Shukrani mkuuUkipandisha jike na dume ambao ni ndugu, kuna uwezekano wa haya kutoke;
1, Mimba kuharibika.
2, Kuzaliwa watoto "goi goi" hawana nguvu wala afya! Watoto dhaifu.
3, Kimungu mungu, kimiujiza ujiza wakaishi na wakakua!
Ugonjwa upi tena?!!Huuu ugonjwa uliotangazwaa Leo umenitibulia biashara yangi ambayo kilasiku nakunyaaa laki moja mpk SAS nimeuzaa kilo 2 tu cjuii itakuaje watu wakisusa kbsa kulaa nguruwee
Magonjwa ya kawaida tu mkuu, usipandishe presha!Ugonjwa upi tena?!!
Nguruwe kuanzia miez 6 anakua tayari kuuzwa kwaajili ya nyama..hilo hesabu la mwaka hesabu gani hiloKwa wastani nguruwe anaweza kula kilo ngapi kwa mwaka ?
Una mda kumbeMiezi 3 ni kidogo mno?.inachukua miezi 6-8 kumlea nguruwe hadi awe tayari kuuzwa kwa nyama au kuweza kupata mimba.Hata kama unataka kuuza watoto unahitaji week 5 hadi 8.mie nimekuwa na study hii biashara for sometimes now na nimeanza kufuga 4 months ago.the best way ni kuanza na nguruwe kama 10 hivi wenye mimba ambao watazaa within a month..pia ni vema kufuga shamba ambako pia unalima mahindi au mtama alizeti au ufuta.gharama kubwa ya kufuga ni chakula.At the moment mchanganyiko wa chakula cha nguruwe una cost about 1200/kg lakini ukilima mwenyewe inakuwa about 450/kg:.nguruwe mmoja anakula 2-3 kg kwa siku.
Soko kubwa lipo Dar es salaam.hauhitaji kupeleka huko,wanunuzi wanakuja shamba.waweza kuuza baada ya kuchinja(inalipa zaidi) au live weight ambayo pia nzuri na convinient
Naona unauliza swali badala ya kutoa jibu. hapa umefeliNguruwe kuanzia miez 6 anakua tayari kuuzwa kwaajili ya nyama..hilo hesabu la mwaka hesabu gani hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu uliungwa group lolote la ufugaji nguruwe?Wakuu mwenye group la whatsaap la ufugaji wa nguruwe a niweke 0742197840
Unga na hi pls 0787424379Wote mlioomba kua kwenye group nawasilisha namba zenu kwa Admn
Naona unauliza swali badala ya kutoa jibu. hapa umefeli
Rudia ukasome vizuri. labda kama huelewi swali linakuwa je?
Natafuta soko la nguruwe shamba liko himo bei nzuri kwa wanaonunua nguruwe tuwasiliane pia nina watoto wa kisasa kabisa white large wazuri
Jaman naombeni ushauri wa ufugaji wa nguruwe.mambo gani ya kufanya ili nipate mazao ya mazuri ya nguruwe .pamoja na vyakula gani ni bora kwa nguruwe .dawa gani ni bora
Natanguliza shukran kwenu wanq JF
Kwann usirud shambani kwakeAisee Wakuu,huyu Mkuu Amoeba amepotelea wapi? Nilibahatika kufika shambani kwake kwa kweli alinivutia sana,lakini ghafla tu akawa hapatikani.