ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Ila we ni mjinga kuliko mkeohabari za ugaidi ndio zinapendwa sana na CHADEMA na ndio wamejaa huku kwenye mitandao wanazisambaza kwa kasi sana....leo Magufuli anaweka jiwe la msingi ujenzi wa reli hakuna anaejali....CHADEMA wako busy na habari za watu kutekwa! CHADEMA ni janga la Taifa
Hivi vifupisho vya maneno wakati mwingine vinaweza kumfanya msomaji akatafsiri ndivyo sivyo!!!!
Ndugu yangu Faiza kwanza binafsi nashukuru kwa wewe pia kuliona hili, ya kuwa yanayofanyika tanzania ni ugaidi.
Laini acha tuongee huenda hawa Magaidi wataacha au wataona AIBU kwa vitendo vyao vya Kigaidi. Na hawa magaidi wanafahamika hata walipo, hawa ni magaidi tofauti na wale Alsha-ashab, Boko Haramu, Al-Qaeda, au IS; ambao matendo yao huyafanya kwa kujificha kiasi kwamba hata askari kupambana nao ni ngumu kiasi.
Lakini magaidi wa Tanzania ni kwamba asilimia kubwa wanafahamika.
NDUGU ZANGU HIVI KUNA TOFAUTI GANI KATI YA UTEKAJI UNAOFANYWA TANZANIA NA ULE WA BOKO HARAMU WA KUTEKA WASICHANA KULE NIGERIA??????
HIVYO NI JUHUDI ZINAHITAJIKA KATIKA KULIMALIZA HILI SUALA LA UGAIDI HAPA TANZANIA.
BINAFSI NAOMBA JUMUIYA YA KIMATAIFA KUINGILIA KATI KAMA WANAVYOFANYA NCHI ZA SYRIA, MISRI, IRAQ, SOMALIA.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
dah! hapa ndio umetutisha zaidi. magaidi kwa lengo gani. siasa, dini au pesa? magaidi wasiodai kitu ni wa aina gani!
Tumekuelewa [HASHTAG]#Faizafoxy[/HASHTAG] siku ukitekwa tutanyaza ili lengo la magaidi lisifikiwe.
Sawa, lakini si kwa kiwango cha kukaa kimya wanapotoweka watu miongoni mwetu. Wakati mwingine ni vizuri kufikiria kwamba ingekuwa wewe ndiye ndugu, mume, mke au mtoto wa aliyetoweka ungefanya hicho unachoshauri. Anayejua maumivu ya kiatu ni mvaaji. Ninamwomba Mungu awape hekima na utu viongozi wetu wasilione jambo hili kuwa ni la kawaida na hivyo walipatie ufumbuzi haraka iwezekanavyo. Inauma sana.Lengo ni kupigana na ugaidi kwa kudhoofisha matakwa yao.
una roho mbaya sanaMajungu yapi,unadhani nani analipa kama siyo kodi yangu?Unadhani inalipwa na mshahara wake?Acho upumbavu?Mie siwangalii watu wanaosupport mauaji ya aina yeyote ya kiakili au kimwili
una roho mbaya sana
Hao wa nje uliowataja kuwa ni magaidi, kama ni magaidi kweli, huwa wanajitangaza ili walichokifanya kiwafikie wengi.
Huu wa kwetu mpaka leo sijaona aliyejitangaza, si kwa matukio ya Kusini ya kuuliwa wenyeviti wa CCM wala tukio la Roma au la Ben Saanane. Kwanini?
Nafikia kusema kuwa hawa magaidi wa kwetu wanataka wanatutumia sisi tuliojawa hofu tutangaze na hofu isambae zaidi na zaidi. Dawa yake nini?
Nionavyo, tukitangaza ndiyo furaha yao kwani malengo yao yametimia.
Tukikaa kimya lengo lao moja la kutangazwa litakuwa halijatimia. Hii itakuwa pigo kubwa kwao na itabidi tu wajitangaze, na hapo ndiyo tutawabaini kiulaini.
Mzee Buji buji leo umenenaNashindwa kuelewa kwa nini serikali tukufu ya CCM iko kimya_ hata wabunge wake wanapokuwa wanakabiliwa na matishio ya kutekwa?
Watanzania hatuwezi tukakaa kimya eti tuwakomeshe magaidi kwa kimya chetu!!!.
FaizaFoxy Ndugu yangu nitaumia kiasi gani nikisikia umetekwa na kuteswa?
Je moyo Wangu utahimili kukaa kimya kweli?
Nitafanya niwezalo . Nikishindwa kulipa kisasi basi nitaandika.
Kamwe sitokaa kimya.
Kuna watekaji walitajwa kwa majina na miongoni mwao ni Ramadhan Igwondu, je alichukuliwa hatua gani?
Serikali yetu ya Leo imekuwa Crime Organiser ndio maana iko kimya na hata kwa maswali mazito inakuja na majibu mepesi.
Ahhha haaa government bhanaHivi vifupisho vya maneno wakati mwingine vinaweza kumfanya msomaji akatafsiri ndivyo sivyo!!!!
Dhanna ya Mauaji ya kimbari na matukio ya kigaidi ni vitu viwili tofauti.lakini tukikaa kimya wataendelea kututeka na kututia hofu, hata Jumuiya ya kimataifa haitafahamu kama Tanzania kuna ugaidi. Endapo tukikaa kimyana akatokea mmoja akasema "jamani Tanzania kuna tatizo hili la kutekwa wananchi...." hapo hakuna atakayeelewa kwani watashangaa mbona hawajasikia kilio chochote kuhusu jambo hilo??? Hivyo ataonekana aliyesema kuwa ni muongo.
SEMA USIKIKE.
Mauaji ya Kimbari nchini Rwanda ya mwaka 1994, endapo kama yasinge tangazwa, ni nani angejua kuwa kuna uasi mkubwa.
Hii ni faida ya utandawazi AMBAPO IKITUMIKA VIZURI PASIPO KUPOTOSHA UWEPO WA UTANDAWAZI. tusifananishe Ulimwengu wa sasa na ule wa miaka 60 iliyopita.
Kwa pamoja tusiangalie imani ya dini, siasa, taifa, au kabila; sote tukemee yanayoendelea nchini Tanzania kwani yanashika kasi siku hadi siku.
MIZAMBW
INANIUMA SANA!!!
hahahahhah, basi siku nyingine uandike Govt, hahahahah sio GovAhhha haaa government bhana
we mwanamke umenishinda tabia....mumeo ana kazi sanaSijamfikia Sizonje wala Makonda kwa ROHO mbaya,hawa wawili wanaroho zaidi ya Shetani
we mwanamke umenishinda tabia....mumeo ana kazi sana
Sawa, lakini si kwa kiwango cha kukaa kimya wanapotoweka watu miongoni mwetu. Wakati mwingine ni vizuri kufikiria kwamba ingekuwa wewe ndiye ndugu, mume, mke au mtoto wa aliyetoweka ungefanya hicho unachoshauri. Anayejua maumivu ya kiatu ni mvaaji. Ninamwomba Mungu awape hekima na utu viongozi wetu wasilione jambo hili kuwa ni la kawaida na hivyo walipatie ufumbuzi haraka iwezekanavyo. Inauma sana.
King Cobra
mumeo anajua jinsi unavyoporomosha pumba huku jf?Kwani unataka unioe??Kitu kikubwa mume wangu siyo mwanaume suruali anayesubiria kupewa tu anafanya kazi kulisha familia yake period.Na hatupo hapa kujadili familia zetu tupo kuinyoosha serikali,you either join us or kalale mbele