asha ngedere
Member
- Nov 6, 2009
- 92
- 12
Rais Dk. Slaa aahidi mengi akiingia Ikulu. tumpe shavu wadau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchumi Tanzania ni ya 3 kwa Mifugo. lakini viwapi Viwanda vya Ngozi nk?
Vitu tutakavyotekeleza havihitaji fedha za Kigeni.
Watanzania Hawajui Uhusiano kati ya katiba na Maisha yao.
OCD pamoja na Cheo cha Polisi hajawahi kuiona katiba.
Umasikini wetu ni sababu ya msingi Mbovu wa katiba yetu ambayo ndiyo Mzizi wa Katiba yetu
Ili waweke Burudani ni nyumbani...!?dakika sita zijazo TBC inakata matangazo, hapo Slaa atakuwa hayupo hewani tena