Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Naomba kuelekezwa namna ya kufuga nguruwe kisasa na kibiashara

Kuna nyuzi kibao kwenye jukwaa hili hili zinaelezea kila kitu kuhusu ufugaji wa nguruwe kisasa na kibiashara. Endapo utataka kufanya ubia katika hii biashara ya ufugaji wa nguruwe karibu tuzungumze.
 
Habari wakuu.. mimi ni miongoni mwa wafugaji wachanga wa nguruwe .. tatizo langu ni kuwa nilinunua vitoto vya nguruwe sehemu moja yaani wote ni tumbo moja madume 2 na majike 6.. tatizo kuna wafugaji wachache huku kijijini wanasema hawa nguruwe dada na kaka wakipandiana vitoto vitakavyozaliwa vitakufa nitafute dume sehemu nyingine.. je kisayansi kuna ukweli wowote hapo?
 
Jaman naomben niulize swali nna imam wenye elimu nalo watanijibu kiufasaha



Jaman nasikia kuwa nguruwe anaingia ktk hedhi kama binadam eti hii Habar ina ukweli? Na kunawanaosema nguruwe wana tabia ya kuingiliana kinyume na maumbile hii nayo imekaaje
 
Kwani mkuu kati ya hizi Dini mbili na nguruwe kipi kilianza kuwepo Duniani?
 
Nahitaji kufuga nguruwe ila natatizwa sana na aina ya mbegu kuna mkulima mmoja aliniambia kuna nguruwe wanaoweza kufika hadi kilo mia tatu na ni wa kisasa. Lakin huku nilipo sijawaona kabisa. Naombeni kama kuna mtu yeyote mwenye udhoefu na hili anisaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…