Hii mimi ni field yangu kabisaaa na imenigusa sana,kwa kuwa mimi hii elimu niliipata bure kwa msaada wa serikali iliyoko madarakani acha nami niwasaidie watanzania wenzangu.
Kwa kawaida nguruwe hubeba mimba kwa muda wa miezi mitatu, wiki tatu na siku tatu,hii ni sawasawa na siku 114. Hiyo ndiyo gestation period ya nguruwe. Kuhusu idadi ya watoto ambao nguruwe anaweza akazaa itategemea na idadi ya titi/nyonyo ambazo mama alizokuwanazo,zikiwa kumi na mbili basi atazaa kumi na mbili zikiwa nane pia atazaa nane nk, lakini kwa ujumla nguruwe huzaa watoto kuanzia 8-12.
Tahadhari,fuga mbali na maeneo ya waislam na wazabato.