Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulishabahatika kumuona Bata?...Na bata pia anaumbile hilo mkuu...wana mbo.o inazunguka kama screwdriver,mimi hili sijawahi shuhudia kwa kiumbemwingine yoyote,ilikuwa ni utalii mkubwa sana kwangu
yaa mkuu ila ya bata haiko strong kama ya huyu jamaa pig,alaffu inazunguka balaaUlishabahatika kumuona Bata?...Na bata pia anaumbile hilo mkuu...
Wewe sikuizi paka na panya wanacheza pamoja, paka wengi wamezoea kula rost, na vi chipsi chipsi. Hawahangaiki kabisa na panya kwanza ni marafiki mno, na saa ingine utaona kabisa paka anamkimbia panya wanafukuzana.
Nitakuwekea clip hapa utaiona.Hii sijaona [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Umemichekesha sana ukiwaona tena ni tag please
niachane nisikitumie au ndo niendelee maana siku hizi kiswahili kipo kinyumeachana kabisa na kitimoto mkuu
ahsante kwa ushauri mkuuUkitoa mada kama hizi ni bora ukawa na uelewa wa sayansi ya wanyama hizi siyo propaganda za vyama mkuu. Baadala ya kutoa hitimisho ungeomba wstu wajadili labda ingekua bora zaidi.
hahahahahPolisi wanamtumia nguruwe kama mbwa pia
Nipo mkuu..hajui kama kitimoto ni dawa ya majini..?
hahahaha, je kama ni majini machafu yanayopenda uchafu si hayamuogopi huyo "mdudu"? hahahahaha.Nipo mkuu..hajui kama kitimoto ni dawa ya majini..?