Elections 2010 Ufunguzi wa Kampeni ya Chadema Jangwani 2010

Elections 2010 Ufunguzi wa Kampeni ya Chadema Jangwani 2010

HTML:
 [IMG]https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.gif[/IMG] Re: Ilani ya CHADEEMA na mapungufu yake katika tafsiri ya ufisadi [/B]

We are the cause of our own sufferings. Tumepewa akili ya kufikiri hatutaki kuzitumia. Nini chanzo cha UMASIKINI wa Tanzania kama sio uongozi mbovu wa serikali zilizokuwa madarakani miaka yote hii? Illiteracy ni 30% kwa sababu gani? Vifo vya kina mama wajawazito 550/100,000 kwa nini? Mbona Chile sio matajiri kihivyo lakini wananchi wake wanaishi miaka 80-90 sawasawa na Marekani iliyo mbali mno kiuchumi? Kenya wakati wa Uhuru ilikuwa sawa na South Korea, leo tofauti unaionaje? nini tatizo kama sio utawala mbovu? Afadhali hata wao waliishitukia KANU mapema wakaipiga chini, kuliko sisi huku tunaozungumza upuuzi kufurahisha midomo yetu. Kuna watu humu wanaandika rubbish, rubbish tu wanafikiri watu wote humu wanafikiri ka wanavyofikiri wao. Tatizo la TANZANIA NI UONGOZI, kama ni Resources tunazo hamna mfano lakini ubovu wa viongozi wetu wengi hawajui kufikiri wanashindwa kuzitumia. 

Watu mu argue mkijua kuna watu wanaofikiri humu msidhani mnaongea wa wacheza ngoma.
</H2>Pax:Tatizo si uongozi pekee,tuwe wazi,kubadili utawala bila kubadili fikra bado kunaturudisha pale pale!We have a problem within our own heads kama raia.Si kila lawama kwa serikali!


Hapana, kiini cha tatizo letu ni uongozi wa juu usiokuwa na nidhamu na unaoendekeza rushwa. Hao ndio wanaofanya raia wetu pia wawe wasiwe wanafikiria mbali zaidi ya njia za mkatomkato kama kusubiri msaada au kukata dili la uwani. Ukishajenga uongozi usio-promote njia za mikato hata raia watabadilika mawazo.
 
Kweli Macho Mdiliko!Kuna tofauti yoyote kimaisha unayoiona toka mwaka 2005 hadi 2010?A very fair question.

Tofauti ipo heri 2005 kuliko sasa. Ikirudi huyu jamaa ni kiama Mungu apishilie mbali asirudi
 
What a great day to be remembered! I, myself, was there at Jangwani grounds.

Najua CCM nyuso zimewashuka; na mahasira kibao. Mtajiju.
 
Katika uzinduzi wa kampeni za chadema leo jangwani uongozi wa chadema umekiri hadharani kuwa mgombea wao kuwa na elimu ya msingi na kutokuwa na uzoefu wa kazi wowote si tatizo kwani wako viongozi kama church hill alieyekuwa waziri mkuu wa uingereza hakuwa na elimu.

Kitendo cha chadema kukiri kuwa na kusema kuwa elimu haina maana yeyote ktk kuongoza nchi ni jambo la ajabu.

Ktk kujipigia debe wamesema hata mzee kawawa alikuwa hana elimu.
Mzee kawawa alikuwa ni mtu mwenye uwezo mkubwa kwenye uongozi na uzoefu mkubwa sana kuanzia vyama vya wafanyakazi.

Sasa mgombea huyu wa chadema hana elimu wala uzoefu wa kazi.

Chadema walitakiwa kujua kuwa mgombea mwenza anatakiwa kuwa mtu mwenye uwezo mkubwa kielimu au kiuzoefu,mfano rais wa nigeria jonathan goodluck kama angekuwa darasa la saba kama huyu wa chadema ingekuwaje?
Kampeni za chadema zilijikita kusema mtu mmoja mmoja mtu kama ruge alitajwa na studio yake. Ugomvi wa no malaria ilikuwa ni sehemu ya ilani ya chadema kwenye mkutano wa leo.

Cha ajabu walikuwa wakisema kuwa chadema ni chama makini kinafanya utafiti sasa huyu darasa la saba au mbowe form four, au mnyika aliyeishia kidato cha sita watafanya utafiti vipi wakati mbowe kasema elimu haina maana kwenye medani za uongozi?

Mkutano wa chadema umekosa wahudhuria wengi wa kada mbali mbali zaidi ya wahudumu wa mabaa toka maeneo ya ubungo,kimara,mbezi, sinza ambao waliandaliwa usafiri kuja kuongeza wingi.
 
........Nimependa hotuba ya Dr. Slaa leo, yupo juuuuuuuu!!
 
Mbona unarudia?hili limeshajadiliwa.Pole uko nyuma ya muda...
Dada Mtema nakupa habari za leo zilizojiri jangwani sio za nyuma.Kitendo cha Chadema kusema kuwa elimu si lazima na mtu wao hana uzoefu wa kazi.na kusema kuwa hata Church Hill na Mzee Kawawa hawakusoma sio jibu kwa chama makini.mfano mzuri wamekuwa wakisema kuwa CHADEMA NI CHAMA MAKINI CHENYE KUFANYA UTAFITI.UTAFITI HUO UTAFANYIKA VIPI WAKATI MGOMBEA MWENZA NI DARASA LA SABA.MBOWE NA MNYIKA HAWANA DIGRII. MZEE KAWAWA NA CHURCHILL WALIONGOZA MIAKA YA 50s hivi sasa Running mate anatakiwa kuwa na elimu ya chuo kikuu.kwani wakati wowote anaweza kuwa rais. sasa tutakuwa na Rais gani mwenye uelewa mdogo?
 
Kumlinganisha Said Mzee na Sir Winston Churchill au Rashid Mfaume Kawawa is extremely debasing, if not a manifestation of element of insanity and atrophied or bankruptcy of ideas!

Hivi baadhi ya wana-CHADEMA hawajui kuwa Rashid Mfaume Kawawa ni ex-Tabora School (wavulana)!


 
Ana chuki zake tu dhidi ya Chadema au hasira kutokana na mgombea wake JK kuambiwa na Marando kwamba anao ushahidi kuwa ni mwizi wa EPA.

Marando ndio wakili wa hao kina Jeetul Patel na wengine wanaohusishwa na EPA. bora ungetaja wengine.
lakini naomba kuuliza kwani Chadema sera yenu ni mahakama ya Kisutu Tu? leo Hajaeleza elimu mtafanya nini, walemavu watafanyanywa nini,kina mama na watoto.sasa mtakuwa mnatafanya kazi za Mwendesha mashitaka. tu? nilitarajia mje na package kamili.umepitia Ilani ya CUF NA CCM?
 
Dada Mtema nakupa habari za leo zilizojiri jangwani sio za nyuma.Kitendo cha Chadema kusema kuwa elimu si lazima na mtu wao hana uzoefu wa kazi.na kusema kuwa hata Church Hill na Mzee Kawawa hawakusoma sio jibu kwa chama makini.mfano mzuri wamekuwa wakisema kuwa CHADEMA NI CHAMA MAKINI CHENYE KUFANYA UTAFITI.UTAFITI HUO UTAFANYIKA VIPI WAKATI MGOMBEA MWENZA NI DARASA LA SABA.MBOWE NA MNYIKA HAWANA DIGRII. MZEE KAWAWA NA CHURCHILL WALIONGOZA MIAKA YA 50s hivi sasa Running mate anatakiwa kuwa na elimu ya chuo kikuu.kwani wakati wowote anaweza kuwa rais. sasa tutakuwa na Rais gani mwenye uelewa mdogo?

Dr Shein amewahi kufanya utafiti wowote tangu awe Makamu wa Rais?tuambie kafanya upi na upi?
 
Kumlinganisha Said Mzee na Sir Winston Churchill au Rashid Mfaume Kawawa is extremely debasing, if not a manifestation of element of insanity and atrophied or bankruptcy of ideas!

Hivi baadhi ya wana-CHADEMA hawajui kuwa Rashid Mfaume Kawawa ni ex-Tabora School (wavulana)!


wamekiri kuwa mgombea wao hana elimu wala uzoefu wa kazi.Excuse walioitoa kuwa ni Hata Abdulwakili naye alikuwa hana elimu.lakini wameshindwa kusema uzoefu wa hao wazee.
 
Dr Shein amewahi kufanya utafiti wowote tangu awe Makamu wa Rais?tuambie kafanya upi na upi?
Chadema wamesema kuwa wao ni chama makini wanafanya tafiti.Dr Shein ana Phd lazima alifanya utafiti kwenye PhD yake. Mgombea wako kakiri kuwa hana elimu wala uzoefu.
 
What a great day to be remembered! I, myself, was there at Jangwani grounds.

Najua CCM nyuso zimewashuka; na mahasira kibao. Mtajiju.

Mkuu, mahasira hata chembe huku CCM! Kwa mahesabu ya ghafla, yale majimbo tuliyokomba ki-hivi hivi (17) ni asilimia 10% ya electorate ya Tz. Bado zenj kuna 6% na mikoa ya kusini yote make up 12%, hapo hujaongelea royal central regions!. By summation tayari CCM (chama chenye majigambo yenye akili) kina 26% ya kura kabla ya election. Mkigawana na CUF maeneo tofauti mtaacha another 50% ikiwa na CCM. Mwaka huu ushindi ni asilimia 76%+ kwa CCM. Ni kweli unahitaji hasira au pressure hapo?. Hutaki, subiri Octber 31. Ilikuwa ni makosa sana kwa Slaa kuingia kwenye kingang'anyiro cha Urais mwaka huu. Ameingia choo cha wanawake.
 
Mkuu, mahasira hata chembe huku CCM! Kwa mahesabu ya ghafla, yale majimbo tuliyokomba ki-hivi hivi (17) ni asilimia 10% ya electorate ya Tz. Bado zenj kuna 6% na mikoa ya kusini yote make up 12%, hapo hujaongelea royal central regions!. By summation tayari CCM (chama chenye majigambo yenye akili) kina 26% ya kura kabla ya election. Mkigawana na CUF maeneo tofauti mtaacha another 50% ikiwa na CCM. Mwaka huu ushindi ni asilimia 76%+ kwa CCM. Ni kweli unahitaji hasira au pressure hapo?. Hutaki, subiri Octber 31. Ilikuwa ni makosa sana kwa Slaa kuingia kwenye kingang'anyiro cha Urais mwaka huu. Ameingia choo cha wanawake.

Hata mimi ambaye sikusoma hesabu,mahesabu haya naona hayajakaa sawa.

2010:Hatudanganyiki...
 
Chadema wamesema kuwa wao ni chama makini wanafanya tafiti.Dr Shein ana Phd lazima alifanya utafiti kwenye PhD yake. Mgombea wako kakiri kuwa hana elimu wala uzoefu.

upi wa kuisaidi Tanzania ?
Anaglia wakina Chenge wamesoma Havard,Bilali wamesoma Havard utafiti wao ni jinsi gani ya kuhujumu uchumi wa Tz na mali za walipa kodi.EPA,RADAR ,MIGODI, na urasimu bin ufisadi kutoka kwa watu wenye elimu murua kabisa.
Sp dont tell me waTz wanataka Phd !!!
WaTz wanataka mali zao zitumike kwao hata kama ni kidogo hatutegemei pesa toka mbinguni tunatakiwa kufanya kazi kuzalisha ,ila hatutaki mtu atuibie kidogo chetu.
Kuongoza kwa misingi ya sheria na katiba ya Tz hakuhitaji Usomi wa ajabu ,Kuwafikisha mahakamani wezi hakuhitaji usomi wa ajabu ,kupeleka fund sehemu husika hakuhiji usomi wa ajabu.And that is what Tanzanian want now.Wanahitaji watu watakaothubutu kufanya hivyo
 
Chadema wamesema kuwa wao ni chama makini wanafanya tafiti.Dr Shein ana Phd lazima alifanya utafiti kwenye PhD yake. Mgombea wako kakiri kuwa hana elimu wala uzoefu.

Kumbe unazungumzia utafiti wa shuleni?nilikuwa sijakupata.Come on hivi unaamini katika hili?madesa na simbi kwa sana..
 
Jamani kuna watu hata mkiwaelimisha vipi hawana mpango wa kuelewa! Wameshaamua hivyo sasa mnataka muwalazimishe! Sio lazima muwajibu wanafurahia kubishana hawa! Wakaushieni muone! Wakikosa wakubishana nae watatafuta pozi jipya! Hata mkuu MS alizidiwa na rev. Pale rev.masa alipoacha kumjibu na kutundika picha Ms mwenyewe akajua kile kichwa kibovu! Nyie kama mnamjadala anakuja mtu asiyetaka kuelewa hata akiquote mnampoteza! Wanarusha stimu tu!
 
Back
Top Bottom