Samaki anafugwa kwenye bwawa la udongo (earthen pond), lililo sakafikwa (concert pond) au bwawa ulilotanguliza lyron.
Mara nyingi aina ya bwawa unatengeneza kulingana na upatikanaji wa maji lakini pia inategemeana na mtaji.
Pia unaweza kufuga kwenye tenki na kwenye maji yanayotembea japo hii sio kwetu haipo.
Naami kuna wataalum zaidi wanaweza kujazia.
Samaki anafugwa mikoa yote Tanzania isipokua ni kama kuku anakua zaidi maeneo ya joto.
Kifaranga wa siku moja ukimuweka Njombe-Makete na Morogoro.
Utaanza kumla wa Moro wakati huo wa Njombe bado kifaranga.!