Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Nilinunua rosti ya nguruwe nikaja kupasha kwenye sufuria, kilichotokea nilikuta sufuria ile imeshushwa chini na kufunikwa ile nyama isionekane, nilichofikiri ilikuwa ni tabia ya wachawi kuja sasa siku hiyo wamekuja wakakuta nyama ya mdudu ikiwazuia kufanya kazi yao, mdudu ni kinga nzuri sana
 
Kitimoto ni sawa na Seduced me kipnd kile inatoka, ukiwa unaila kama ni mgeni nayo lazma utie neno/ulopoke, waweza upayuke mbele ya hadhara "hv kwa nini mtume alitukosea hv?" muislam akiwa anaila utamjua tu, kwanza unakuta anatafna huku anasinzia kwa kukonyeza kwa ule utamu, pili udenda lazma umtoke, yaan keshabugia ya kutosha mdomoni lakn bd udenda unatoka akiangalia zilizopo jikon na kwenye sahan kwa jinsi anavyoitaman, anaweza ale ngurue mzima, sasa usiombee umnyatie taratbu halaf umshtue ghafla anaweza apayuke "BWANA **** ASIFIWE" (itkad imezngatiwa) huku keshasimama akiwa ameshka sinia.
 
Wewe mwehu wa standard gauge kwakweli.
 
ngoja nikaagize kitimoto nusu (roast) na ugali halafu nitakuja kukomenti ......
Tuwekeee na picha ya kitimoto ili na sisi tule kwa picha. Nguruwe analika sana Zanzibar, kuna wapemba wananunua nguruwe morogoro na Dodoma wanachinjiwa na kupeleka Zanzibar na Oman, wanapiga Pesa nyingi sana
 
Pale sinza Lego ni hatari sana kwa mdudu
 
Watu wanapenda sana kitimoto aisee!!! Pombe haramu Zinaa haramu Nguruwe haramu n.k

Ni wewe tu ujichagulie mwenyewe dhambi ya kutenda .
Ni hayo tu
 
Nenda Dodoma, Mbeya na Iringa wanawazindika nguruwe. Nguruwe anaogopwa na majini ya kiislam tuu, lakini wengine wanapiga kama kawa
Haha kumbe kuna majini ya kikristo pia
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…