Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Kijijn huku tunaenjoy majani yapo mengi na mashudu bei ni 2000 kwa debe so ykifuga ela unauina vizuri sana
Mfano mm nlikuwa na nguruwe 40 madume tu nliyanunua sehmu tofauti tofauti wakiwa wadogo kabisa 3months old mwezi wa 4 walmaliza mwaka nkawauza kwa 350000 kila mmoja = 14000000 kumbuka nilwaasi wote nkatoa garama ya chakula na dawa pamoja na kuwanunua wao wenyew 3500000 huku nanua madhudu kwa debe moja elfy 2000 muhudumu ni mm mwrnywe na wife wangu coz nkitoka kazin saa9 mchana naandaa msosi wao so approximately profits ni kama 10 ml hiv so ufugaji na biashara mahali inatgmea na maxingira ulyopo pamoja na upatikanaji w chakula coz ndio kinagharama kubea sana
 
I've been very hardly looking for this!

Thanks
 
Lita 10 ni hasara. Ng'ombe anatakiwa kutoa lita 35 kwa siku.
Unatakiwa kutafuta mbegu bora
 
Kuna jike lenye mimba linauzwa kwa yeyote anayehitaji anipm.
 
Guys huu ugonjwa wa Nguruwe unaua banda zima kwa siku moja nini kinga? Ukishatokea inabidi ufanyeje kurudi kwenye game? Wale Vitoto vinavyobaki vinafaa kuendelea kufugwa au vinakuwa tayari navyo vinamaambukizi? ?
 
fuga tu nguruwe wanalipa vibaya mno profit magin yake ni kubwa nguruwe mmoja anaanzia bei laki 5 mpaka laki 7 wakiwa mia una 70milioni utakua tajir japo ni haramu na mara nyingi vitu haramu vinalipa
Hahhhahahaa.. minna eneo naanza mda sio mrefu.. kwan vitoto shngap?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…