Uko sahihi kabisa, mimi kama mimi sintomuunga mkono yoyote akimkosoa Samia, iwapo alikalia kimya madhila ya Magufuli kwa wengine. Hata aje na hoja nzuri kiasi gani, kama alikuwa upande wa dhalimu atabaki na hoja yake.You are missing the point
Kama Magufuli alikosea na hawa kina Mwanakijiji walikuwa kimyaa kabisa hata watu walipokuwa wanapigwa risasi na kutekwa...hawana haki ya kuchonga midomo kisa Rais aliepo sie wanaomtaka....
Wale waliokuwa wanamkosoa Magufuli..sina shida nao kabisa kama wanamkosoa Samia...angalau wao wamesimamia principles... I hope umenielewa
Halafu anakwambia lazima ukubali ushoga LGBTQ ukikataa anakata misaada. 😀 😀Angalau mzungu hujenga shule na hospitali, mwarabu kwenye mradi wake C.S.R. hupeleka kujenga msikiti tuu ,kupanda mitende na minazi hapo kamaliza
Hoja yake nayo vipi? Imeumbuliwa?Bora umeliumbua hilo zee linafiki.
Kwa hiyo mnamuiga Magufuli?Tunaharibu kivipi?alipokuwa Magufuli anafanya kila kitu Kwa utashi wake haikuwa nchi inaharibika??
Angalau mzungu hujenga shule na hospitali, mwarabu kwenye mradi wake C.S.R. hupeleka kujenga msikiti tuu ,kupanda mitende na minazi hapo kamaliza
Kwa namna yeyote mimi sipingi, bandarini napajua ndani nje, na harakati zote nazijua, kwa kweli tunahitaji uwekezaji mkubwa, muhimu tu kama kuna mapungufu tumeyaona yarekebishwe, tukubaliane kwa maslahi ya taifaKwa hiyo ww hupingi kwakuwa ni waarabu na ni wa dini fulani?
Waarabu wakiwajengea shule na hospitali mnasema magaidi, wanakuja mpaka wazungu kutoka UN huko ati kukamata magaidi, acheni double standardAngalau mzungu hujenga shule na hospitali, mwarabu kwenye mradi wake C.S.R. hupeleka kujenga msikiti tuu ,kupanda mitende na minazi hapo kamaliza
Rais katudharau mno.
Pamoja na kutuingiza kwenye kadhia yote hiyo bado tu kakaa kimya.
Waarabu wakiwajengea shule na hospitali mnasema magaidi, wanakuja mpaka wazungu kutoka UN huko ati kukamata magaidi, acheni double standard
Mimi napinga unafikiHii mantiki ya kusema Rais yuko well informed ni Ujinga pia. Sasa Procurement Act mlikuwa mnaanzisha ya nini? Halafu kama Magufuli alituchagulia Contractors unfairly, haingii akilini Samia kuiga mambo ya Kijinga. Kumbuka ukiwa Rais hasa Africa una Power kupindukia. Hata Mabutu alikuwa well informed na Washauri lukuki. Tuache mihemuko. Hata wewe umekuwa very aggressive and Vocal hii awamu ukitetea kila jambo.
Jikite kwenye hoja, punguza uchawa. Katiba ya JMT ipo outdated, imempa Rais mamlaka ya Ki-Mungu. National Wealth Resources ( Permanent Sovereign) Act ya 2017 ( Revised ) ina-limit baadhi ya resources kuwa controlled na foreign territory. Hii issue ya bandari ipo sensitive sana, ilihitaji ushirikishwaji wa stakeholders wote including the public at large siyo kuwaachia wabunge wa CCM tu watuamlie tena kwa maslahi ya matumbo yao.Hiyo no 6 ..lazima kushindanisha??
Rais anaweza ona kampuni ipi sahihi ..
Kama Magufuli alivyokuwa anatuchagulia kampuni ipi zijenge nini na wapi..
Bwawa la Nyerere...alichagua yeye ..
Sgr alichagua yeye ..
Since Rais Yuko more informed na washauri Tele kaona Dpworld sahihi...
Wewe kaaa kimyaa kama ulivyokuwa kimyaa wakati Magufuli anafanya yote hayo Kwa utashi wake
Sioni tofauti yako na hao unaojifanya kuwavua nguo. Unafanya hicho hicho walichofanya.Mimi napinga unafiki
Wale waliokuwa wanamkosoa Magufuli...kina Tundu Lissu, Mbowe na Bagonza hutaniona kabisa nawashambulia...why?angalau wao walithibitisha kuwa wanamkosoa yeyote Yule aliepo madarakani...hata kama sikubaliani nao hoja siwezi waambia kaeni kimya...since hawakukaa kimyaa wakati wa Magufuli...
Hawa kina Pengo, Mwanakijiji, Slaa, Tibaijuka na wanafiki wengine lazima tuwavue nguo kila mara wanaponyanyua midomo yao....
Unafiki na kuchagua nani umkosoe sababu ya dini ni kitu kibaya zaidi kuliko mikataba mibovu
Acha akatie tu, maana hata bunge la dhalimu limeshindwa kuzuia. Hakuna kuunga hoja ya mnafiki yoyote maana ndio wamechangia kutufikisha hapa.Hoja yake nayo vipi? Imeumbuliwa?
Samia akiona hivi anaenda kutia saini mkataba mwingine wa kuuzwa huko uarabuni maana hamna akili
Mimi napinga unafiki
Wale waliokuwa wanamkosoa Magufuli...kina Tundu Lissu, Mbowe na Bagonza hutaniona kabisa nawashambulia...why?angalau wao walithibitisha kuwa wanamkosoa yeyote Yule aliepo madarakani...hata kama sikubaliani nao hoja siwezi waambia kaeni kimya...since hawakukaa kimyaa wakati wa Magufuli...
Hawa kina Pengo, Mwanakijiji, Slaa, Tibaijuka na wanafiki wengine lazima tuwavue nguo kila mara wanaponyanyua midomo yao....
Unafiki na kuchagua nani umkosoe sababu ya dini ni kitu kibaya zaidi kuliko mikataba mibovu
Unaweza usione tofauti..Kwa sababu unaamini moyoni mwako "nchi inauzwa"...Sioni tofauti yako na hao unaojifanya kuwavua nguo. Unafanya hicho hicho walichofanya.
Hoja ni bandari,lkn wewe kwa chuki na ujinga wako,una hamisha magoli.kwa kweli hata ujinga nao ni karama.Hiyo no 6 ..lazima kushindanisha??
Rais anaweza ona kampuni ipi sahihi ..
Kama Magufuli alivyokuwa anatuchagulia kampuni ipi zijenge nini na wapi..
Bwawa la Nyerere...alichagua yeye ..
Sgr alichagua yeye ..
Since Rais Yuko more informed na washauri Tele kaona Dpworld sahihi...
Wewe kaaa kimyaa kama ulivyokuwa kimyaa wakati Magufuli anafanya yote hayo Kwa utashi wake
Jikite kwenye hoja, punguza uchawa. Katiba ya JMT ipo outdated, imempa Rais mamlaka ya Ki-Mungu. National Wealth Resources ( Permanent Sovereign) Act ya 2017 ( Revised ) ina-limit baadhi ya resources kuwa controlled na foreign territory. Hii issue ya bandari ipo sensitive sana, ilihitaji ushirikishwaji wa stakeholders wote including the public at large siyo kuwaachia wabunge wa CCM tu watuamlie tena kwa maslahi ya matumbo yao.
Umemuongelea mwendazake ( Magufuli ) kufanya maamuzi ya kujenga JNHP na kuchagua mzabuni wa kujenga SGR kwa utashi wake lakini hakufanya maamuzi ya kubinafisisha rasilimali za nchi kama huyu Bi-Tozo alivyoamua kubinafisisha rasilimali za watanzania kwa maslahi yake binafsi na genge lake. Kwa mfano, wale wamasai kuondolewa kule Loliondo unaona ni sawa? Bandari zote nchini kupewa waarabu ni sawa? Haya yote yamefanyika kwa sababu ya udhaifu wa katiba ya JMT.
Tindo,utakufa na ujinga wako kichwani.Bora umeliumbua hilo zee linafiki.
Wewe ni mfuasi wa ibilisi,Tunaharibu kivipi?alipokuwa Magufuli anafanya kila kitu Kwa utashi wake haikuwa nchi inaharibika??