Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Kijijn huku tunaenjoy majani yapo mengi na mashudu bei ni 2000 kwa debe so ykifuga ela unauina vizuri sana
Mfano mm nlikuwa na nguruwe 40 madume tu nliyanunua sehmu tofauti tofauti wakiwa wadogo kabisa 3months old mwezi wa 4 walmaliza mwaka nkawauza kwa 350000 kila mmoja = 14000000 kumbuka nilwaasi wote nkatoa garama ya chakula na dawa pamoja na kuwanunua wao wenyew 3500000 huku nanua madhudu kwa debe moja elfy 2000 muhudumu ni mm mwrnywe na wife wangu coz nkitoka kazin saa9 mchana naandaa msosi wao so approximately profits ni kama 10 ml hiv so ufugaji na biashara mahali inatgmea na maxingira ulyopo pamoja na upatikanaji w chakula coz ndio kinagharama kubea sana
 
Ng'ombe zinalipa mkuu, kama una mtaji. Usilinganishe biashara ya ng'ombe na nguruwe, kuku au ufugaji wa Samaki

Ng'ombe wanalipa katika maziwa sana na bado ukichinja pia wanalipa sana

Mfano ; una ng'ombe wako wa kisasa anatoa litre 10@siku
Litre 10* siku 300= litre 3,000 kwa mwaka
1 litre= Tshs1,500
3,000 litre = Tshs 4,500,000
Kwa mwaka unapata iyo apo
Aya toa nusu yake kwenye Madawa na muhudumu
Tshs 4,500,000*1/2= Tshs 2,250,000

Ufugaji unalipa jamani
Lita 10 ni hasara. Ng'ombe anatakiwa kutoa lita 35 kwa siku.
Unatakiwa kutafuta mbegu bora
 
Habari wakuu! Ninaimani mpo Salama kwa neema ya Mungu wetu.

Wakuu mi natamani kuanza kufuga ngurue jijini mwanza japo sina network, ningetamani kama kuna mtu yeyote anafunga mnyama huyu huku Mwanza anisaidie japo kwa mawazo tu.

Natanguliza shukrani nikiamini mtanisaidia.
Kuna jike lenye mimba linauzwa kwa yeyote anayehitaji anipm.
 
Guys huu ugonjwa wa Nguruwe unaua banda zima kwa siku moja nini kinga? Ukishatokea inabidi ufanyeje kurudi kwenye game? Wale Vitoto vinavyobaki vinafaa kuendelea kufugwa au vinakuwa tayari navyo vinamaambukizi? ?
 
fuga tu nguruwe wanalipa vibaya mno profit magin yake ni kubwa nguruwe mmoja anaanzia bei laki 5 mpaka laki 7 wakiwa mia una 70milioni utakua tajir japo ni haramu na mara nyingi vitu haramu vinalipa
Hahhhahahaa.. minna eneo naanza mda sio mrefu.. kwan vitoto shngap?
 
Back
Top Bottom