ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
I
Ila we ni mjinga kuliko mkeohabari za ugaidi ndio zinapendwa sana na CHADEMA na ndio wamejaa huku kwenye mitandao wanazisambaza kwa kasi sana....leo Magufuli anaweka jiwe la msingi ujenzi wa reli hakuna anaejali....CHADEMA wako busy na habari za watu kutekwa! CHADEMA ni janga la Taifa