JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,197
Umebobea kwenye ufugaji kwa njia ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzia hatua za mwanzo kabisa mpaka mwishoUmebobea kwenye ufugaji kwa njia ipi?
Mkuu nazifaham changamoto za maisha za jamii ya chini nami nipo huko moyo wangu unaniuma Sana unakuta mtu eneo analo linafaa kwa ufugaji lkn hajui chochote.Huo upendo unatia mashaka, sio wa kibinadamu wa kawaida.
It’s way too good to be true!
Nipo Tanga kwasasaUnaptkan wapi kwa sasa
Karibu sananitakutafuta Ndugu unipe ushauri kidogo kuhusu ufugaji wa samaki asante sana.
Asante kwa jibu zuri japo halijajibu swaliKuanzia hatua za mwanzo kabisa mpaka mwisho
Tatizo mpango mzuri umekaa kwenye lengo bayaNadhani Kama una Nia ya dhati ya kutusaidia wenzio ungeeleza hapahapa jukwaani kuliko kuitana kwa mawasiliano au PM.
Something bizarre may happen in future [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bingwa naomba ushauri juu ya chakula kipi bora kwa ukuaji wa kambale....Habarini ndugu zangu Kama heading inavyosomeka hapo juu
Mimi ni kijana wa kiume nimeamua kujitolea kwa yeyote anaetaka kufuga samaki iwe ni kibiashara au kwaajili ya matumizi ya nyumbani anicheki nitamsaidia bure kumshauri au hata kufika eneo analotaka kufugia kwa gharama zake
Nitamsaidia na kumshauri mambo yote yanayohusika na ufugaji kuanzia mwanzo mpaka mwisho .
Lengo-
Ujuzi huu Mimi niliupata mbeya tena bure kwa ufadhili wa serikali yetu ili kuinua uchumi wa wanainchi kupitia ufugaji samaki
Baada ya mafunzo hayo pia nilifanya kazi hio kwa miaka 4 nikapata uzoefu wa kutosha
Baada ya kuondoka mbeya tukapewa darasa la uzalendo na kuinuana
Muda wote sikuwahi kulipa chochote kila kitu nilipata bure
Kwahio Kama unataka au unatamani kufuga samaki na huna uelewa juu ya biashara hio nichek
Nimepewa bure na mimi natoa sadaka kwa wahitaji ili niwe huru kwenye nafsi yangu
0714839251
KaribunH
Ntakutumia formula ya chakula mkuuBingwa naomba ushauri juu ya chakula kipi bora kwa ukuaji wa kambale....
Asante sana mkuuNtakutumia formula ya chakula mkuu
Mkuu ingekua bora ukatuma humu ndani ili tupate kufaidika wote hata mimi pia nahitaji hio formula mkuuNtakutumia formula ya chakula mkuu
Mkuu ninaomba unisaidie maarifa kuhusu maswali machache.Ntakutumia formula ya chakula mkuu
Kienyeji.Msaada wakuu anaejua kutotoresha kambare kienyeji
Mkuu naomba ku shea document za ufugaji wa samaki.AsanteWana JF
Tanzania imebarikiwa kuwa na vyanzo vya maji ya asili ikiwemo mito, mabwawa, maziwa, bahari, chemchem nk. Kutokana na vyanzo hivi tunapata samaki wa aina mbalimbali wakiwemo perege/sato, kambale, kambamiti (prawns), vibua, changu, kaa n.k.
Samaki ni chanzo cha lishe, kipato na ajira, tunaweza tukatengeneza vito kutokana na lulu wa chaza. Nimejaribu kuzungukia katika soko letu la fery pale nikagundua akina mama na wadau wengi wanafaidika sana na biashara ya samaki nadhani tunawaona mitaani kwetu lakini wanalalamika bei imekuwa juu na upatikanaji wake ni wa shida sana kulingana na msimu.
Nilijaribu kufuatilia kwa undani suala hili kwa wizara husika nikaelezwa ni kweli bei ya samaki iko juu na upatikanaji wake ni mgumu kutokana na samaki wamepungua kwa kiasi kikubwa na wanapungua kwa kasi ya ajabu...Hali hii inatokana na mabadiliko ya hali ya hewa, uharibifu wa mazingira, nguvu kubwa ya uvuvi iliyopo kwa mfano samaki sangara kutoka ziwa victoria wamepungua sana na wanaopatikana kwa sasa ni wadogo. Pia wizara ililazimika kufunga uvuvi wa prawns kwa meli kubwa kubwa kutokana na hali kuwa mbaya. Hata perege wanaopatikana ni wadogo na kwa uchache.
Ili kuokoa suala hili, njia pekee ni kuhamasisha UFUGAJI WA SAMAKI kwa ajili ya kipato, ajira na chakula. Nimevutiwa na suala hili nikaona niwashirikishe wana JF. Nchi za asia china, ufilipino, japan, indonesia fani hii imekuwa sana na wananchi wanajikwamua kiuchumi kutokana na ufugaji wa samaki.
Bado ninafanya ufuatiliaji wa karibu kuhusu suala hili la ufugaji samaki na jinsi tunavyoweza kufaidika nalo. Ninaamini tunaweza kufuga na kupata faida kubwa pia tukatunza mazingira yetu ya asili.
Wakati naendelea kufuatilia suala hili naomba mwenye taarifa basi tushirikiane hapa JF. Nitarudi tena kwa maada hii mara nitakapokusanya taarifa ndani ya siku chache.
Nawasilisha kwa michango yenu.
Nteko Vano Maputo
Penye nia pana njia
![]()
*Nakala na vitabu juu ya Ufugaji wa Samaki DOWNLOAD Attachments