uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,240
Kwani jogoo anafaida gani zaidi ya nyama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka kwa sauti..Wale ma sister do wanakwambia ' I'm not a strict Muslim any way'.
Lipia tangazo lako tafadhali.Sinza kiti moto ndiyo kwao, kuna bar moja baada ya Mwika pale ma kaburini kwenye corner kupelekea kanisa la walokole. Kuna roast na nyama choma.
Wewe mwehu wa standard gauge kwakweli.Kitimoto ni sawa na Seduced me kipnd kile inatoka, ukiwa unaila kama ni mgeni nayo lazma utie neno/ulopoke, waweza upayuke mbele ya hadhara "hv kwa nini mtume alitukosea hv?" muislam akiwa anaila utamjua tu, kwanza unakuta anatafna huku anasinzia kwa kukonyeza kwa ule utamu, pili udenda lazma umtoke, yaan keshabugia ya kutosha mdomoni lakn bd udenda unatoka akiangalia zilizopo jikon na kwenye sahan kwa jinsi anavyoitaman, anaweza ale ngurue mzima, sasa usiombee umnyatie taratbu halaf umshtue ghafla anaweza apayuke "BWANA **** ASIFIWE" (itkad imezngatiwa) huku keshasimama akiwa ameshka sinia.
Tuwekeee na picha ya kitimoto ili na sisi tule kwa picha. Nguruwe analika sana Zanzibar, kuna wapemba wananunua nguruwe morogoro na Dodoma wanachinjiwa na kupeleka Zanzibar na Oman, wanapiga Pesa nyingi sanangoja nikaagize kitimoto nusu (roast) na ugali halafu nitakuja kukomenti ......
Pale sinza Lego ni hatari sana kwa mdudunadhani ile iliyokuwa pale dagaa dagaa(sinza lego) kwa sasa pamevunjwa ilikuwa tamu sana... ukitaka choma, kavu roast wewe tu...dah enzi za chuo kila weekend ilikuwa lazima nikapate kitu pale, now bado yapo baadhi ya majiko ila hapajachangamka kama zaman, siku hizi nakulaga huku mtaani tu muda unabana
Nenda Dodoma, Mbeya na Iringa wanawazindika nguruwe. Nguruwe anaogopwa na majini ya kiislam tuu, lakini wengine wanapiga kama kawaHawasogei kabisa penye uwepo wa nguruwe
Haha kumbe kuna majini ya kikristo piaNenda Dodoma, Mbeya na Iringa wanawazindika nguruwe. Nguruwe anaogopwa na majini ya kiislam tuu, lakini wengine wanapiga kama kawa
sasa lego yule mzee anabanda kabisa la nguruwe pale ukija mbele ya sansiro kwenye bango lile la maziwa pale kuna uchochoro moja kwa moja mpk kwake mzee ana mifugo mingi nguruwe,ng'ombe,kuku,bata,kanga nkPale sinza Lego ni hatari sana kwa mdudu
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kitimoto ni sawa na Seduced me kipnd kile inatoka, ukiwa unaila kama ni mgeni nayo lazma utie neno/ulopoke, waweza upayuke mbele ya hadhara "hv kwa nini mtume alitukosea hv?" muislam akiwa anaila utamjua tu, kwanza unakuta anatafna huku anasinzia kwa kukonyeza kwa ule utamu, pili udenda lazma umtoke, yaan keshabugia ya kutosha mdomoni lakn bd udenda unatoka akiangalia zilizopo jikon na kwenye sahan kwa jinsi anavyoitaman, anaweza ale ngurue mzima, sasa usiombee umnyatie taratbu halaf umshtue ghafla anaweza apayuke "BWANA **** ASIFIWE" (itkad imezngatiwa) huku keshasimama akiwa ameshka sinia.
Kitimoto inafukuza majini.ngoja nikaagize kitimoto nusu (roast) na ugali halafu nitakuja kukomenti ......
Kitumoto inafukuza majini[emoji3] [emoji3] [emoji3]