usimamizi wa karibu saaana , kumbe mpaka kitovu wakatwe! hapo kweli nahitaji mtu mwingine mwenye uzoefu huo. asante
 
UK-pig-farm-001.jpg


Hawa jamaa ukiwa na mtaji wa kutosha na ukazingatia ushauri wa kiintelijensia huwezi kudandia kazi za kubeba maboksi majuu...yes! Wanalipa
 
Nguruwe wanalipa, lakini uchanganye na maombi isije ikakupitia hii kitu wanaitwa swine feaver! Uliza watu wa rombo na moshi vijijini watakueleza vizuri. Mimi imenicost vibaya mwezi uliopita. Katika batch ambayo nilitarajia kupata walau milioni tano, nimeishia kuambualia milioni moja. Majirani zangu ndo usiseme. Kuna dingi kapoteza nguruwe 180, kila mmoja mwenye wastani wa bei ya sh 300,000,. Mbaya zaidi, hakuna tiba wala chanjo.
Gmosha,
Kwa yaliyokukuta.upo sahihi kuhusu maombi ,infact msaada wa Mungu unahitajika kwa kila jambo.usikatishwe tamaa,la msingi jifunze kwenye hilo then move forward.Hakuna business isiYo la risk.kila sehemu watu hufungua maduka na kufunga kwa sababu ya hasara lakini wapo wanaofanikiwa.kila business inakupa opportunity ya kupata hasara au faida!
JIM Rohn anasema😀o not wish for less problems,wish for more skills!
 
Gmosha,
Kwa yaliyokukuta.upo sahihi kuhusu maombi ,infact msaada wa Mungu unahitajika kwa kila jambo.usikatishwe tamaa,la msingi jifunze kwenye hilo then move forward.Hakuna business isiYo la risk.kila sehemu watu hufungua maduka na kufunga kwa sababu ya hasara lakini wapo wanaofanikiwa.kila business inakupa opportunity ya kupata hasara au faida!
JIM Rohn anasema😀o not wish for less problems,wish for more skills!


Ni kweli mkuu. Bado sijakata tamaa. Kwa bahati nzuri banda langu hawakufa wote. Wamepona kama kumi na mbili na wengine wana mimba. Natarajia hawa wataniwezesha kusonga mbele. Ni shughuli ambayo nimeifanya kwa miaka mitano sasa. Inalipa kama mambo yakienda shwari.
 
Ni kweli mkuu. Bado sijakata tamaa. Kwa bahati nzuri banda langu hawakufa wote. Wamepona kama kumi na mbili na wengine wana mimba. Natarajia hawa wataniwezesha kusonga mbele. Ni shughuli ambayo nimeifanya kwa miaka mitano sasa. Inalipa kama mambo yakienda shwari.
Nafurahi kusikia hivyo.so unafugia moshi kaka?tupo pamoja
 
asante mkuu kwa ushauri nitazingatia yote, hasa hili la kukata vitovu nilikuwa sijaliwazia kabisa , nilidhani nao wanazaa kama ng'ombe au mbuzi bila usimamizi wa karibu saaana , kumbe mpaka kitovu wakatwe! hapo kweli nahitaji mtu mwingine mwenye uzoefu huo. asante
Mr.Fuchi,
Tupo pamoja.either uajiri au upate mtu amuelekeze kijana wako.isio ngumu hiyo hata ww kama upo around waweza fanya.
Mi nipo interested kuona hiyo deep litter system ya mabanda yako.niliku pm naona hujapata muda wa kuona.
Nadhani ulisema unafugia mkambarani au sio?mi nafugia Maseyu mwendo kidogo kutoka mikese kama unakuja dar.
Nataka ku expand mabanda na nataka kujaribu hii deep litter system.
Mi nimeweka sakafu,jinsi mabanda yanavyo ongezeka usafi inakuwa labour intensive!nita appreciate kuona ww ulivyofanya

"No dream is too big but action brings dreams to reality"
 
Wana jamvi,katika pita pita zangu mitaani,na kwenye mitandao ya kijamii nimegundua njia pekee itakayonipa ajira ni kujikita katika ufugaji wa Nguruwe kitaalam na kibiashara zaidi ikizingatiwa ndo kwanza nimehitimu elimu yangu ya Chuo kikuu..Nna shamba la ukubwa wa ekari 5 huko kijijini kwetu,maji yapo ya kutosha.Swali ni je shilingi milioni kumi (10,000,000) zinatosha kuanza kufuga nguruwe wangapi tangu wakiwa watoto hadi umri wa kuwauza? Naomba mnisaidie wadau
Ebu pitia na post hii https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/42162-anza-hivi-mpwa-wangu.html. Naamini itakubust.
 
Mmmmhhh malalamiko yako ni ya kweli umenitumia pm but mpaka time hii sijakujibu..Ndg yangu haimaanishi kuwa nimedharau au namna gani nilijaribu kureply lakini sikuwa nimetimiza vigezo na masharti ya JF when it comes to pm..Sijafurahishwa na kitendo chako cha kutokuwa na busara na kuamua kunita choko let me assume kuwa jazba tu zilikuzidi na sio tabia yako hivyo ulimi uliteleza..then tukiwa tunabadilishana huo uzoefu kwenye hizo pm unadhani wengine watanufaikaje? What if this man called Malafyale angeni pm watu wangeona details alizotoa? Let us share ideas and experiencies publically ili kila mmoja anufaike then jazba sio issue..

Nimependa ulivorespond...na kama umeeza react hiv kwa huyu basi hii ni dalili ya mafanikio na kua na busara!!! Keep on moving mkuu!!
 
Haya wajasiriamali na wafugaji NGURUWE document hii naamini ina msaada mkubwa sana na mzuri kwa wafugaji wanaoendelea na beginners like me.
 
Back
Top Bottom