Roho za waarabu sio nzuri japo na jinadi kuwa waislamu, ila ki vitendo sio waislamu wazuri bora hao waswahili wetu japo na wenyewe unafiki mwingi tu ila angalauUnasafiriaha watu maelf ya mails wakati wamezungukwa na nchi kibaaaao za.kiarabu ambao watawlewana lugha.
Akiamua kuachana nao?Marikani ndo alie chokonoa hiyo nchi lazima repercussions zote azibebe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapa unatafuta vita vya dunia wakijaRoho za waarabu sio nzuri japo na jinadi kuwa waislamu, ila ki vitendo sio waislamu wazuri bora hao waswahili wetu japo na wenyewe unafiki mwingi tu ila angalau
Wawalete na bongo tupate kazi na mademuSerikali ya uganda imekubali kupokea wakimbizi takribani 2000 kutoka nchini Afaghanisitani kufuatia anguko la serikali eliokuepo madarakani na wana mgambo wa kitalibani kuchukua madaraka ya nchi hiyo.
Je uganda ina uwezo wa kuhifadhi hao watu au ni mpango wa Marikani, kupunguza wakimbizi nchini mwake?
Je kuna haja ya Tanzania kufuata hizo dollar pia za Marikani kwa kuwakaribisha wakimbizi hao Faghanistan waje nchini au watageuka kua hatari kwa usalama wa nchi?
Disaster preparedness minister says Uganda is expected to host about 2,000 refugees from Afghanistan with 500 expected to arrive today.
bit.ly/3CSvTSM | #VisionUpdates
Kama na wakimbizi wa kike wapo ipo haja na sisi Tanzania tumbembeleze mama naye awapokee wakimbizi kutoka huko ila kutoa fursa kwetu sisi vijana kuweza kuwaoa na kuwazalia watoto.Serikali ya uganda imekubali kupokea wakimbizi takribani 2000 kutoka nchini Afaghanisitani kufuatia anguko la serikali eliokuepo madarakani na wana mgambo wa kitalibani kuchukua madaraka ya nchi hiyo.
Je uganda ina uwezo wa kuhifadhi hao watu au ni mpango wa Marikani, kupunguza wakimbizi nchini mwake?
Je kuna haja ya Tanzania kufuata hizo dollar pia za Marikani kwa kuwakaribisha wakimbizi hao Faghanistan waje nchini au watageuka kua hatari kwa usalama wa nchi?
Disaster preparedness minister says Uganda is expected to host about 2,000 refugees from Afghanistan with 500 expected to arrive today.
bit.ly/3CSvTSM | #VisionUpdates
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tukiongeza population wa kuleta madada wakutosha wakipashtuni na hawa wakwetu wadangaji tukawapelekea wataliban huko inaweza kuwasaidia vijana wa kitanzania kiasi fulani.
Sasa naona uganda inataka kutengeneza pisi kali zenye mchanganyiko bara la asia [emoji2]
Maana sehemu ambayo kutakuwa na wakimbizi ijalishi mda gani lazima kutakuwa na muingiliano mkubwa wa kijamii,biashara na n.k.
Tanzania ikijitolea tunaomba wapelekwe tabora au singida na sisi tutengeneze pisi kali
View attachment 1895638
Tena ni waaminifu sio kama mabongo ukienda kununua wanawaza kukutapeliMbona wamejazana hapa
Tz wanafanya biashara ZA magari wamekusumbua?