THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Hiyo no 6 ..lazima kushindanisha??
Rais anaweza ona kampuni ipi sahihi...
Ni wale wale akina PENGO tuh hawa,Leo wamepewa uhuru wa kuhoji na kumkosoa prezoo basi wanajiona wanajua Kila Kitu,Urais ni Taasisi kubwa na kama bandari imeonekana Haina ufanisi na majiz yanabadili mbinu kila kukicha iweje tusite kushirikisha wataalam Zaid yetu??
Samia aendelee kupiga kazi,aachane na hizi kelele za watu wenye Njaa