Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Nimependa hiyo miembe nje ya banda.
Ni kweli hii style inaruhusu Nguruwe to be in a somewhat natural environment. Loved to see iko implementable huku pia. Naona banda umelizungushia mabanzi tu usalama ukoje huko? Mm nafugia Arusha na hapo inakuwa ni kualika wezi tu.
MamaEE,
Ninafugia nje ya mji na hakujawa na wezi serious.Tumefuga mbwa pia kwa hiyo usiku mgeni akisogea tu mbwa wanashughulika.
Yes,tunalima miembe pia na mazao mengine
 

Attachments

  • IMG-20151001-WA0064.jpg
    IMG-20151001-WA0064.jpg
    158.1 KB · Views: 328
Kuweni makini kidogo kwenye kuchanganya mbegu maana kama unataka chotara just for the sake of it or colors then you are fine ila kama focus ni features fulani like size, lean body mass, extra ribs, favor, care of their young etc lazima uhakikishe your interbreeding plan takes all the features into account. Wengi ninaowafahamu mm wanataja majina ya breeds bila kuwa na sababu ya preference Yao....
 
Uko vizuri! Kwangu ndio nimehmishia mifugo shambani kutoka nyumbani... Natamani kuwa namatunda, mboga etc in due time. Safi sans... Nikita panda Za huko nitatembelea shamba lako vile liko inspirational. Ubunifu pure!
 
Uko vizuri! Kwangu ndio nimehmishia mifugo shambani kutoka nyumbani... Natamani kuwa namatunda, mboga etc in due time. Safi sans... Nikita panda Za huko nitatembelea shamba lako vile liko inspirational. Ubunifu pure!
karibu MamaEE
 
Mkuu hongera sana nimeona kuna jamaaa kawawekea na ka swimming pool aisee wana enjoy sana hasa joto likiwa kali.
 
soma hapa https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=735164 na hapa pia https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=931761
 
Kweli kabisa mkuu. Lakini ni njia ya kupata pesa, then ukidifferentiate hapo unakuta pesa mwanaharamu

Haramu Ni kimtokacho mtu. Basi tuachane na hayo, kama nyama yake inaua TFDA, wizara ya mifugo wangekubali kuua watanzania?
Mdudu, ataliwa daima
 
يشق ي ؤ
nguruwe tamu
 
Mnalisha watu nyamafu!
Hivi mpk muugue kiasi gani ndio muache kula huyu mnyama mchafu?
Cancer za matumbo hazijawakomesha tu eti!!

Yaani wewe huendani na maneno kwenye signature yako. Hivi kwa nini watu kama nyinyi mnashindwa uvumilivu? No wonder every society mnayoishi mnataka kuimpose views zenu on others. Mnakuwa wakaidi mno!
 
I have tried to ignore you but it seems you are uneducated!unaweza ukawa umeenda shule lakini umetoka kama ulivyoingia.
Kama unataka kuhubiri kama kula nyama ya nguruwe na sahihi au la,anzisha thread yako hubiri unavyoweza na kuna ambao watakuja kukuelimisha pia.
Imani sio kitu cha kulazimisha na hapa sio mahali pake.Staarabika na Heshimu imani za watu wengine

Mkuu jamaa anakera mno! Sijui huyo Mungu yeye ndo anamfahamu peke yake? Watu wanajaribu kujikomboa na lindi la umasikini..yeye analeta nonsense zake hapa.

Some people live because it is illegal to harm them.
 
niko bomang'ombe hai namba yangu ni 0713435233 mm pia natafuta mtu wa kufanya nae kazi ya ufugaji wa ngurue jointly nina mabanda na nguruwe 14...kama ukipenda tunawweza kutana tukaangalia how we can do a joint venture...
 
Wakuu,

Nahitaji mtu ambaye tunaweza kuunganisha nguvu kwa pamoja awe na eneo tuanze ufugaji wa nguruwe.

Mimi naishi Dar, hilo eneo itakuwa vizuri likiwa Kibaha, Bagamoyo, Mkuranga au hata hapa hapa Dar pembezoni kabisa mwa mji.

Ni muhimu sana hilo eneo husika liwe na maji kwaajili ya ufugaji, kusiwe na shida ya maji kabisa.

Pia eneo liwe mbali na makazi ya watu ili kuepusha mitafaruku.

Karibuni wote.
 
Shenz type najisi zenu huko huko bara pwani yetu hatutaki uchafu huku,dude linakula mavi yake still linaliwa hachinjwi anapigwa marungu.
 
Back
Top Bottom