LUSAMBO LUCAS
New Member
- Jun 28, 2016
- 3
- 0
0766531608Namba yangu 0788684574 naomba uniadd wafugaji wa nguruwe whatsapp
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
0766531608Namba yangu 0788684574 naomba uniadd wafugaji wa nguruwe whatsapp
0752815213 naomba uni add kwenye group la nguruweDu yaani kati ya watu waliowaza mbali kabla ya kufuga ni wewe.Ni kweli kabisa changamoto kubwa ya ufugaji nguruwe ni kwenye chakula,kinauzwa bei mbaya na hasa pumba za mahindi ambazo kwetu sisi ndiyo lishe kuu kwa nguruwe.
Kwa Maana hiyo ukiweza kupata hizo Mashine,utafuga kirahisi sana,na mafanikio utayaona haraka sana.
Ukiwa interested kuna kundi la whatsup la wafuga nguruwe na Mimi nimo humo,unaweza jiunga ili kupata morali ya kuendelea na ndoto yako
We're of the spirit.Wewe ni pagani? Au unajiamulia kuishi utakavyo tu?
Je wewe ni mfuasi wa Paulo au Yesu?
Yupo mdau anaitwa Maxkitimoto, mpm huyo akupe maujanja.
Angalizo:
Deuteronomy 14:8 The pig is also unclean; although it has a divided hoof, it does not chew the cud. You are not to eat their meat or touch their carcasses.
Leviticus 11:7 And the pig, though it has a divided hoof, does not chew the cud; it is unclean for you.
We're of the spirit.
Uncleanliness comes from within you.
Even eating a monkey doesn't make someone unworthy /unclean.
uchafu unaokuchafua upo ndani yako, ktk mawazo na maneno yatokayo kinywani mwako.
Good news, add Mimi kwa hilo group please 0755750104Habari za humu ndani?? Naomba msaada nahitaji watoto wa nguruwe Mwanza idadi 30 naomba namba sehemu nayoweza kuwanunua wazazi wangu walifuga nguruwe kwa muda mrefu sasa nataka niwanunulie waanze tena maana waliuza zote miaka mingi imepita.. Nataka niwape kitu cha kifanya maana wamestaafu.. Naomba msaada wa pakuzipata Mwanza na bei zake, natanguliza shukrani.
Add hii namba 0755750104Du yaani kati ya watu waliowaza mbali kabla ya kufuga ni wewe.Ni kweli kabisa changamoto kubwa ya ufugaji nguruwe ni kwenye chakula,kinauzwa bei mbaya na hasa pumba za mahindi ambazo kwetu sisi ndiyo lishe kuu kwa nguruwe.
Kwa Maana hiyo ukiweza kupata hizo Mashine,utafuga kirahisi sana,na mafanikio utayaona haraka sana.
Ukiwa interested kuna kundi la whatsup la wafuga nguruwe na Mimi nimo humo,unaweza jiunga ili kupata morali ya kuendelea na ndoto yako
Je, wayajua matunda ya roho?We are of the spirit, yes we are.
But we are flesh and spirit. That is why you have to take care of both. It has bee described howyou can do that.
BTW, where is your spirit housed? Do not you need to keep your house clean?
Kwa usemayo hapo juu inaonekana unaweza kumwoa dada yako wewe. Kama huwezi ni kwa sababu gani?
Uache uteja!
Je wayajua matunda ya mwili?Je, wayajua matunda ya roho?
kama upo mwanza unatafuta nguruwe tuwasiliane mkuu.Please add me too 0689341445
Habari za humu ndani?? Naomba msaada nahitaji watoto wa nguruwe Mwanza idadi 30 naomba namba sehemu nayoweza kuwanunua wazazi wangu walifuga nguruwe kwa muda mrefu sasa nataka niwanunulie waanze tena maana waliuza zote miaka mingi imepita.. Nataka niwape kitu cha kifanya maana wamestaafu.. Naomba msaada wa pakuzipata Mwanza na bei zake, natanguliza shukrani.