Sasa unataka wote twende kwenye jiwe la msingi? Au wote tuongelee habari za jiwe la msingi ama?habari za ugaidi ndio zinapendwa sana na CHADEMA na ndio wamejaa huku kwenye mitandao wanazisambaza kwa kasi sana....leo Magufuli anaweka jiwe la msingi ujenzi wa reli hakuna anaejali....CHADEMA wako busy na habari za watu kutekwa! CHADEMA ni janga la Taifa
Post yangu na 44 ambayo umecoment hapo juu nimewataja kina Koni na IRA, je hao ni waislamu? Inaonekana una inferiority complex na dini yako... kwa hilo nikupe pole dada...= kudhuru
Kuna kila uwezekano wahusika wasiwe kama unavyofikiria.
Unaweza kufanya ugaidi na kupandikiza ili fulani aonekane gaidi. Intelijensia hufanya kazi kinyume na fikra za wengi.
Intelijensia imefanya kazi na imefanikiwa kukujaza ujinga (brainwashed) na kukuaminisha kuwa gaidi duniani ni Muislam tu, kinyume kabisa na ukweli na uhalisia hata tafiti za kisomi zinaonesha kuwa huko ni kujazana ujinga tu.
A strong tiss will ensure there is no terrorism except when and where they are the terrorists themselves. Hivi kama utawala unadulterated katiba (pamoja na mapungufu ya hiyo katiba) kuna umuhimu na u lazima wa ku terrorise walipakodi? Kweli?
Shangazi eh hapa kwa Mjomba hakuna njaa,kama unabisha shangazi yangu siku njoo ujionee mwenyewe hapa kwa Mjomba kama kuna njaa..we njoo tu uje kuishi na Mjomba wangu hakika atakulisha tu vizuri.Unga robo na utumbo nusu kilo mtu SABA inakula tayari wewe unadai hapo kwa mjomba wako hakuna njaa.
Unaweka jiwe la msingi la ujenzi MPYA wa reli ya kisasa wakati raia wako wanakufa njaa kwa kupanda kwa gharama za maisha.habari za ugaidi ndio zinapendwa sana na CHADEMA na ndio wamejaa huku kwenye mitandao wanazisambaza kwa kasi sana....leo Magufuli anaweka jiwe la msingi ujenzi wa reli hakuna anaejali....CHADEMA wako busy na habari za watu kutekwa! CHADEMA ni janga la Taifa
Jana kumefanyika kikao cha wanauchumi na kutoa taarifa mbalimbali za muelekeo wa kiuchumi wetu kuwa ni mzuri. Pia BOT kuongeza ujazo wa fedha. Kwa wapenda hofu hizo kwao sio habari. Hotuba ya bajeti ya ofisi ya waziri mkuu kesho mwisho lakinii wabunge waliopewa nafasi wao ni utekeji ndio waliouona katika hotuba hiyoKinachoendelea sasa hivi Tanzania ni ugaidi (terrorism).
Lengo la ugaidi ni kuwatia watu hofu na kufikisha ujumbe kwa wengi kwa njia ya hofu.
Matukio yanayoongelewa sana kwenye vyombo vya habari na mitandao yote ya kijamii mpaka nchi za nje kwa sasa ni hayo, kuanzia watu kutekwa, kutolewa bastola hadharani, mauaji ya Kusini huko, watu kukutwa kwenye viroba, kupotea kwa watu na mengi mengineyo, yote yanaashiria ugaidi.
Magaidi hujitokeza na kusema sisi ndiyo tuliyoyafanya hayo ili waogopwe au matakwa yao yatimizwe au hukaa kimya na kuwachochea kivingine kwa lengo hilo hilo.
Matukio ya ugaidi yanapotokea pia hujitokeza wengine ambao hutumia fursa hiyo kufikisha ujumbe wao kwa njia tofauti.
Kwa yanayotokea Tanzania, ukweli ni kuwa, kuna wanaofanya huo ugaidi wa kutisha na kuna wanaotumia huo gaidi kama ni fursa kwao kufikisha ujumbe wao ama kwa kuongezea ugaidi mwingine au kwa kuendeleza hofu kwenye jamii na vyombo husika.
Watanzania tunachotakiwa kufanya ni kukaa kimya na kufunga hii mijadala yote na kuwacha kuripoti matukio yote ya kigaidi ili kushindana na ugaidi.
Gaidi kama matukio yake hayaongelewi kazi yake inakuwa haijafanikiwa.
Kila tunapoyaongea na kuyasambaza ndiyo furaha ya magaidi na ndiyo lengo lao, wengi wajawe na hofu.
Kwanini? Mie sijuwi.
Matukio yanayoongelewa sana kwenye vyombo vya habari na mitandao yote ya kijamii mpaka nchi za nje kwa sasa ni hayo, kuanzia watu kutekwa, kutolewa bastola hadharani, mauaji ya Kusini huko, watu kukutwa kwenye viroba, kupotea kwa watu na mengi mengineyo, yote yanaashiria ugaidi.
muache Mkwere apumzike.Hata Kikwete aliitwa "dhaifu", leo kiko wapi?
Kama hukifafanui hicho kitu "moles" hamna haja ya kukiandika.
Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni ugaidi (terrorism).
Lengo la ugaidi ni kuwatia watu hofu na kufikisha ujumbe kwa wengi kwa njia ya hofu.
Matukio yanayoongelewa sana kwenye vyombo vya habari na mitandao yote ya kijamii mpaka nchi za nje kwa sasa ni hayo, kuanzia watu kutekwa, kutolewa bastola hadharani, mauaji ya Kusini huko, watu kukutwa kwenye viroba, kupotea kwa watu na mengi mengineyo, yote yanaashiria ugaidi.
Magaidi hujitokeza na kusema sisi ndiyo tuliyoyafanya hayo ili waogopwe au matakwa yao yatimizwe au hukaa kimya na kuwachochea kivingine kwa lengo hilo hilo.
Matukio ya ugaidi yanapotokea pia hujitokeza wengine ambao hutumia fursa hiyo kufikisha ujumbe wao kwa njia tofauti.
Kwa yanayotokea Tanzania, ukweli ni kuwa, kuna wanaofanya huo ugaidi wa kutisha na kuna wanaotumia huo gaidi kama ni fursa kwao kufikisha ujumbe wao ama kwa kuongezea ugaidi mwingine au kwa kuendeleza hofu kwenye jamii na vyombo husika.
Watanzania tunachotakiwa kufanya ni kukaa kimya na kufunga hii mijadala yote na kuwacha kuripoti matukio yote ya kigaidi ili kushindana na ugaidi.
Gaidi kama matukio yake hayaongelewi kazi yake inakuwa haijafanikiwa.
Kila tunapoyaongea na kuyasambaza ndiyo furaha ya magaidi na ndiyo lengo lao, wengi wajawe na hofu.
Kwanini? Mie sijuwi.
Unaweka jiwe la msingi la ujenzi MPYA wa reli ya kisasa wakati raia wako wanakufa njaa kwa kupanda kwa gharama za maisha.
Huu kwangu ni upuuzi tu.
" Maendeleo halisi ni maendeleo ya watu wala si maendeleo ya vitu " by nyerere
Ugaidi si vita ya kumpigania yule bwana? Sasa mbona hao hawampiganii yule?Lengo ni kupigana na ugaidi kwa kuudhoofisha matakwa yao.
Leta ushahidi dada maana hiz za mahasimu kutumia njia za kigaidi kumteka Ben saa 8 ni ujinga tu..... lakini ushahidi wa wa upande wa pili upo kuwa gari la state house lilikuwepo wakat nape anatolewa bastola na wakat DAB anavamia clouds. .. suala la ujangiRI nimeandika in Manges note.... of coz alikuwa anatania maana hakuna asiye jua tofaut hizo ila mwisho wa siku msg ilifika na kuchoma kunako takiwa....=majangili
Ujangili na ugaidi ni vitu viwili tofauti kama ardhi na mbingu.
Kuna uwezekano mkubwa pia mahasimu wa CCM wakatumia njia za kigaidi ili kuipakazia CCM within and without.
Mengine yote swadakta, lakini kwa paragraph hii, hapana.Watanzania tunachotakiwa kufanya ni kukaa kimya na kufunga hii mijadala yote na kuwacha kuripoti matukio yote ya kigaidi ili kushindana na ugaidi.
Kutokupatikana taarifa sahihi za watekaji ndio sababu za kutokuchukuliwa kwa hatua uzitakazo. Aliyetekwa na kuwaona watekaji hamtaji mtu wewe uliyekuwa nyumbani na mwenza wako mkila raha ndio unataja watekaji. Basi uwe na sifa ya kusema kweli lakini nimuongo wa kukinai.Nashindwa kuelewa kwa nini serikali tukufu ya CCM iko kimya_ hata wabunge wake wanapokuwa wanakabiliwa na matishio ya kutekwa?
Watanzania hatuwezi tukakaa kimya eti tuwakomeshe magaidi kwa kimya chetu!!!.
FaizaFoxy Ndugu yangu nitaumia kiasi gani nikisikia umetekwa na kuteswa?
Je moyo Wangu utahimili kukaa kimya kweli?
Nitafanya niwezalo . Nikishindwa kulipa kisasi basi nitaandika.
Kamwe sitokaa kimya.
Kuna watekaji walitajwa kwa majina na miongoni mwao ni Ramadhan Igwondu, je alichukuliwa hatua gani?
Serikali yetu ya Leo imekuwa Crime Organiser ndio maana iko kimya na hata kwa maswali mazito inakuja na majibu mepesi.
yani wewe FaizaFoxy huwa najua kweli hamnazo ila kwa huu utumbo uliouandika hapa umejivua nguo unatia aibu!