Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

fish_pond.jpg
Biological filters and specially developed bacteria treat the water the fish are growing in, without wasting anything. "There's plenty of fish in the sea," the old saying goes – but that's not as true as it once was. In fact, says Dotan Bar-Noy, CEO of Israel's GFA (Grow Fish Anywhere) Advanced Systems, there are fewer fish in the sea with each passing year. "Overfishing is a much bigger problem than people realize, and in a few years, many species of salt water fish are simply going to disappear if something isn't done." Bar-Noy and 30 or so others – mostly engineers, marine biologists and other technical folk – have found a solution to the diminishing numbers of fish in the sea. Based on the work of Israeli scientist Dr. Yossi Tal and Hebrew University professor Jaap van Rijn – inventor of the system – GFA has developed an on-land environment where fish can be raised, without having to exchange water or treat it chemically. "We call this a zero-discharge system," Bar-Noy tells ISRAEL21c. "We use biological filters and specially developed bacteria to treat the water the fish are growing in, without wasting anything. The system can be set up to raise salt-water fish anywhere in the world – even in the desert, thousands of miles from the ocean," he asserts. Fish farms are nothing new. They've been around for years, enabling growers to set up controlled environments that can ensure a specific yield of fish, allowing them to guarantee delivery without worrying about dwindling supplies in the ocean, pollution, inclement weather, and other factors that are hard to control. Fish farm foibles Still, while they enhance the conservation of fish in the sea, fish farms have problems of their own – mostly due to the need to circulate the water in the pools and tanks where the fish are raised. Most fish farms are located adjacent to a body of water, and their waste-laden water is channeled into the sea, and replaced with "fresh" sea water. While fish raised in captivity don't produce an increased amount of waste, at sea it would be dissipated over a much wider area. The fish waste, with its nitrogen and other elements concentrated in a relatively small area, renders the water that it's dumped into uninhabitable for fish. As the tanks are generally located near the shore, in relatively shallow water, the wastewater tends to linger there. With the movement of the currents, nearby jurisdictions are liable to find a considerable number of fish floating belly-up in their bays and harbors, having been poisoned by the high concentration of nitrogen and nutrients in the wastewater dumped from the tanks.
fish_pond_gfa.jpg
GFA's New York purification plant opened in 2009 and is already supplying 100 tons of sea fish a year to the US market. This problem is so serious that in some areas fish farms are banned, despite their being perhaps the only technologically feasible solution available to combat overfishing, says Bar-Noy. Alternative purification systems are based on electrical treatment systems which are expensive to install and run, and are not all that effective, he notes. "Even when they work, the electrical purification systems are too expensive, and fish produced with those systems will cost far more than fish from the sea." GFA is currently the only solution that eliminates the environmental problems associated with fish farming. Tanks are filled with water, then with fish – and added to the mix are microbes perfected by GFA to treat the nitrogen and organic waste byproducts of fish production, in the tank. Water is only added to replace that which evaporates, and the fish can grow through their natural cycle and remain in the tank until they are ready for market. "It's the most efficient fish growing system possible," claims Bar-Noy, "There is no pollution, and there is no need to fish at sea. Just set up tanks with GFA technology anywhere in the world, and harvest the fish when you're ready to go to market." Toward eliminating world hunger Because the GFA system uses cheap and easy-to-produce bacteria to cleanse fish tanks, the costs for raising the fish are fully competitive with those for raising fish from the sea, or other farms, Bar-Noy points out. And tank-raised fish are uniformly tasty. "Fish from the sea are subject to the natural weather cycles of cold and heat, while farmed fish can be raised at a constant, ideal temperature. GFA fish have an even greater advantage, since the water they grow in is always fresh, making the fish taste better than fish from other sources." The system has already been set up in several locations in Israel, and the company runs a purification facility in upstate New York, which has been operating since 2009. The facility, the largest using GFA technology, produced about 100 tons of fish last year – mostly salt-water fish like sea bream, bass, tilapia, and others. GFA is currently working on the third generation of its purification system. While the company was formed in 2008, its technology was developed over a 20-year period. "While the ideas were there for awhile, the only viable purification techniques were based on electrical devices. It was only with the rise of biotechnology techniques that we were able to develop the bacteria that enable us to do the purification cheaply," Bar-Noy explains. The resulting system allows for high-capacity fish production – as much as 100 kg of fish per cubic meter of water (220 pounds of fish per 35 cubic feet) – along with the ability to grow fish in any environment. Fish farms can be set up anywhere – including in large cities, where fish may be brought to market the same day they're harvested, thus enabling growers to eliminate transportation time and costs. After raising funds from several angels, GFA recently raised NIS 18 million (about $126,000) from Dutch private equity fund Linnaeus Capital Partners. The money will finance a number of projects, including expanding the New York facility and further refining the technology. "As populations grow, more countries are looking to fish as sources of protein, but overfishing threatens to destroy that dream," says Bar-Noy. "With our system, fish can be grown anywhere – even in the desert – with minimal environmental impact. This is about more than just growing fish," he adds. "This could help feed millions."

Dah mkuu nikushukuru sana kwa ushiriki wako na hizi nondo zako. Nafikiri nikianza na mabwawa kama matatu hivi ya SATO yaliyochimbwa chini nitapata pa kuanzia.

Ngoja nifuatilie mazingira ya hapa BONGO na namna ya kuwakuza maana sijajua bado growth rate yao inakuaje mkuu.
 
Nani mwenye uelewa kuhusu Samaki wa Maji Chunvi? make nasikia unaweza kuwafuga sehemu yoyote na kinacho takiwa ni kuchota maji Baharini na kuwawekea
 
hivi haya mabwawa mnayatengenezaje?

Yapo mabwawa/ponds za kienyeji na kisasa. Ili ufuge samaki vizuri lazima ujue shape ya bwawa, bwawa lazima liwe na slop ktk sakafu yake, yaani upande mmoja uwe na kina kirefu 1.2M na upande mwingine uwe na kina kifupi kama 0.8M ili samaki aweze kucheza sawa na joto la maji linavyobadilika.

Ukubwa mzuri ni kuzingatia idadi ya samaki unayotaka kufuga, 1square metre kwa samaki 4. Ni vizuri kama maji yatakuwa yanaingia na kutoka, lakini hata static water samaki wanaishi na kukua vizuri,ila kuongeza maji kila mara ni vizuri sana kwa afya ya bwawa, pia kuna kama maturubai ya plastic pia watu wanatumia kufugia samaki. Soil structure ni muhimu sana.

La muhimu zaidi ni kuangalia chanzo cha maji, na lazima maji yapimwe mapema. Haya ni machache ambayo ni basic.
 
Jamani tusaidiane chanzo cha maji kinachofaa. Maji ya mto, ya bomba, au ya kisima? Tusaidiane tafadhali, je maji ya bomba yanafaa kufugia samaki?

Maji yaliyo salama kwa ujumla wake yanafaa, ila maji yenye chemicals hayafai. Kabla hujaanza kufuga inabidi upime Ph, acidity, alkalinity, dissolved oxygen, seapage kama ni bwawa la kuchimba,na salinity. Mtalaam atakupa data za maji yanayotakiwa.
 
Naomba nichangie mawili matatu,
Kabla hujaenda huko kwa watalaam, je eneo lako lina maji ya namna gani? Yanatiririka, yatakuwa ya kutuama, au ya kuleta kwa pampu/mfereji, je yamewahi kutokea mafuriko/au huwa yapo, ardhi ni mali ya nani/.Aina ya udongo uliopo ktk eneo lako.

Haya maswali lazima utaulizwa huko kwa watalaam. Nimeweka red kama tahadhali, nina rafiki yangu Isele Mkuranga, alipata mkondo mzuri wa maji bure, akafanya vitu vyake kitalaam,mavuno ya kwanza yakawaamsha waliolala,hawataki jamaa apanue biashara yake,kuuza hawataki, na wao kufuga hawawezi.

watu hao wana wivu wa maendeleo. Unadhani watu kama hao wataweza kuwatunza hao samaki wakiachiwa?.

Nahisi hamana fikra za kiujasiria mali.
"wivu haujengi" hali kama hii inasababishwa pia na ufinyo wa elimu hivyo msiwalaumu kwa kuwa ni wajinga (hawaja elimika).

Kwa upande wangu niliwahi kumshauri mzee wangu ampe ruhusa mtu mwenye uwezo wa kulima shamba la mpunga alilo nunua mwaka 2009 kwa misimu mitatu bila malipo yeyote kwa sababu hakuwa na mpango wa kulitumia na lilikuwa linazidi kuwa pori.
 
Asanteni sana wadau namimi naomba kuchangia!

Ni vizuri sana ukafanya EXTENSIVE POLYCULTURE ni kimaanisha ufuge samaki wa aina tofauti kwenye bwawa moja na hii kutokana na utafiti ya kuwa ukifuga Tilapia pekee kwenye bwawa wanazaliana sana na ukuaji wake unakuwa shida na ukubwa wa samaki unauwa mdogo kwa vile wanagombania chakula!

Hivyo basi ukiweka kambale wao wakuwa kama simba porini kwa ajili ya kupunguza vitoto vya samaki kwa kuvila(Predetors)

Njia hii haitaji ununue vyakula vya samaki unatumia mbolea kama samadi, mboji bmolea ya mbuvi hata Nguruwe na hii inasaidi sana kupunguza gharama za vyakula ambapo pia hadi sasa hatujaweza kuzalisha vyakula vya kiwango.

Nina project hapo BWAI unaweza kuni pm ila haihusiani na Aquaculture ila tunaweza kushirikiana kuinvest pamoja ni dream yangu na hivi ninavyoandika ni kwa workshop inayohusiana na mabo hayo unaweza yapata kupitia IFOAM.


Asanteni.
 
Asanteni sana wadau namimi naomba kuchangia!

Ni vizuri sana ukafanya EXTENSIVE POLYCULTURE ni kimaanisha ufuge samaki wa aina tofauti kwenye bwawa moja na hii kutokana na utafiti ya kuwa ukifuga Tilapia pekee kwenye bwawa wanazaliana sana na ukuaji wake unakuwa shida na ukubwa wa samaki unauwa mdogo kwa vile wanagombania chakula!

Hivyo basi ukiweka kambale wao wakuwa kama simba porini kwa ajili ya kupunguza vitoto vya samaki kwa kuvila(Predetors)

Njia hii haitaji ununue vyakula vya samaki unatumia mbolea kama samadi, mboji bmolea ya mbuvi hata Nguruwe na hii inasaidi sana kupunguza gharama za vyakula ambapo pia hadi sasa hatujaweza kuzalisha vyakula vya kiwango.

Nina project hapo BWAI unaweza kuni pm ila haihusiani na Aquaculture ila tunaweza kushirikiana kuinvest pamoja ni dream yangu na hivi ninavyoandika ni kwa workshop inayohusiana na mabo hayo unaweza yapata kupitia IFOAM.


Asanteni.

Polyculture ni nzuri, lakini lazima iwepo formula, ili kama naanza na tilapia 400 ktk bwawa la 10m x10m natakiwa niweke kambale wangapi. Bila formula unaweza ukashangaa tilapia wanaishia.

Njia nyingine ya kisasa ni kuchukua samaki wa jinsia moja tu kama unalenga kufuga kibiashara. Ukiweka mavi ya nguruwe kama unafuga kibiashara unaweza kimbiza wateja wako. Weka usiku watu wasikuone.

BWAI ndio wapi mkuu? Na IFOAM ni nini?
 
Polyculture ni nzuri, lakini lazima iwepo formula, ili kama naanza na tilapia 400 ktk bwawa la 10m x10m natakiwa niweke kambale wangapi. Bila formula unaweza ukashangaa tilapia wanaishia.

Njia nyingine ya kisasa ni kuchukua samaki wa jinsia moja tu kama unalenga kufuga kibiashara. Ukiweka mavi ya nguruwe kama unafuga kibiashara unaweza kimbiza wateja wako. Weka usiku watu wasikuone.

BWAI ndio wapi mkuu? Na IFOAM ni nini?

Ah ah ah ah! umenichekesha sana mkuu! ulikuwa ni mfano tu! ki imani Nguruwe itawakwaza wengi.

Nakubaliana haswa na wewe issue ya kukadilia predators na kwa kweli ni seme haya mambo siyo ya kufanya kienyeji ni lazima wataalam watumike.
BWAI ni eneo lipo Musoma vijijini ndilo mdau mwenye bandiko alitakufanyia mradi wake.

IFOAM ni International Federation Organic Agriculture Movement. Ambapo Organic Aquaculture inahusika.

Asante mkuu kwa kushare.
 
Asanteni sana wadau namimi naomba kuchangia!

Ni vizuri sana ukafanya EXTENSIVE POLYCULTURE ni kimaanisha ufuge samaki wa aina tofauti kwenye bwawa moja na hii kutokana na utafiti ya kuwa ukifuga Tilapia pekee kwenye bwawa wanazaliana sana na ukuaji wake unakuwa shida na ukubwa wa samaki unauwa mdogo kwa vile wanagombania chakula!

Hivyo basi ukiweka kambale wao wakuwa kama simba porini kwa ajili ya kupunguza vitoto vya samaki kwa kuvila(Predetors)

Njia hii haitaji ununue vyakula vya samaki unatumia mbolea kama samadi, mboji bmolea ya mbuvi hata Nguruwe na hii inasaidi sana kupunguza gharama za vyakula ambapo pia hadi sasa hatujaweza kuzalisha vyakula vya kiwango.

Nina project hapo BWAI unaweza kuni pm ila haihusiani na Aquaculture ila tunaweza kushirikiana kuinvest pamoja ni dream yangu na hivi ninavyoandika ni kwa workshop inayohusiana na mabo hayo unaweza yapata kupitia IFOAM.


Asanteni.
I wish I could be your apprentice, at least I could observe what's really into field with fish and all that. Kazi zinanibana aisee, but I hope to get that virgin chance one time and learn all about fish growing and market, otherwise thanks
 
Mkuu mimi nimefaidika sana na michango iliyotolewa hapa JF, mwanzoni nilidhani hapa JF ni mizaha mizaha tu lakini sasa nimekubali hapa ni mahala pa great thinkers, nilikuwa bado najipanga kutoa shukrani zangu za dhati kwa wanaJF wooooteeee!!!
Baada ya kuyasema hayo ngoja nikumegee kidogo namna ya kupata jibu unalolifatufa. Kwa ufupi wasiliana na Kajitunus Osewe, Assistant director, Aquaculture Development Division, Ministry of Livestock development and Fisheries mobile: 0755166226 au 0787469801Email yake ni kajitanus@gmail.com ukiwa na bahati kama ya kwangu atakukabidhi kwa afisa anayeshughulikia ufugaji wa samaki kwenye eneo lako Oh! ni watu wazuri sana, very friendly, bless them.
Good luck
Thanks much mkuu! Mungu akubariki sana sana!
 
Ah ah ah ah! umenichekesha sana mkuu! ulikuwa ni mfano tu! ki imani Nguruwe itawakwaza wengi. Nakubaliana haswa na wewe issue ya kukadilia predators na kwa kweli ni seme haya mambo siyo ya kufanya kienyeji ni lazima wataalam watumike.
BWAI ni eneo lipo Musoma vijijini ndilo mdau mwenye bandiko alitakufanyia mradi wake.

IFOAM ni International Federation Organic Agriculture Movement. Ambapo Organic Aquaculture inahusika.

Asante mkuu kwa kushare.

Poa,

Nimeanza kufuga kienyeji kidogo kwa kukamata kambale pori na kuwafuga, jaribio la kwanza nimefaulu, sikuwapima uzito nilipowakamata,ila volumewise wamefikia viwango vizuri. Hawa IFOAM hawa website? Natamani sana kulima kilimo hai,yaani organic farming.
 
thanks guys for contributions in here, i attest today i have learned a lot from this thread!
 
Poa,

Nimeanza kufuga kienyeji kidogo kwa kukamata kambale pori na kuwafuga, jaribio la kwanza nimefaulu, sikuwapima uzito nilipowakamata,ila volumewise wamefikia viwango vizuri. Hawa IFOAM hawa website? Natamani sana kulima kilimo hai,yaani organic farming.

Hiyo safi sana Malila! labda ugemwaga na aina ya bwawa ulilolima hili wadau tufaidike pia kwani hilo nalo ni tatizo! IFOAM wanayo website na ukigoogle IFOAM utapata mkuu.

Pia tanzania wana mshirika wao anayeitwa TOAM Tanzania Organic Agriculture Movement kama upo dar wanaweza kukupa mwanga haswa organic Aquaculture ingawa nashauri sana kwanza tufanye convesional aquaculture kwani the opposite bado tuna vikwanzo sana kulingana na viwango vya kimataifa!

Pia kwa knowledge zaidi ingia Organic Services:-international consultancy.
 
Hiyo safi sana Malila! labda ugemwaga na aina ya bwawa ulilolima hili wadau tufaidike pia kwani hilo nalo ni tatizo! IFOAM wanayo website na ukigoogle IFOAM utapata mkuu.

Pia tanzania wana mshirika wao anayeitwa TOAM Tanzania Organic Agriculture Movement kama upo dar wanaweza kukupa mwanga haswa organic Aquaculture ingawa nashauri sana kwanza tufanye convesional aquaculture kwani the opposite bado tuna vikwanzo sana kulingana na viwango vya kimataifa!

Pia kwa knowledge zaidi ingia Organic Services:-international consultancy.

Niweke picha au nitoe maelezo.
 
Mkuu maelezo ni muhimu sana lakini usisahau kuwa picha pia uzungumza vitu kibao! so utachoona au napendekeza yote mawili!

Thanks as always!

Vuteni subira kidogo,kama week moja hivi, niko mkoani, nikirudi Dar nitawawekea picha ya fish ponds zangu.
 
watu hao wana wivu wa maendeleo. Unadhani watu kama hao wataweza kuwatunza hao samaki wakiachiwa?. Nahisi hamana fikra za kiujasiria mali.
"wivu haujengi"
hali kama hii inasababishwa pia na ufinyo wa elimu hivyo msiwalaumu kwa kuwa ni wajinga (hawaja elimika).
Kwa upande wangu niliwahi kumshauri mzee wangu ampe ruhusa mtu mwenye uwezo wa kulima shamba la mpunga alilo nunua mwaka 2009 kwa misimu mitatu bila malipo yeyote kwa sababu hakuwa na mpango wa kulitumia na lilikuwa linazidi kuwa pori.

Kuna sehemu ukilima msimu wa kwanza wakiona mazao unayopata hawakutaki tena, wanaanzisha zengwe wanasema huyu tajiri wa Dsm anatuletea fujo.
 
nipm nikupe contact za afisa uvuvi mtaalam sana ye nimstaafu kwa sasa wengi anawafanyia hizo kazi but yupo Iringa town
 
Back
Top Bottom