Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wemekimbia nini huko na Uganda Kuna Nini?Yaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan Warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa. Any way ngoja nikatafute toto la kiarabu Uganda...
Marekani wamemwomba raisi Museven awahifadhi kwa muda kabla hawajapelekwa Marekani.Yaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan Warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa. Any way ngoja nikatafute toto la kiarabu Uganda...
Yaani kawavuruga sana kiakili[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]baada ya kusikia i habari nili jikuta tu nacheka kama mazuri
Mkuu usilaumu sana. Hao wote hawatakaa Uganda maishani mwao yote. Watakuwa chini ya UNHCR. Baada ya paper works kukamilika watatawanywa kila mmoja ama familia nchi tofauti tofauti zilizoendelea Australia, Marekani, Canada, Uingereza EU. Na sio wao wataamua ni nchi gani wanaenda.Yaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan Warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa. Any way ngoja nikatafute toto la kiarabu Uganda...
Sura pana za kibabeYaani we ulitegemea zile sura wazipeke Washington?
Wanaogopa ShariaKwani wemekimbia nini huko na Uganda Kuna Nini?
USSR
Na wale mercenaries ambao US itawatuma kwenda Congo watatokea kwenye unit ipi?Marekani wamemwomba raisi Museven awahifadhi kwa muda kabla hawajapelekwa Marekani.
Wapo 2000 na wote inabidi wapimwe COVID-19 wawe documented maana wengine waliingia tu kwenye ndege.
Hivyo wapo kwenye Transit Uganda itapiga mpunga wa kutosha hapo.
Ni shughuli ya miezi mitatu na nchi zingine zitaleta watu hao hapo Uganda.
Marekani itagharamia kila kitu.
Mkuu watakuwa Uganda kwa muda chini ya UNHCR wakisubiri process za kupelekwa kama asylum mataifa yaliondelea.Kuna Mtu aliwadanganya kuwa Marekani inawachukua na kuwapeleka huko kwao😁😂
Wasingeweza kuwachukua ghafla vileYaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan Warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa. Any way ngoja nikatafute toto la kiarabu Uganda...
sura zao zikoje mkuu?Yaani we ulitegemea zile sura wazipeke Washington?
Sura zipoje 😂😂Yaani we ulitegemea zile sura wazipeke Washington?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mi nawaonea huruma watoto aise hii dunia kweli ni uwanja wa fujoNdege alipeleka kwaajili ya mamluki wake... Hao waliopanda bahati mbaya kwasababu za umasikini ndio wanakuja kubwagwa Uganda
Hapo hapo Uganda hao jamaa walivyokuwa wapiganaji wanaweza kutusua,trust meMkuu usilaumu sana. Hao wote hawatakaa Uganda maishani mwao yote. Watakuwa chini ya UNHCR. Baada ya paper works kukamilika watatawanywa kila mmoja ama familia nchi tofauti tofauti zilizoendelea Australia, Marekani, Canada, Uingereza EU. Na sio wao wataamua ni nchi gani wanaenda.
Process itachukuwa muda kwaanzia miezi 12 hadi miaka 5. Wa Afghanistan wanaofanya kazi UNHCR watakuwwpo hapo kufacilirate kila kitu wakisaidiana na wafanyakazi wengine.
Halafu kwa Museveni ni hela ndefu atapata sana kwa kipindi hicho. Hao Waafghanistan watapokea msaada wa fedha na malazi kwa kipindi chote wakisubiri kuwaresettled hawajapoteza chochote kabisa.
Kumbuka pia majeshi ya Ethiopia jamii ya Tigray walioenda kulinda amani Darfur na kwengineko wote kwa mamia wako Uganda kama wakimbizi wakisubiri ni nchi gani watapelekwa.
Wangewapeleka hata Alaska huko au HawiiKuna Mtu aliwadanganya kuwa Marekani inawachukua na kuwapeleka huko kwao[emoji16][emoji23]
Jamaa zetu flani baada ya kusikia hiyo issue ya Uganga wameondoka fasta now wapo namanga wanachanja mbuga to EntebeMarekani wamemwomba raisi Museven awahifadhi kwa muda kabla hawajapelekwa Marekani.
Wapo 2000 na wote inabidi wapimwe COVID-19 wawe documented maana wengine waliingia tu kwenye ndege.
Hivyo wapo kwenye Transit Uganda itapiga mpunga wa kutosha hapo.
Ni shughuli ya miezi mitatu na nchi zingine zitaleta watu hao hapo Uganda.
Marekani itagharamia kila kitu.
Afghan are very good people. Ni jamii ya Pashtun ndio watata na ndio Taliban na wako wengi ni asilimia 42 na hao Pashtun hawasafiri kabisa. Ni hizi jamii zingine za afghanistan minority kama Uzbek, Hazara, Tajik, Aimak, Baloch (akina Rostam), Turkmen hao ndio unawaona wanatoroka Afghanistan. Wanaonewa sana na Taliban kwasababu wametofautiana kimafundisho na mila.Hapo hapo Uganda hao jamaa walivyokuwa wapiganaji wanaweza kutusua,trust me
Ova