Elections 2010 Ufunguzi wa Kampeni ya Chadema Jangwani 2010

Elections 2010 Ufunguzi wa Kampeni ya Chadema Jangwani 2010

uzuri wa SIASA siku zote mtu yoyote anaweza ongea chochote kama MC. Ni wajibu wa kila mmoja kivyakevyake kutafuta kilichojiri.

Huyu jamaa amemwaga upupu hapa Jangwani leo lakini hakuna hata sehemu moja alikoelezea jinsi gani;

1. Atakavyo-badilisha mikataba ya madini iliyopo na kwa kutumia sheria ipi? Hii Uranium au reserves mpya za madini yeye anataka kufanyaje tofauti na wengine wote Duniani wanavyofanya?
2. Namna gani serikali yake ya mawaziri 20 itaweza ku-run bila kuongeza kurugenzi na taasisi zaidi ambazo ni gharama zaidi. Angekuwa muwazi angetuambia hao mawaziri watakuwa zizara gani na namna gani taasisi za serikali zitakuwa zinaendeshwa na hao mawaziri 20.
3. Jinsi gani na kwa namna gani anaweza badilisha hali ya wafanyakazi wa TZ kwa siku 100? Aeleze mkakati ulivyo na si kutifuka tifuka. je hali ya wakulima itakuwaje?

Hata hivyo, kuna elements za idea nzuri ambazo CCM tutazitumia baada ya kuapishwa Novermber 5. Mojawapo hii ya watu kutojua katiba na kudhibiti zaidi wimbi la ujambazi. CCM itahakikisha inaweka sawa sawa mambo yote katika miaka mitano ijayo.

Kidumu chama. Idumu CCM hapa JF
 
Asante Superman! Niko huku ughaibuni lakini najisikia kabisa nilikuwa ndani ya kikao. Pole maana hata pale tulipotaka kukupotezea muda wa kukuuliza mambo nje ya kikao, bado uliweza kubaki katika focus ile ile. Mungu atakuzidishia. Tanzania tumepata jamvi la kusimamia na kurukia maendeleo ya uadilifu!
 
Nostradamus,

..nadhani tuanze kwa kubadilisha uongozi. tuiondoe CCM madarakani kwasababu so far imeshindwa kazi.

..kama mabadiliko hayo hayataleta unafuu wa matatizo yetu, then tutakuwa ktk wakati mzuri wa kuhoji fikra,tabia, na desturi tulizonazo.
 
uzuri wa SIASA siku zote mtu yoyote anaweza ongea chochote kama MC. Ni wajibu wa kila mmoja kivyakevyake kutafuta kilichojiri.

Huyu jamaa amemwaga upupu hapa Jangwani leo lakini hakuna hata sehemu moja alikoelezea jinsi gani;

1. Atakavyo-badilisha mikataba ya madini iliyopo na kwa kutumia sheria ipi? Hii Uranium au reserves mpya za madini yeye anataka kufanyaje tofauti na wengine wote Duniani wanavyofanya?
2. Namna gani serikali yake ya mawaziri 20 itaweza ku-run bila kuongeza kurugenzi na taasisi zaidi ambazo ni gharama zaidi. Angekuwa muwazi angetuambia hao mawaziri watakuwa zizara gani na namna gani taasisi za serikali zitakuwa zinaendeshwa na hao mawaziri 20.
3. Jinsi gani na kwa namna gani anaweza badilisha hali ya wafanyakazi wa TZ kwa siku 100? Aeleze mkakati ulivyo na si kutifuka tifuka. je hali ya wakulima itakuwaje?

Hata hivyo, kuna elements za idea nzuri ambazo CCM tutazitumia baada ya kuapishwa Novermber 5. Mojawapo hii ya watu kutojua katiba na kudhibiti zaidi wimbi la ujambazi. CCM itahakikisha inaweka sawa sawa mambo yote katika miaka mitano ijayo.

Kidumu chama. Idumu CCM hapa JF

Efata
 
uzuri wa SIASA siku zote mtu yoyote anaweza ongea chochote kama MC. Ni wajibu wa kila mmoja kivyakevyake kutafuta kilichojiri.

Huyu jamaa amemwaga upupu hapa Jangwani leo lakini hakuna hata sehemu moja alikoelezea jinsi gani;

1. Atakavyo-badilisha mikataba ya madini iliyopo na kwa kutumia sheria ipi? Hii Uranium au reserves mpya za madini yeye anataka kufanyaje tofauti na wengine wote Duniani wanavyofanya?
2. Namna gani serikali yake ya mawaziri 20 itaweza ku-run bila kuongeza kurugenzi na taasisi zaidi ambazo ni gharama zaidi. Angekuwa muwazi angetuambia hao mawaziri watakuwa zizara gani na namna gani taasisi za serikali zitakuwa zinaendeshwa na hao mawaziri 20.
3. Jinsi gani na kwa namna gani anaweza badilisha hali ya wafanyakazi wa TZ kwa siku 100? Aeleze mkakati ulivyo na si kutifuka tifuka. je hali ya wakulima itakuwaje?

Hata hivyo, kuna elements za idea nzuri ambazo CCM tutazitumia baada ya kuapishwa Novermber 5. Mojawapo hii ya watu kutojua katiba na kudhibiti zaidi wimbi la ujambazi. CCM itahakikisha inaweka sawa sawa mambo yote katika miaka mitano ijayo.

Kidumu chama. Idumu CCM hapa JF
pumba mtupu
 
uzuri wa SIASA siku zote mtu yoyote anaweza ongea chochote kama MC. Ni wajibu wa kila mmoja kivyakevyake kutafuta kilichojiri.

Huyu jamaa amemwaga upupu hapa Jangwani leo lakini hakuna hata sehemu moja alikoelezea jinsi gani;

1. Atakavyo-badilisha mikataba ya madini iliyopo na kwa kutumia sheria ipi? Hii Uranium au reserves mpya za madini yeye anataka kufanyaje tofauti na wengine wote Duniani wanavyofanya?
2. Namna gani serikali yake ya mawaziri 20 itaweza ku-run bila kuongeza kurugenzi na taasisi zaidi ambazo ni gharama zaidi. Angekuwa muwazi angetuambia hao mawaziri watakuwa zizara gani na namna gani taasisi za serikali zitakuwa zinaendeshwa na hao mawaziri 20.
3. Jinsi gani na kwa namna gani anaweza badilisha hali ya wafanyakazi wa TZ kwa siku 100? Aeleze mkakati ulivyo na si kutifuka tifuka. je hali ya wakulima itakuwaje?

Hata hivyo, kuna elements za idea nzuri ambazo CCM tutazitumia baada ya kuapishwa Novermber 5. Mojawapo hii ya watu kutojua katiba na kudhibiti zaidi wimbi la ujambazi. CCM itahakikisha inaweka sawa sawa mambo yote katika miaka mitano ijayo.

Kidumu chama. Idumu CCM hapa JF
Ugoro tupu!
 
acha kung'ng'ania CCM kama una mapenzi na nchi yako tarehe 31/10/2010..Mchangue Dr Slaa na Makamanda wake...au uko kwenye payroll ya Mafisadi
 
Thanx Superman, really you are a superman....spidi yako kwenye baobonye tumeikubali!!!
 
uzuri wa SIASA siku zote mtu yoyote anaweza ongea chochote kama MC. Ni wajibu wa kila mmoja kivyakevyake kutafuta kilichojiri.

Huyu jamaa amemwaga upupu hapa Jangwani leo lakini hakuna hata sehemu moja alikoelezea jinsi gani;

1. Atakavyo-badilisha mikataba ya madini iliyopo na kwa kutumia sheria ipi? Hii Uranium au reserves mpya za madini yeye anataka kufanyaje tofauti na wengine wote Duniani wanavyofanya?
2. Namna gani serikali yake ya mawaziri 20 itaweza ku-run bila kuongeza kurugenzi na taasisi zaidi ambazo ni gharama zaidi. Angekuwa muwazi angetuambia hao mawaziri watakuwa zizara gani na namna gani taasisi za serikali zitakuwa zinaendeshwa na hao mawaziri 20.
3. Jinsi gani na kwa namna gani anaweza badilisha hali ya wafanyakazi wa TZ kwa siku 100? Aeleze mkakati ulivyo na si kutifuka tifuka. je hali ya wakulima itakuwaje?

Hata hivyo, kuna elements za idea nzuri ambazo CCM tutazitumia baada ya kuapishwa Novermber 5. Mojawapo hii ya watu kutojua katiba na kudhibiti zaidi wimbi la ujambazi. CCM itahakikisha inaweka sawa sawa mambo yote katika miaka mitano ijayo.

Kidumu chama. Idumu CCM hapa JF

As long as umejiandikisha kwenye daftari la kudumu, UHURU wa kuchagua uko mikononi mwako.

--- Chagua chama kilichoshindwa kubadili maisha ya walio wengi kwa zaidi ya miaka 30. Au chagua chama kingine kuona ndani ya miaka 5 kitatufikisha wapi. Kama bado tuko palepale au tumerudi nyuma, rudia cha zamani.

--- Chagua mgombea aliye ahidi maisha bora, kwa nguvu na ari mpya kwa kila mtanzania, asiye jua kwanini Tanzania ni maskini na ambaye utendaji wake umeuona. Au pima ahadi unazopewa na huyu mwingine mpya na kuona kama atakufaa, (au kwa kujaribisha!!) kulingana na yale tayari ameshaitendea Tanzania kwa fursa ya kuwa mbuge tu.

Uamuzi ni wako mkuu.
 
uzuri wa siasa siku zote mtu yoyote anaweza ongea chochote kama mc. Ni wajibu wa kila mmoja kivyakevyake kutafuta kilichojiri.

Huyu jamaa amemwaga upupu hapa jangwani leo lakini hakuna hata sehemu moja alikoelezea jinsi gani;

1. Atakavyo-badilisha mikataba ya madini iliyopo na kwa kutumia sheria ipi? Hii uranium au reserves mpya za madini yeye anataka kufanyaje tofauti na wengine wote duniani wanavyofanya?
2. Namna gani serikali yake ya mawaziri 20 itaweza ku-run bila kuongeza kurugenzi na taasisi zaidi ambazo ni gharama zaidi. Angekuwa muwazi angetuambia hao mawaziri watakuwa zizara gani na namna gani taasisi za serikali zitakuwa zinaendeshwa na hao mawaziri 20.
3. Jinsi gani na kwa namna gani anaweza badilisha hali ya wafanyakazi wa tz kwa siku 100? Aeleze mkakati ulivyo na si kutifuka tifuka. Je hali ya wakulima itakuwaje?

Hata hivyo, kuna elements za idea nzuri ambazo ccm tutazitumia baada ya kuapishwa novermber 5. Mojawapo hii ya watu kutojua katiba na kudhibiti zaidi wimbi la ujambazi. Ccm itahakikisha inaweka sawa sawa mambo yote katika miaka mitano ijayo.

Kidumu chama. Idumu ccm hapa jf

uko desperate ni kichefu chefu kudadisi kitu ambacho huna uwezo wa kukielewa kwa sababu ya uccm
 
uzuri wa SIASA siku zote mtu yoyote anaweza ongea chochote kama MC. Ni wajibu wa kila mmoja kivyakevyake kutafuta kilichojiri.

Huyu jamaa amemwaga upupu hapa Jangwani leo lakini hakuna hata sehemu moja alikoelezea jinsi gani;

1. Atakavyo-badilisha mikataba ya madini iliyopo na kwa kutumia sheria ipi? Hii Uranium au reserves mpya za madini yeye anataka kufanyaje tofauti na wengine wote Duniani wanavyofanya?
2. Namna gani serikali yake ya mawaziri 20 itaweza ku-run bila kuongeza kurugenzi na taasisi zaidi ambazo ni gharama zaidi. Angekuwa muwazi angetuambia hao mawaziri watakuwa zizara gani na namna gani taasisi za serikali zitakuwa zinaendeshwa na hao mawaziri 20.
3. Jinsi gani na kwa namna gani anaweza badilisha hali ya wafanyakazi wa TZ kwa siku 100? Aeleze mkakati ulivyo na si kutifuka tifuka. je hali ya wakulima itakuwaje?

Hata hivyo, kuna elements za idea nzuri ambazo CCM tutazitumia baada ya kuapishwa Novermber 5. Mojawapo hii ya watu kutojua katiba na kudhibiti zaidi wimbi la ujambazi. CCM itahakikisha inaweka sawa sawa mambo yote katika miaka mitano ijayo.

Kidumu chama. Idumu CCM hapa JF
Kikwete anaposema atawalipa fidia walioathirika na machimbo, mbona hujauliza atafanyaje ili kulipa fidia hiyo? na ahadi nyingi alizozitoa. Tatizo ukishakuwa shabiki wa CCM hata akili ya kufikiri huna. Mimi niliye wahi kufanya kazi serikalini katika position ya juu ninakubaliana kabisa na silaa kwamba kupunguza wizara kutaokoa fedha nyingi sana. wewe pengine uelewi.
 
uzuri wa SIASA siku zote mtu yoyote anaweza ongea chochote kama MC. Ni wajibu wa kila mmoja kivyakevyake kutafuta kilichojiri.

Huyu jamaa amemwaga upupu hapa Jangwani leo lakini hakuna hata sehemu moja alikoelezea jinsi gani;

1. Atakavyo-badilisha mikataba ya madini iliyopo na kwa kutumia sheria ipi? Hii Uranium au reserves mpya za madini yeye anataka kufanyaje tofauti na wengine wote Duniani wanavyofanya?
2. Namna gani serikali yake ya mawaziri 20 itaweza ku-run bila kuongeza kurugenzi na taasisi zaidi ambazo ni gharama zaidi. Angekuwa muwazi angetuambia hao mawaziri watakuwa zizara gani na namna gani taasisi za serikali zitakuwa zinaendeshwa na hao mawaziri 20.
3. Jinsi gani na kwa namna gani anaweza badilisha hali ya wafanyakazi wa TZ kwa siku 100? Aeleze mkakati ulivyo na si kutifuka tifuka. je hali ya wakulima itakuwaje?

Hata hivyo, kuna elements za idea nzuri ambazo CCM tutazitumia baada ya kuapishwa Novermber 5. Mojawapo hii ya watu kutojua katiba na kudhibiti zaidi wimbi la ujambazi. CCM itahakikisha inaweka sawa sawa mambo yote katika miaka mitano ijayo.

Kidumu chama. Idumu CCM hapa JF

Na uzuri wa JF ni kuwa mtu anaweza kukurpuka na hoja bila hata kutumia ubongo wake.

Majibu ya hoja zako yapo kwenye maswali yako (Answers are in the questions).

1.CCM wamefisadi madiini kwa kutumia mikataba ipi?Ukishaijua,then itakuwa rahisi kwako kujijibu swali lako la kwanza.
2.Hivi unahitaji kuwa na ubongo kufahamu kuwa kama kupunguza wizara kutapunguza pia gharama za uendeshaji wa serikali?Na je inahitaji kuwa na kichwa chenye ubongo kutambua kuwa kupunguza wizara kutapunguza hata hizo kurugenzi na taasisi zilizo chini ya wizara?By the way,mataifa yenye nguvu kubwa za kiuchumi yana serikali ndogo tu licha ya baadhi yao (eg Marekani) kuwa na watu takriban milioni 300.
3.Kwani CCM iliwezaje kuongeza mishahara ya wabunge ndani ya muda mfupi tu baada ya Kikwete kuingia madarakani?Au wabunge ni malaika ambao kila linalowahusu linawezekana lakini haiwezekani kwa walalhoi?

Watu wenye mtizamo wako mnachohitaji sio CCM kufanyia kazi mawazo mazuri ya Chadema bali MAOMBEZI YA USIKU NA MCHANA MFUNGUKE MACHO.Hiyo CCM unayotarajia ishughulikie mabadiliko ya Katiba iliingia madarakani mwezi uliopita?Kama hawakufanya huko nyuma na mkawapa kura kwanini wafanye sasa?Na kama wameshindwa kuweka mambo sawa kwa miaka 49 tangu tupate uhuru watawezaje katika kipindi cha miaka mitano?

Ee Mola fungua macho ya baadhi ya viumbe wako wanaoendelea kuwa kizani japo kuna mwanga,wanaolia njaa ilhali kuna lundo la chakula mikononi mwa wahuni wachache,na wanaoendelea KUTARAJIA MEMA ya CCM licha ya wewe MOLA KUWALETEA MKOMBOZI.
 
uzuri wa SIASA siku zote mtu yoyote anaweza ongea chochote kama MC. Ni wajibu wa kila mmoja kivyakevyake kutafuta kilichojiri.

Huyu jamaa amemwaga upupu hapa Jangwani leo lakini hakuna hata sehemu moja alikoelezea jinsi gani;

1. Atakavyo-badilisha mikataba ya madini iliyopo na kwa kutumia sheria ipi? Hii Uranium au reserves mpya za madini yeye anataka kufanyaje tofauti na wengine wote Duniani wanavyofanya?
2. Namna gani serikali yake ya mawaziri 20 itaweza ku-run bila kuongeza kurugenzi na taasisi zaidi ambazo ni gharama zaidi. Angekuwa muwazi angetuambia hao mawaziri watakuwa zizara gani na namna gani taasisi za serikali zitakuwa zinaendeshwa na hao mawaziri 20.
3. Jinsi gani na kwa namna gani anaweza badilisha hali ya wafanyakazi wa TZ kwa siku 100? Aeleze mkakati ulivyo na si kutifuka tifuka. je hali ya wakulima itakuwaje?

Hata hivyo, kuna elements za idea nzuri ambazo CCM tutazitumia baada ya kuapishwa Novermber 5. Mojawapo hii ya watu kutojua katiba na kudhibiti zaidi wimbi la ujambazi. CCM itahakikisha inaweka sawa sawa mambo yote katika miaka mitano ijayo.

Kidumu chama. Idumu CCM hapa JF

tatizo una kiu sana kama mchanga wa jangwani. Kwa muda alopewa na uliyotaka aseme haviwezekani. Mpe kura yako kisha usubiri siku 100 alizosema kuwa atanyoosha mambo
 
Nostradumus tukubaliane kuwa sisi wananchi pia tumechangia katika matatizo tuliyonayo, halafu tujiulize tumejikuta tulipo kwa sababu gani na nani katufikisha hapo. Viongozi wa CCM kila baada ya miaka mitano wanatuomba kura kwa kuahidi kutukwamua katika umasikini, je kwa nini waahidi hivyo kama hawawezi ? Kwa nini wanaposhindwa kutimiza ahadi hawawi wastaarabu na kukubali kuachia ngazi na badala yake wang'ang'anie hata kwa wizi wa kura na rushwa ?

Ninaamini umekuwa msomaji wa JF wa siku nyingi ingawa yaonekana umejiunga tu majuzi hivyo naomba pia unijibu swali langu - kwa nini umeamua kujiunga katika kipindi hiki ? Wengi wenu mliojiunga siku za karibuni mwaonyesha kutetea status quo kwa hoja za nguvu - je ni kwa sababu gani ? Je huku kujiunga kwenu na huu utetezi wenu wa nguvu unatokana na kutambua kwenu kuwa wananchi wameamuka na hawako tayari kuendelea kudanganywa na hivyo kuwapeni mchecheto ?

Kama ni hivyo, mnayo kazi kwani safari hii hatudanganyiki - CCM tunaipa kisogo.
 
Na uzuri wa JF ni kuwa mtu anaweza kukurpuka na hoja bila hata kutumia ubongo wake.

Majibu ya hoja zako yapo kwenye maswali yako (Answers are in the questions).

1.CCM wamefisadi madiini kwa kutumia mikataba ipi?Ukishaijua,then itakuwa rahisi kwako kujijibu swali lako la kwanza.
2.Hivi unahitaji kuwa na ubongo kufahamu kuwa kama kupunguza wizara kutapunguza pia gharama za uendeshaji wa serikali?Na je inahitaji kuwa na kichwa chenye ubongo kutambua kuwa kupunguza wizara kutapunguza hata hizo kurugenzi na taasisi zilizo chini ya wizara?By the way,mataifa yenye nguvu kubwa za kiuchumi yana serikali ndogo tu licha ya baadhi yao (eg Marekani) kuwa na watu takriban milioni 300.
3.Kwani CCM iliwezaje kuongeza mishahara ya wabunge ndani ya muda mfupi tu baada ya Kikwete kuingia madarakani?Au wabunge ni malaika ambao kila linalowahusu linawezekana lakini haiwezekani kwa walalhoi?

Watu wenye mtizamo wako mnachohitaji sio CCM kufanyia kazi mawazo mazuri ya Chadema bali MAOMBEZI YA USIKU NA MCHANA MFUNGUKE MACHO.Hiyo CCM unayotarajia ishughulikie mabadiliko ya Katiba iliingia madarakani mwezi uliopita?Kama hawakufanya huko nyuma na mkawapa kura kwanini wafanye sasa?Na kama wameshindwa kuweka mambo sawa kwa miaka 49 tangu tupate uhuru watawezaje katika kipindi cha miaka mitano?

Ee Mola fungua macho ya baadhi ya viumbe wako wanaoendelea kuwa kizani japo kuna mwanga,wanaolia njaa ilhali kuna lundo la chakula mikononi mwa wahuni wachache,na wanaoendelea KUTARAJIA MEMA ya CCM licha ya wewe MOLA KUWALETEA MKOMBOZI.


Marekani wana states. Wewe a Slaa wako mtaanzisha states njii hii?! Kusema kila mtu ana uwezo. Ila kuongea huwa ni shida sana
 
Nostradamus,

..nadhani tuanze kwa kubadilisha uongozi. tuiondoe CCM madarakani kwasababu so far imeshindwa kazi.

..kama mabadiliko hayo hayataleta unafuu wa matatizo yetu, then tutakuwa ktk wakati mzuri wa kuhoji fikra,tabia, na desturi tulizonazo.
jokaKuu,
You are beating the wrong tree. Nostradamus katumwa hapa na CCM halafu unamwambia muanze kuiondoa CCM madarakani. Atakuelewa kweli? Check threads zake kwingineko katika forum hii
 
Dr. Slaa na CHADEMA hongera sana kwa uzinduzi wa kampeni yenu.

Ila tu hizo siku 100 utafanya mangapi? Kwa kutumia pesa zipi? Kwa kutumia sheria zipi? Kwa kushiriiana na watu gani? Wanasiasa acheni kutudanganya Watanzania.

Itafaa CCM wakidondoshwa ili tujipange upya lakini ahadi zote hizo ni utapeli wa kisiasa tu. Hata kubadili katiba tu itatuchukua zaidi ya mwaka.
 
Back
Top Bottom