MalafyaleP
Senior Member
- May 23, 2013
- 187
- 387
Kwa kiwango kikubwa wanaagizwa Zambia.Kwa hiyo kama upo along barabara Dar to Tunduma ni rahisi zaidi. Lakini tuna watu Dodoma,Ifakara,Moshi pia ambao wamenufaika na mbegu hizi. Labda niseme hizi mbegu na kwa watu serious wanaotaka kufuga kibiashara.Mkuu upatakinaji wake kwa hapa nchini ni mikoani au mkoa gani hasa?
Maana nipo katika maandalizi ya kuanza hii project ya ufugaji wa hao wanyama.
Kwa kiwango kikubwa wanaagizwa Zambia.Kwa hiyo kama upo along barabara Dar to Tunduma ni rahisi zaidi. Lakini tuna watu Dodoma,Ifakara,Moshi pia ambao wamenufaika na mbegu hizi. Labda niseme hizi mbegu na kwa watu serious wanaotaka kufuga kibiashara.
Pamoja sana mkuuWazo zuri.Wapo watu walio committed utapata tu. Mkishapata shamba na kuweka miundo mbinu,waweza nirudia tena .Who knows,naweza kukusaidia a few piglets to start with. Vijana wenye mawazo kama yako mnahitaji kupewa moyo zaidi
Yeah,Wafugaji wachache wenye nia ya kuboresha ufugaji wa nguruwe waliungana pamoja na kuunda chama cha wafugaji nguruwe Tanzania(Tanzania Association OF Pig Farmers -TAPIFA). Kwa kupitia TAPIFA watanzania wengi wataweza kupata aina mpya ya mbegu ya nguruwe iitwayo Camborough.
Hilo jina la mbegu mpya linatamkika vibaya!!! eniwei nitaitafuta niijaribu.
Exactly dear!Sijui waswahili watakuelewaje pale utakaposema:Wamama wengi wafugaji wa nguruwe wanapenda mbegu ya kamboro!Yeah,
Linatamkika Ka-Mboro
Inategemea utazamo wako na unataka kupeleka ujumbe gani. Ila linatamkika "Kambora".Wafugaji wachache wenye nia ya kuboresha ufugaji wa nguruwe waliungana pamoja na kuunda chama cha wafugaji nguruwe Tanzania(Tanzania Association OF Pig Farmers -TAPIFA). Kwa kupitia TAPIFA watanzania wengi wataweza kupata aina mpya ya mbegu ya nguruwe iitwayo Camborough.
Hilo jina la mbegu mpya linatamkika vibaya!!! eniwei nitaitafuta niijaribu.
Mi madhani walitaka kuchangamsha thread au hawajui kutamkaInategemea utazamo wako na unataka kupeleka ujumbe gani. Ila linatamkika "Kambora".