Elections 2010 Ufunguzi wa Kampeni ya Chadema Jangwani 2010

Elections 2010 Ufunguzi wa Kampeni ya Chadema Jangwani 2010

Dr Slaa, Mwaga sera.......SISIEMU wasipoiba kura mwaka huu, mh Sijui......

Wafanyakazi wamepewa ahadi kushughulikiwa maswala yao ndani ya siku 100.

NSSF, PPF, LAPF wasiwe watumwa wa serikali ya SISIEMU....
 
Nimefurahi sana kuona Marando anasema yale madudu mengi toka kwa nyumba ya babu mkubwa sana Hongera CHADEMA
 
Anamalizia TBC wamesema Wanataka kukatisha matangazo sasa.

CCM walichofanya ni Uhuni.

Bungeni tulipitisha pesa za OC (Other Charges), nyingi zimekombwa. Anafurahi wafanyakazi wapeongezewa. Zingine zimeenda wapi?

Amemaliza Sasa kwa upande wa TBC. lakini Mkutano unaendelea
 
Mh. Rais tunataka train la umeme ndani ya miaka kumi ijayo, toka Mwanza hadi Dar.
 
du kamaliza
Asante sana superman, Lakini mimi napendekeza mheshimiwa Mgombea wa Urais angekuwa anaruhusu maswali mawili au matatu ya papo kwa papo, nadhani yataweza kumuinua sana Slaa, itaonyesha kuwa haogopi kuzungumza na wananchi wake sio kuongea na wazee wa Dar alafu huwapi nafasi ya kutoa mawazo yao au kuuliza maswali.
 
du kamaliza

Hajamaliza... Kaanzisha safari mpya ya Taifa jipya la Tanzania! Hivyo basi kama tunapenda maisha mema yenye mafanikio, hatuna budi tumuunge mkono atuongoze!!

Superman, nakushukuru sana kwa kutumia muda wako kutupatia habari ndugu yetu. Ahsante!!

Steve Dii
 
Hawa TBC jamani, inabidi maadili yaanzie kwao aise nasiyo kuweka mambo kijinga! anyway thanks for everything! tumepata mengi kupitia kwao.
 
Thanks a lot Superman kwa kutuhabarisha, nilikuwa kama vile niko karibu na luninga au viwanjani !!!
Bravo!
 
We are the cause of our own sufferings. Tumepewa akili ya kufikiri hatutaki kuzitumia. Nini chanzo cha UMASIKINI wa Tanzania kama sio uongozi mbovu wa serikali zilizokuwa madarakani miaka yote hii? Illiteracy ni 30% kwa sababu gani? Vifo vya kina mama wajawazito 550/100,000 kwa nini? Mbona Chile sio matajiri kihivyo lakini wananchi wake wanaishi miaka 80-90 sawasawa na Marekani iliyo mbali mno kiuchumi? Kenya wakati wa Uhuru ilikuwa sawa na South Korea, leo tofauti unaionaje? nini tatizo kama sio utawala mbovu? Afadhali hata wao waliishitukia KANU mapema wakaipiga chini, kuliko sisi huku tunaozungumza upuuzi kufurahisha midomo yetu. Kuna watu humu wanaandika rubbish, rubbish tu wanafikiri watu wote humu wanafikiri ka wanavyofikiri wao. Tatizo la TANZANIA NI UONGOZI, kama ni Resources tunazo hamna mfano lakini ubovu wa viongozi wetu wengi hawajui kufikiri wanashindwa kuzitumia.

Watu mu argue mkijua kuna watu wanaofikiri humu msidhani mnaongea wa wacheza ngoma.
 
Uislamu wangu anaujua muumba wa wangu. Kipi cha uongo katika pandiko langu? kusema Halima Mdee msabato? au Anna Komu mgala? au Dr Slaa Padri?

Get your ugala right kabla kuzungumzia uislamu wangu

Kumbe unajua kuwa imani ya mtu anaijua Mola wake?Sasa kama Uislam wako anaujua Mola wako,huoni kuwa umejipachika majukumu ya Mola kwa kuwahukumu wengine kuhusu imani zao?

Bora mie Mgalatia ninayehubiri amani na upendo kuliko wewe mujahidina unayesambaza sumu ya chuki

Anyway,najua unataka kutu-distract hapa lakini umeshindwa na umelegea.Message delivered
 
Asante sana superman, Lakini mimi napendekeza mheshimiwa Mgombea wa Urais angekuwa anaruhusu maswali mawili au matatu ya papo kwa papo, nadhani yataweza kumuinua sana Slaa, itaonyesha kuwa haogopi kuzungumza na wananchi wake sio kuongea na wazee wa Dar alafu huwapi nafasi ya kutoa mawazo yao au kuuliza maswali.

Tuko pamoja Mkuu
 
Ingalikuwa vyema iwapo Chadema itakuwa imenunua muda kwa hivi vituo vyetu vya TV kwa ajili ya sisi tuliokuwa mbali kushuhudia tukio hilo muhimu. Ila sidhani kama kuna Kituo cha TV kitadiriki kurusha matangazo hayo jinsi walivyo waoga!

Hapa tunapata swaaafi kabisa kupitia TBC
 
HTML:
 [IMG]https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.gif[/IMG] Re: Ilani ya CHADEEMA na mapungufu yake katika tafsiri ya ufisadi [/B]

We are the cause of our own sufferings. Tumepewa akili ya kufikiri hatutaki kuzitumia. Nini chanzo cha UMASIKINI wa Tanzania kama sio uongozi mbovu wa serikali zilizokuwa madarakani miaka yote hii? Illiteracy ni 30% kwa sababu gani? Vifo vya kina mama wajawazito 550/100,000 kwa nini? Mbona Chile sio matajiri kihivyo lakini wananchi wake wanaishi miaka 80-90 sawasawa na Marekani iliyo mbali mno kiuchumi? Kenya wakati wa Uhuru ilikuwa sawa na South Korea, leo tofauti unaionaje? nini tatizo kama sio utawala mbovu? Afadhali hata wao waliishitukia KANU mapema wakaipiga chini, kuliko sisi huku tunaozungumza upuuzi kufurahisha midomo yetu. Kuna watu humu wanaandika rubbish, rubbish tu wanafikiri watu wote humu wanafikiri ka wanavyofikiri wao. Tatizo la TANZANIA NI UONGOZI, kama ni Resources tunazo hamna mfano lakini ubovu wa viongozi wetu wengi hawajui kufikiri wanashindwa kuzitumia. 

Watu mu argue mkijua kuna watu wanaofikiri humu msidhani mnaongea wa wacheza ngoma.
</H2>Pax:Tatizo si uongozi pekee,tuwe wazi,kubadili utawala bila kubadili fikra bado kunaturudisha pale pale!We have a problem within our own heads kama raia.Si kila lawama kwa serikali!
 
Hajamaliza... Kaanzisha safari mpya ya Taifa jipya la Tanzania! Hivyo basi kama tunapenda maisha mema yenye mafanikio, hatuna budi tumuunge mkono atuongoze!!

Superman, nakushukuru sana kwa kutumia muda wako kutupatia habari ndugu yetu. Ahsante!!

Steve Dii

Asantye Kamanda: Tuko pamoja
 
Back
Top Bottom