Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,704
- 2,858
Naombeni kupatiwa bei yake ama kuelekezwa nchi zinakopatikana hizi fish cages za kisasaNdugu zanguni nahitaji vizimba vya namna hii (angalia picha hapo chini);
1. Naweza kuvipata kwa urahisi kwa kuagiza kutoka nchi gani?
2. Bei yake ikoje?
View attachment 2568200
View attachment 2568202
View attachment 2568203
Nilipata wa deal mkuu, ila sikwambii nilikopataSato umewapata wapi
mwambie mtaalam afanye utafiti upya, nipo nafanya utafiti na sangara anaishi vizuri kwenye bwawa.Nilimuuliza mtaalam, fulani akanijibu kuwa Sangara hafugiki kwasababu ni ambae anahitaji kutembea masafa marefu sana anahitaji eneo kubwa kumfuga.
Samaki wanaofugwa kwa Tz ni Sato/perege (Tilapia) na kambare kwa maji baridi kwa maji chumvi ni Prawns, Milky fish (Mwatiko) na kaa
1m=6 samakiWakufunzi naomba mnijuze ukubwa wa bwawa la vifaranga 50000 sato/ perege,naweza kupataje calculations yake ili wawe wanaweza kula vzr na ukuaji wenye tija!
1m=6 samaki
M? = 50000 samaki
50000/6= 8000mita za mraba
Ukubwa wa bwawa inatakiwa iwe 8000 mita za mraba.
Bwawa linaweza likawa na urefu mita 29 na upana 29 au tofauti lkn ukizidisha ur x up upate 8000.
Kwenye joto mfano Dar, Moro miezi 6 lakini kwenye baridi wanachelewa miezi 8 mpaka 10.Hivi inachukua muda gani kuwavuna hawa mkuu....?
Kwenye joto mfano Dar, Moro miezi 6 lakini kwenye baridi wanachelewa miezi 8 mpaka 10.
Kifaranga mpaka atakapofikia kutaga mayai au kuliwa ndo huchukua muda huo.Kwa hao hao utakaowaweka au wanazaliana na kuongezeka mkuu...? Na bei ya vifaranga Huwa wanauzwa mmoja mmoja...?
Kifaranga mpaka atakapofikia kutaga mayai au kuliwa ndo huchukua muda huo.
Huwa wanauza kifaranga 50 pelege na 200 kambale kwa huku niliko Njombe, naamini bei sijajua kwa maeneo mengine ila nahisi hazipishani sana.
Nilikua namaanisha kifaranga kimoja cha samaki huuzwa shilingi hamsini.Na hao vifaranga 50 ni bei gani kiongozi...?
Jamani hivi samaki anafugika sehem yeyote au Kuna maeneo maalum ya kuwafugia?
Samaki anafugwa kwenye bwawa la udongo (earthen pond), lililo sakafikwa (concert pond) au bwawa ulilotanguliza lyron.Jamani hivi samaki anafugika sehem yeyote au Kuna maeneo maalum ya kuwafugia?
Samaki anafugwa kwenye bwawa la udongo (earthen pond), lililo sakafikwa (concert pond) au bwawa ulilotanguliza lyron.
Mara nyingi aina ya bwawa unatengeneza kulingana na upatikanaji wa maji lakini pia inategemeana na mtaji.
Pia unaweza kufuga kwenye tenki na kwenye maji yanayotembea japo hii sio kwetu haipo.
Naami kuna wataalum zaidi wanaweza kujazia.
Samaki anafugwa mikoa yote Tanzania isipokua ni kama kuku anakua zaidi maeneo ya joto.
Kifaranga wa siku moja ukimuweka Njombe-Makete na Morogoro.
Utaanza kumla wa Moro wakati huo wa Njombe bado kifaranga.!
Inategemeana na sehemu unayotaka kuwekeza gharama za ujenzi upoje, lkn pia unataka uwekezaji wa aina gani, tumesema kuna bwawa lipo jiran na mto hivyo utalichimba tu na kuweka maji, kuna mwingine anatumia maji ya bomba au mtu hivyo ili yadipotee kwa wingi atatanguliza lailoni chini màji yasipotee, mwingine atataka bwawa lake liwe la kudumu hivyo atasakafia au atajenga la juu.Hivi kwa mtaji wa milioni 5 au 10 naweza kuanza na vifaranga vingapi kuanzia mwanzo mpaka navuna kiongozi...?
Unawalisha chakula cha dukani tupu?gharama za chakula zikoje?Aisee mimi nafanya ufugaji wa samaki wanalipa sana ila mitaji tu ni changamoto ili mtu uweze kuzalisha kwa wingi inahitaji eneo kubwa udril kisima kama una changamoto ya maji,ila kiufupi tu ni biashara inalipa kuliko ufugaji wa kuku,hao samaki wanaonekana Wana miezi 6/View attachment 2501235
Gharama za Njombe.kuchimba bwawa kwa mikono hua zikoje mkuu.mfano la ukubwa 10x20m?Kifaranga mpaka atakapofikia kutaga mayai au kuliwa ndo huchukua muda huo.
Huwa wanauza kifaranga 50 pelege na 200 kambale kwa huku niliko Njombe, naamini bei sijajua kwa maeneo mengine ila nahisi hazipishani sana.