Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Hapana sikufanikiwa kiongozi eneo nililotarget changamoto ilikuwa lina wakazi wengi wa dini ya ndugu zetu hivyo kufanya project kama hiyo ni ngumu kwa ushauri wa wazoeafu
Pole sana mkuu,
Kwahiyo umefuga kuku ama ulibadili kabisa mawazo mkuu?
 
Nilibadili mawazo nikaanza kilimo cha karanga huko mpanda na April natarajia kununua japo ekari mbili hapa Mlandizi nianze bustani mkuu
 
Namtafuta sana huyo jamaa nikae nae tuongee mana ndo naanza mradi wang

Mkuu ulimpata huyu jamaa anayefugia mikese? Ninataka kuanzisha mradi wa namna hii maeneo ya mikese ningependa kujua kuhusu upatikanaji wa mashamba (maana nitachanganya na kilimo cha mazao ya bustani), naomba unipe hints juu ya hili au niunganishe na jamaa.
 
Wakuu kweli nawe za kuishi kwa ufugaji wa nguruwe kama Nazi yangu kuu kwenye maisha
 
Habari za jioni wanajanvi kwa uzoefu nilionao na utaalamu wangu kuhusu nguruwe naweza kukushauri hvi
Kwanza inabid ujue tabia za nguruwe anapenda au anahitaji nini ili akue vizuri ,
Tambua kwamba nguruwe wakiwa wadogo uhitaji joto kiasi jopo si kali sana na hata wakikua baada ya mwezi mmoja huwa hawaitaji joto sana ,ili kupunguza joto bandani inabid ufanye haya kupunguza idadi ya nguruwe yani wawe wachache au uwaweke kwenye chumba kikubwa,
Kama hilo ni tatizo tofautisha ujenzi wa banda yani kulingan na umri wa nguruwe mfano banda la nguruwe waliozaa na weners liwe tofauti na wale wanotaka kupandwa,wenye mimba, wakuchinja na nk,kama kuna mtu aliwahi kwenda Tandan farm Mkuranga ndo mwanzilishi wa pale kwa hiyo naushaid ndo maana tukafikisha 1800 pigs with 400 sows,NB si lazima mabanda yawe kama ya Tandan
 
wapendwa naomba radhi kwanza kwa wote walionipigia simu wakitaka tujadili zaidi mradi huu, kutokana na sababu zilizokua nje ya uwezo wangu imekua ngumu mno kufanya ushirika kwenye mradi huu kama nilivyoomba hapo mwanzo juu. sasa hivi ninanaendelea na ujenzi wa banda hapa nyumbani wa kuweka nguruwe watatu plan yangu nichukue jike wawili na dume mmoja mungu akijalia mpka ijumaa nitakua namaliza ujenzi wa banda, ninajenga mwenyewe banda la miti kwa kuwa ni rahisi zaidi kwangu nitawatumia picha na nitawapa mrejesho nikimaliza ujenzi.
 
Mkuu na
Fika pale tegeta kuna mama mfanyabiashara maarufu anashamba kubwa la nguruwe na ni muuzaji mkubwa kwenye mabucha mbalimbali jijini. Ulizia kwa DC Mama Fatuma Joseph kimario utapelekwa, ni maarufu sana maeneo hayo hata mtoto mdogo atakuelekeza.
Mkuu naomba kukuuliza ni tegeta sehemu gani tegeta nyuki au tegeta kwa ndevu?
 
mimi ninavo vitoto lakini naona vinaumizana mikia mpka inatoa damu kabis,,anyejua shida ni nini au niwape dawagani
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…