Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Kama nilichosema ni uongo,leta ukweli unaoujua wewe.
A) Tuambie MTU wa kwanza ni Nani?
B). Tuambie ni kwa Nini tunatofautiana rangi sisi wanadamu?
C) Huyo MTU wa kwanza alikuwaje na alikuwa na rangi gani?
D) Eleza pia Cain alivyokimbilia nchi ya Nodi aliwakuta kina Nani?

NOTE.
Hakikisha unaleta reference ili kuthibitisha maelezo yako. Hizo reference ziwe za uhakika.
Utakuwa umetusaidia wengi kuujua ukweli.
Duuuu mkuu mbona umekuwa muongo kiasi hiki?

Sent using LEAGOO M12
 
Hebu soma hapa.. Refer kule pm
KWA mujibu wa Kitabu cha ZUGRIL GALAYO (Nguvu Iliyodunu Katika Jadi)

Mtu wa Kwanza Alitambulika kwa Majina yaliyotokana na mazingira na jambo lililomuhusu katika kuishi kwake.

1. FUMBA KASA - lilipatikana ktk kipindi cha kukusanywa kwake.
2. SABKORODAMS - lilipatikan alivyoanza kula
3. MID ERA - Alivyoanza kuvaa nguo (kujisitiri)
4. MUNDU - Alivyoanza kuwa na Lugha
5. ZUNDRAGA - Alivyoanza kufanya matembezi
6.MASON KWATA - Alivyopata jinsia ya pili iliyotokana na yeye
7. ABE EI - alipoanza kuzaa na kulea
8. ESTONE - Alipoanza ujenzi wa vitu
GOWESHAN - Alipanza kuweka hifadhi kwa ajili ya familia yake
9. MTALAY - wakati anaacha wosia kwa watoo wake.

ALIUMBWAJE SASA!!?
Mtu huyu aliumbwa kwa mkusanyiko wa vumbi kutoka mabara saba lillokusanyika katika eneo la SHANKOMBOLUZU Ambalo leo hi linatambulika kama URUSI.

Aliumbwa akiwa na urefu wa Km Nne (4) upana wa kifua Mita mia tatu akiwa na rangi nyeusi na mwenye asili ya Nywele Ngumu zisimamazo kwa umbile lake.

NAWAOMBENI MKITAFUTE HIKI KITABU SANA SANA SANA MAANA NDANI YAKE KINAMUELEEZEA HADI ADAM ALIVYOKUJA KUPATIKANA NA HAKIMUELEEZEI KAMA ALIKUA MTU WA KWANZA KUUMBWA.

Nilibahatika kukipata na kwa kuwa sikuwa na muda wakuweza kutulia na kukisoma kutokana na uharaka wa aliyekuwa nacho, nilimuomba japo nikinakili ingawa pia sikuweza kukimaliza chote kukichapa kwa uharaka wa mwenye nacho.

Kina mengi mengi yakuyatafakari, na ni kitabu cha asili ya Muafrika na kina hadi namba na herufi za kibantu achana na hizi alfabeti tuzijuazo, humo ndio namba zinaandikwa mosi mpaka kenda nk, namna makabila na nchi mbalimbali duniani zilivyoanza....

nilijaribu kushare na watu wengi hawakua wakikifaham nikaona nisije kuonekana mimi ndio mtunzi ila nilipomsikia Mwanamuziki akijiita Ibrozama nikajua ni kitabu kijulikancho kwa wengine maana jina hilo linapatikana ndani ya kitabu hiko na lina historia yake.

sipo vizuri kukieleezea sana ila nitapenda kukishare na Mshana Jr, then atatusaidia kama kina lolote la kujifunza au kukipuuza japo kina typing error kidogo kutokana na kukichapa mwenyewe na mpaka sasa sijapata muda wakutulia kukiedit coz hard copy yake bado naendelea kuhangaika niipate tena.

Mshana Jr ukiridhia nitakutumia PM!





Sent using Jamii Forums mobile app
Sanaa ya kifo - JamiiForums

Jr[emoji769]
 
Mkuu pamoja na kwamba unaniita mjinga lakini hakuna hata mmoja ambaye amejibu maswali yangu.wengi mnanijibu kinadharia nipo tayari kukubaliana nanyi kuwa Adam ndio mtu wa kwanza kama utafanya yafuatayo

1. Kupitia Quran uje na aya iliyomtaja Adam kuwa ndio mtu wa kwanza moja kwa moja.
2.kupitia bible uje na aya inayomtaja adam moja kwa moja kuwa adam ndio mtu wa kwanza kuumbwa

Ujinga sio tusi, hivyo lisikuumize sana hilo neno. Of course wewe ni mjinga, tena mjinga kikwelikweli, yan.mjinga hasaaa. Na si mjinga tu bali pia wewe ni kipofu ingawa macho yako ni mazima. Ushahid unaouhitaj ulishapewa, toa wako.

We jamaa mjinga wa fly-over, unadai wengi wanakujibu KINADHARIA tu, sasa unapotaka ushahidi kutoka ktk Quran na Bible, Je unatarajia kupata ushahidi wa aina gani kama si wa KINADHARIA? Au nadharia hujui maana yake? Hii ndio imani, unaamini usichokiona lakin unaamini maandiko ya yule aliyeumba mbingu na ardhi (MWENYEZI MUNGU) ambaye anajua mwanzo wake mpaka mwisho wake. Ingekuwa watu wana kujibu KIDHANA (yan kwa kutumia mawazo yao tu bila ushahidi wowote) hapo sawa. Na kama ungekuwa na mapepo ungepata ushahidi wa kivitendo zaidi ulioambatana na imani badala ya NADHARIA pekee kutoka kwa viongozi wa dini kuondoa mapepo uliyo nayo. Lakin ktk hili ushahid wake haupo mwingine zaid ya huo wa kinadharia ambapo wale wenye akili, wanaotafakari huamini lakin wale walio kufuru ni kama wanyama wa kufugwa pindi wanapoitwa au kuelekezwa waelekee ktk usawa, utawaona wanakutazama kama vile wanakuelewa kumbe hawasikii ila wito na sauti tu. Ni viziwi, vipofu hivyo hawana akili. Na hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye wala hawaamini. Kama NADHARIA, MTU na NABII umeshindwa kuyatumia maneno hayo ktk usahihi wa matumizi, sipati picha tunachokiandika hapa unakielewa vipi. Na hapa nahisi ndo kuna tatizo ndio mana unatusumbua sana kwa7bu hata tukueleze vipi huwez kuelewa. Matumiz ya lugha yenyewe yanakupiga chenga, hayo maandiko utaelewa kweli. Ndio maana nikasema kaa usome kwanza, sio kukurupuka tuuuu.

Biblia: Mwanzo 5:1-2, Mwanzo 1:27, Mwanzo 2:7 na 1Wakorintho 15:45 inamaliza kazi

Quran: Surah Al Baqara 2:30-36 inaelezea wazi waliokuwepo kabla ya Adamu kuumbwa ni akina nani, kisha kuumbwa kwa Adamu, namna Adamu alivyofundishwa na Mola wake majina ya vitu kama vile wanyama ambayo malaika waliulizwa wayataje lakin wakashindwa, kisha inaelezea pia namna ibilisi alivyoasi amri ya Mola wake na namna alivyowashawishi Adamu na mkewe kula tunda walilokatazwa.


Kaa chini usome wewe, sio ukurupuke. Ushahid unapewa lakin matamanio ya nafsi yako yanakudanganysna au wewe ni kipofu au hujui kusoma?

Pitia hivyo vifungu, vinaeleza wazi kabisa na vimemtaja Adamu kwa.jina lake kabisaaaaaaa. Unataka ushahid upi sasa?
 
Ujinga sio tusi, hivyo lisikuumize sana hilo neno. Of course wewe ni mjinga, tena mjinga kikwelikweli, yan.mjinga hasaaa. Na si mjinga tu bali pia wewe ni kipofu ingawa macho yako ni mazima. Ushahid unaouhitaj ulishapewa, toa wako.

We jamaa mjinga wa fly-over, unadai wengi wanakujibu KINADHARIA tu, sasa unapotaka ushahidi kutoka ktk Quran na Bible, Je unatarajia kupata ushahidi wa aina gani kama si wa KINADHARIA? Au nadharia hujui maana yake? Hii ndio imani, unaamini usichokiona lakin unaamini maandiko ya yule aliyeumba mbingu na ardhi (MWENYEZI MUNGU) ambaye anajua mwanzo wake mpaka mwisho wake. Ingekuwa watu wana kujibu KIDHANA (yan kwa kutumia mawazo yao tu bila ushahidi wowote) hapo sawa. Na kama ungekuwa na mapepo ungepata ushahidi wa kivitendo zaidi ulioambatana na imani badala ya NADHARIA pekee kutoka kwa viongozi wa dini kuondoa mapepo uliyo nayo. Lakin ktk hili ushahid wake haupo mwingine zaid ya huo wa kinadharia ambapo wale wenye akili, wanaotafakari huamini lakin wale walio kufuru ni kama wanyama wa kufugwa pindi wanapoitwa au kuelekezwa waelekee ktk usawa, utawaona wanakutazama kama vile wanakuelewa kumbe hawasikii ila wito na sauti tu. Ni viziwi, vipofu hivyo hawana akili. Na hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye wala hawaamini. Kama NADHARIA, MTU na NABII umeshindwa kuyatumia maneno hayo ktk usahihi wa matumizi, sipati picha tunachokiandika hapa unakielewa vipi. Na hapa nahisi ndo kuna tatizo ndio mana unatusumbua sana kwa7bu hata tukueleze vipi huwez kuelewa. Matumiz ya lugha yenyewe yanakupiga chenga, hayo maandiko utaelewa kweli. Ndio maana nikasema kaa usome kwanza, sio kukurupuka tuuuu.

Biblia: Mwanzo 5:1-2, Mwanzo 1:27, Mwanzo 2:7 na 1Wakorintho 15:45 inamaliza kazi

Quran: Surah Al Baqara 2:30-36 inaelezea wazi waliokuwepo kabla ya Adamu kuumbwa ni akina nani, kisha kuumbwa kwa Adamu, namna Adamu alivyofundishwa na Mola wake majina ya vitu kama vile wanyama ambayo malaika waliulizwa wayataje lakin wakashindwa, kisha inaelezea pia namna ibilisi alivyoasi amri ya Mola wake na namna alivyowashawishi Adamu na mkewe kula tunda walilokatazwa.


Kaa chini usome wewe, sio ukurupuke. Ushahid unapewa lakin matamanio ya nafsi yako yanakudanganysna au wewe ni kipofu au hujui kusoma?

Pitia hivyo vifungu, vinaeleza wazi kabisa na vimemtaja Adamu kwa.jina lake kabisaaaaaaa. Unataka ushahid upi sasa?
Naomba ninukuu aya ambazo wewe umezitaja kisha utaniambia wapi ametajwa Adamu kuwa ndio mtu wa kwanza
Sura 2:30-36
Aya ya 30: Na kumbuka mola wako alipowaambia malaika:Hakika mimi nataka kumteua khalifa katika ardhi,wakasema:je utamweka humu atakayefanya uharibifu humona kumwaga damu,hali sisi twakutukuza kwa sifa zako na kukutaja utakatifu wako?Akasema:Hakika mimi nayajua msiyoyaju

Aya 31 Na akamfundisha Adamu majina yote kisha akawaweka viumbe wale mbele ya malaika na akasema,niambieni majina ya hawa ikiwa mwasema kweli

Aya,32. Wakasema utakatifu ni wako hatuna elimu isipokuwa ulivyotufundisha,bila shaka wewe ndiwe mjuzi mwenye hakima

Aya,33. Akasema ewe Adamu,waambie majina yao,basi alipowaambia majina yao,Akasema,je sikuwaambieni kwamba mimi naijua siri ya mbinguni na ya aridhi na nayajua mnayoyadhihirisha na mnayoyaficha

Aya 34. Na(kumbukeni) Tulipowaambia malaika,mtiini Adamu,na wakatii wote isipokuwa Ibilisi alikataa na akafanya kiburi,naye alikuwa ni miongoni mwa makafiri

Aya 35. Na tulisema Ewe Adamu,kaa wewe na mkeo katika bustani,na kuleni humo kwa maridhawa popote mpendapo,lakini msiukaribie mti huu waila mtakuwa miongoni mwa wadhalimu

Aya 36. Basi shetani akawatelezesha humo wote wawili katika suala la mti ule na akawatoa mle walimokuwemo hapo awali,Ndipo tukawaambia tokeni mmaadui ninyi kwa ninyi na (imekadiriwa kuwa)mtakaa na kunufaika katika ardhi hii hadi muda fulani

Hizo ni aya ambazo zinapatika ktka sura ya 2:30-36 ambazo wewe umezinukuu
Swali nitajie aya kati ya hizo ambayo inasema Adamu ni mtu wa kwanza
 
Naomba ninukuu aya ambazo wewe umezitaja kisha utaniambia wapi ametajwa Adamu kuwa ndio mtu wa kwanza
Sura 2:30-36
Aya ya 30: Na kumbuka mola wako alipowaambia malaika:Hakika mimi nataka kumteua khalifa katika ardhi,wakasema:je utamweka humu atakayefanya uharibifu humona kumwaga damu,hali sisi twakutukuza kwa sifa zako na kukutaja utakatifu wako?Akasema:Hakika mimi nayajua msiyoyaju

Aya 31 Na akamfundisha Adamu majina yote kisha akawaweka viumbe wale mbele ya malaika na akasema,niambieni majina ya hawa ikiwa mwasema kweli

Aya,32. Wakasema utakatifu ni wako hatuna elimu isipokuwa ulivyotufundisha,bila shaka wewe ndiwe mjuzi mwenye hakima

Aya,33. Akasema ewe Adamu,waambie majina yao,basi alipowaambia majina yao,Akasema,je sikuwaambieni kwamba mimi naijua siri ya mbinguni na ya aridhi na nayajua mnayoyadhihirisha na mnayoyaficha

Aya 34. Na(kumbukeni) Tulipowaambia malaika,mtiini Adamu,na wakatii wote isipokuwa Ibilisi alikataa na akafanya kiburi,naye alikuwa ni miongoni mwa makafiri

Aya 35. Na tulisema Ewe Adamu,kaa wewe na mkeo katika bustani,na kuleni humo kwa maridhawa popote mpendapo,lakini msiukaribie mti huu waila mtakuwa miongoni mwa wadhalimu

Aya 36. Basi shetani akawatelezesha humo wote wawili katika suala la mti ule na akawatoa mle walimokuwemo hapo awali,Ndipo tukawaambia tokeni mmaadui ninyi kwa ninyi na (imekadiriwa kuwa)mtakaa na kunufaika katika ardhi hii hadi muda fulani
Hizo ni aya ambazo zinapatika ktka sura ya 2:30-36 ambazo wewe umezinukuu
Swali nitajie aya kati ya hizo ambayo inasema Adamu ni mtu wa kwanza

Aya 30: Mazungumzo yanafanyika baina ya Mwenyezi Mungu na Malaika, ktk mazungumzo hayo amezungumziwa KHALIFA ambaye Mwenyezi Mungu anataka kumteua. Je Khalifa maana yake ni ipi? Na nini makusudio ya neno Khalifa? Wakat Mwenyezi Mungu anafanya hayo mazungumzo na Malaika, Je, Adamu alikuwa wapi na huyo Khalifa anayezungumziwa hapo ni yupi?


Aya 31: Anatajwa Adamu awatajie majina ya viumbe malaika. Kwanini afundishwe Adamu pekee asiwe mtu mwingine tofauti na Adamu? Hao watu wengine waliotangulia kabla ya Adamu wako wapi? Na amewataja wapi? Au kwanini hakuwataja kama wapo kabla yake Adamu? Kama.unatafuta ushahid wa senetensi ya moja kwa moja kama utakavyo ili kuonesha kuwa Adamu ndio mtu wa kwanza, kwanini hujanukuu 1Wakorintho 15:45?

Na kama sentensi ya moja kwa moja inayoonesha kuwa kuna watu walikuwepo kabla ya Adamu haipo ktk biblia wala Quran, Je ndo itasemwa kuwa watu walitokana na nyani? Kama walitokana na nyani, kwanini nyani mpaka saiv bado wapo na wasibadilike wote kuwa binadamu? Ilikuaje wengine walibadilika na wengine hawakubadilika? Na kwanini miili na rangi zetu zinatofautiana na hao nyani?

Jua na sayari zingine vimetoka wapi? Na kama viliumbwa na Mungu, wapi imeandikwa kuwa Mungu aliumba jua, dunia na sayari zingine? Andiko likikosekana ndo itasemwa hakuna aliyeumba vitu hivyo? Kama havikuumbwa vimetoka wapi? Mungu haonekani kwa macho, je kutokuonekana kwake ndo itasemwa hayupo? Na kama yupo ushahidi wako ni upi? Akili haionekani lakin uwepo wake unafahamika kupitia matendo ya mtu. Ukiambiwa toa ushahid kuonesha una akili utaonesha nini kama ushahid?
 
JIBU: Biblia imetupa majibu kama ifuatavyo..

Mwanzo 1:27 “Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa MUNGU ALIMWUMBA, MWANAMUME NA MWANAMKE ALIWAUMBA.

28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi”.

Huo ni mstari wa kwanza kabisa unaozungumzia uumbaji wa mwanadamu katika biblia, hakuna mstari mwingine kabla ya huu.. Na unasema Mungu aliwaumba mwanaume na mwanamke. (maneno hayo mawili yapo katika umoja.). Na haijasema Mungu alimwumba Mwanaume na wanawake.. wala haijasema Mungu alimuumba mwanamke na wanaume.

Kwahiyo hakukuwa na mwanaume Zaidi ya Adamu, na wala hakukuwa na mwanamke mwingine Zaidi ya Hawa katika uumbaji.

Jambo linalowachanganya wengi ambalo ndilo limezua swali hili, ni kuhusu mke wa Kaini, kwamba Kaini alitolea wapi mke?

Kwanza kabisa Ni muhimu kufahamu kuwa Adamu na Hawa, walizaa Watoto wengine wengi wakike na wa kiume baada ya Habili na Kaini. Watoto wa Adamu hawakuwa wawili tu, bali wengi.

Mwanzo 5:4 “Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, akazaa wana, waume na wake. Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia kenda na thelathini, naye akafa”.

Kwahiyo miongoni mwa hao Watoto wa kike aliowazaa Adamu, mmojawao ndio alikuwa mke wa Kaini, na Kaini na mkewe walizaa Watoto, na watoto wao walizaa Watoto, na wajukuu zao pia walizaa..Na wakati huo watu walikuwa na uwezo wa kuishi mamia ya miaka.

Kwahiyo ni uongo kusema kuwa Adamu alikuwa na mke mwingine tofauti na Hawa.
adam-and-eve-leaving-paradise-gustave-dore.jpg
 
Ahahhahah ahahahahahah hii ndio kwanza naisikia kwako hakuna hata sehem nimewahi kusikia wala kusoma habari ya huyo lilith ..lakini maneno ya kuambiwa changanya na akili zako
 
Lilith anayesemekana ni mke wa kwanza wa Adam. Hatajwi popote kwenye Biblia takatifu zaidi ya kwenye kitabu cha Isaya 34 : 14, na ambapo hata hivyo kutajwa kwake hakuna mahusiano kabisa na Adam.

Kuna simulizi nyingi nje ya Biblia zinazokinzana na nyingine kushabihiana kumhusu mwanamama huyu Lakini zote zinakubaliana katika jambo moja kuwa Lilith alimwacha Adam kwakuwa hakutaka kuwa chini ya amri za mwanaume. Hakutaka kuongozwa wala kutawaliwa na mwanaume kwa utetezi kwamba, wote waliumbwa siku moja na kwa malighafi zinazofanana. Hivyo hakuna mkubwa kuliko mwingine.

Sasa asili ya Lilith ni nini!? ni wapi?

Lilith anaonekana mara nyingi kwenye Biblia ya Kiebrania na huko anajulikana kama malkia wa usiku, pepo katili la usiku lenye tamaa kubwa ya ngono... Huku kazi yake kubwa ikiwa ni kuiba watoto gizani usiku. Lilith sio jina jema popote zaidi ya kwenye imani za kipagani na kishetani.

Asili ya Lilith inatajwa sana kwenye simulizi za Wayahudi (c 700-1000). Hapa anatajwa kama mke wa kwanza wa Adam waliyeumbwa pamoja (mwanzo 1:27, kisha akafuatia mke wa pili wa Adam baada ya Lilith kuondoka (mwanzo 2:22). Hapa inasemekana Lilith alimuacha Adam kwenye bustani ya Eden na hakutaka kurudi huko na kwenda kugawa kipochi manyoya kwa malaika muasi aliyeitwa Samael. Lakini pia simulizi nyingine zinasema aliondoka na kwenda kungonoka na shetani ili kuendeleza kizazi na uzao wa shetani.

Hii inaweza kuleta uhalisia kidogo kutokana na vile satanism wanavyomchukulia Lilith, kumuamini na kumwabudu kama mungu mwanamke, mke wa baba yao shetani.

Hizi zote ni simulizi nje ya Biblia takatifu lakini kitu kimoja kilicho wazi ni kwamba kuna hicho kiumbe chenye jinsia ya kike kiitwacho Lilith ambacho hakuna popote kinatajwa kwa wema. Kuna mahali anaelezewa kama mchawi, pepo aliyengonoka na shetani kwa makusudi mazima ya kuendeleza kizazi chao kama tulivyoona hapo juu.


Ibada za kutoa kafara katika satanism

Tunaterejea tena kutazama yale mambo yaliyoacha utata na pengine hayajawahi kujadiliwa na wengi.

Tumeshajadiliana sana kuhudu Eden, Hawa, tunda la mti wa kati(mti wa ujuzi wa mema na mabaya), nyoka na Adam. Katika vyote hivi kuna mtu pia tumemjadili kwa kiasi, mtu huyu hata maandiko hayamtaji wala kumjadili sana. Mtu huyo ni Lilith, mwanamke anayesemekana kuwa mke wa kwanza wa Adam.

Jambo hili la Adam kuwa na mke aliyeitwa Lilith halitajwi kwenye misahafu yetu hii tunayoijua bali kwenye maandiko mengine lakini ya kiimani pia.

Lilith anayetajwa kwenye maandiko hayo kama mwanamke kiburi na mwenye nguvu, na ambaye pia inasemekana alizaliwa sawa na Adam, aliasi na kutengana na Adam baada ya kushindana tabia. Lilith alitaka kuwa na mamlaka makubwa kwa Adam.

Habari za Lilith zinaishia pale alipoachana na Adam, kisha Adam alirejea Eden kuanza maisha ya upweke akiwa kama mtalikiwa na tunaambiwa Lilith alikuja kugeuka kuwa kiumbe cha kuzimu.

Maisha ya upweke Eden yanamfanya Mungu kumtengenezea Adam msaidizi wa kufanana naye
ndipo Adam sasa anamshukuru Mungu kwa kusema. Sasa huyu ni nyama katika nyama zangu na mfupa katika mifupa yangu? (Wanazuoni wanatafsiri kauli hii kama kwamba mwanzoni alikuwepo mwingine ambaye hakutokana na Adam! ) Je, mtu huyo ni Lilith?

Maisha mapya ya furaha upendo na mapatano ndani ya Eden kati ya Adam na Eva/Hawa yanamvuta nyoka anayetajwa kama ibilisi akijulikana kama malaika aliyeasi mbinguni (Lilith?) Huyu ndio pekee aliyejua siri ya uumbaji (ukiacha Mungu) na siri ya tunda la mti wa kati; mti wa ujuzi wa mema na mabaya!

Kwa hakika Lilith hakupenda kabisa kuona Adam akiwa na mwanamke mwingine na hilo liko wazi hata kwa kizazi cha leo. Ule usemi wa wanawake hawapendani asili yake ni huku. Lilith kwa uwezo alionao anavaa umbo la nyoka na kumlaghai Eva/Hawa ale tunda la mti wa kati; mti wa ujuzi wa mema na mabaya. Mti ambao Adam alizuiwa kula matunda yake.

Bibie Eve/Hawa bila kujua nia ovu ya nyoka anakubali kula tunda la mti wa kati ambalo aliliona ni TAMU na linapendeza kwa macho! Kilichofuatia baada ya hapo kinajulikana wazi. Nyoka akawafitinisha Adam na mkewe Hawa kwa Mungu. Wakafumbuliwa macho yaonayo na kujiona wako uchi.

Nyoka akalaaniwa kuwa atatembea kwa tumbo. Eva akalaaniwa kuwa atazaa kwa uchungu.

Adam akalaaniwa kuwa atakula kwa jasho na wote wakafukuzwa Eden palipokuwa na kila kitu cha bure.

Lengo la Lilith la kulipa kisasi likawa limetimia na kwa mtazamo huo inawezekana kabisa Lilith ndio ibilisi!
Yaani kuna mengi sana tusiyoyajua ila tupeane jamani ili tuzidi kuongeza maarifa ila Mungu pengine aliyaficha mengine ili tu tuwe salama
 
Ahahhahah ahahahahahah hii ndio kwanza naisikia kwako hakuna hata sehem nimewahi kusikia wala kusoma habari ya huyo lilith ..lakini maneno ya kuambiwa changanya na akili zako
Je umeshasoma maarifa yote kuhusu Biblia zote ukakuta hakuna?
 
Lilith atakua ni shetani lakini hakua mwana wa adam,atakua ni mmoja wa malaika walio hasi kwa molah wao.katika uumbaji alioufanya mungu akuumba kiumbe chochote chenye utashi na akili kama adam,hata hao malaika mwanzo wa biblia haijataja uumbaji wao,lakini wakati mungu anaumba mbingu na ardhi na kila kitu alikua na malaika na ndo maana mungu alipowaambia malaika wamsujudie adam ndo wakaasi na kuitwa ibilis,hata mm naweza kuungana kua ibilisi ni shetani mwanamke,lkn mara nyingi shetan anatambulishwa sana kwa jinsi ya kike zaidi ya mwanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
hata Adam na Eva hawakuumbwa na utashi na akili, walipata utashi baada tu ya kula tunda ndipo wakaweza kujua Jema na baya
 
Back
Top Bottom