Habari.
Kupitia jukwaa hili tumekua tukijifunza vitu tofouti juu ya namna ya kujiendeleza kiuchumi ili kujikwamua kutoka katika hali tulizonazo. shukrani kwa wale walionitafuta na wakapata ushauri, nadhani bado tupo pamoja na mtafanikiwa.
Bado nasisitiza uchaguaji wa eneo na uchimbaji wa bwawa unahitajika umakini kwani ndipo ambapo utakua unafanya mladi hivo ikiwa kama initial stage ,inabidi umakini,hivo ujumuisha, uwepo wa maji safi kwa kiasi kikubwa, na uwezekeno wa kupata chakula cha samaki wako.
Mahitaji ni makubwa kulinganisha na wataalamu tuliopo, ivo tuendelee kuwasiliana kwa ajili ya kupeana ujuzi na ushauri, fuga samaki mana ni biashara inayolipa sana. kwa maelezo zaid wasiliana nami 0717451771.