Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

Huo upendo unatia mashaka, sio wa kibinadamu wa kawaida.

It’s way too good to be true!
 
Huo upendo unatia mashaka, sio wa kibinadamu wa kawaida.

It’s way too good to be true!
Mkuu nazifaham changamoto za maisha za jamii ya chini nami nipo huko moyo wangu unaniuma Sana unakuta mtu eneo analo linafaa kwa ufugaji lkn hajui chochote.

Nimesaidiwa kujua namimi ni nani nisijitolee
 
Nadhani Kama una Nia ya dhati ya kutusaidia wenzio ungeeleza hapahapa jukwaani kuliko kuitana kwa mawasiliano au PM.

Something bizarre may happen in future [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nadhani Kama una Nia ya dhati ya kutusaidia wenzio ungeeleza hapahapa jukwaani kuliko kuitana kwa mawasiliano au PM.

Something bizarre may happen in future [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo mpango mzuri umekaa kwenye lengo baya
Mimi ninania nzuri tu lkn inawezekana ukafkiria vibaya
Walionipigia nimeongea nao vzr tu na wamenielewa vzr Sana
Sjadai pesa ni hiki nilichonacho na wengine wapate

Lkn pia nashkuru kwa ushauri wako nikimaliza project zangu za strawberry nitakuja kufundisha hapahapa

Barikiwa sana
 
Bingwa naomba ushauri juu ya chakula kipi bora kwa ukuaji wa kambale....
 
Ntakutumia formula ya chakula mkuu
Mkuu ninaomba unisaidie maarifa kuhusu maswali machache.

1. Unapochimba bwawa, hususan eneo ambalo ni tambarare (bwawa la kujengea zege), vigezo gani hutumika kuchagua upande upi wa bwawa uwe deep na upi uwe shallow? mfano, issue ya direction of sunlight inahusika?

2. Nikifuga sato inatakiwa mita moja niweke samaki wangapi (nikitumia extensive, semi-intensive na intensive system)

3. Kati ya intensive, semi-intensive na extensive methods, ipi ina tija kwa mkulima?
 
Mkuu naomba ku shea document za ufugaji wa samaki.Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…