Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Basi uganda wako na bahati sana kanda yetu, maana hata israel ya leo kama wasingekataa ungekuta wako uganda kwa sasa.
Hata matukio mengi yamewahi kutokea uwanja wa ndege wa entebe, na hata la sasa litawainua mno!
Ajabu kwangu hao waasi hawaoni aibu kukombiwa na wananchi wao?
Lakini pia ni jinsi gani africa isivyo na thamani mbele ya wenzetu, tunafanywa kama jalala!
Hata matukio mengi yamewahi kutokea uwanja wa ndege wa entebe, na hata la sasa litawainua mno!
Ajabu kwangu hao waasi hawaoni aibu kukombiwa na wananchi wao?
Lakini pia ni jinsi gani africa isivyo na thamani mbele ya wenzetu, tunafanywa kama jalala!