Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikatiza kwa sababu ya mabomu ya Marando, sasa wamerejesha. Uhuni mtupu!
Niko hapa uwanjani.TBC wanadai kuwa mitambo imekorofisha hivyo tuvute subira.Kwa sasa wanamuziki wetu ndio wanatumbiza tukisubiri mitambo iwe sawa.Muda wetu kuongezwa.Namaamini mambo yatakwenda vizuri.
Mkoloni na kundi lake ndio wako stejini sana.
Hakuna kulala mpaka kileweke.
Poleni sana.
Kamanda Mbowe ndio anakanyaga twende.TBC wako hewani sasa.Muda wetu kuwa pale pale masaa matatu.
Kaka, hujasoma vizuri... Halima Mdee (Muislam), Anna Maulidah Komu (Muislam), Alhaji (Muislam), lakini haya ni baadhi tu ya majina... Usituletee porojo zako! Kama CHADEMA ni chama cha Wakristo, mbona wameanza kampeni na dua ya Kiislam, iliyosomwa na Hassan Yahaya Hussein?
Ongea POINT! Usilete mzaha!
CHADEMA INAKUBALIKA kwa Waislam na Wakristo! Inakubalika, na Watanzania walio wengi. Kama wewe ni mwanachama wa Chama Cha Mafisadi (CCM), hilo ni shauli lako!
Kuna fununu zozote zilizopo kwa nini TBC walikata matangazo ya live...
Walikatiza kwa sababu ya mabomu ya Marando, sasa wamerejesha. Uhuni mtupu!