Uganda imekubali kuwapa raia wa Afghanistani hifadhi ya ukimbizi

Uganda imekubali kuwapa raia wa Afghanistani hifadhi ya ukimbizi

Uganda wanapaoneaaa...

Ma Zionist(Wana israeli) mwaka 1903 walipokosa nchi ya kujihifadhi Walikabidhiwa Uganda(eneo la kenya ya leo) na Muingereza kabla ya kukataa kusema sisi tunatokea Palestina
Leo hii wa Afrighanistan Wamepelekwa huko huko....
 
Afghan are very good people. Ni jamii ya Pashtun ndio watata na ndio Taliban na wako wengi ni asilimia 42 na hao Pashtun hawasafiri kabisa. Ni hizi jamii zingine za afghanistan minority kama Uzbek, Hazara, Tajik, Aimak, Baloch (akina Rostam), Turkmen hao ndio unawaona wanatoroka Afghanistan. Wanaonewa sana na Taliban kwasababu wametofautiana kimafundisho na mila.

Malala ni pashto wa Pakistan sijui imetokea vipi akawa na Mrengo tofauti. Ndo maana Taliban wanammaindi
hao jamaa ni Sunni au Shia?
 
Mrangi mkuu unajua kuna siku ntakutafuta huko na exposure sana. Uligusiaga kidogo biashara yako ya real estate Canada kwenye comment flani hivi. Nikasema huyu si mwenzetu. Ila unakausha hujioneshioneshi.
Real Estate ndo nini baharia?
 
Marekani wamemwomba raisi Museven awahifadhi kwa muda kabla hawajapelekwa Marekani.

Wapo 2000 na wote inabidi wapimwe COVID-19 wawe documented maana wengine waliingia tu kwenye ndege.

Hivyo wapo kwenye Transit Uganda itapiga mpunga wa kutosha hapo.

Ni shughuli ya miezi mitatu na nchi zingine zitaleta watu hao hapo Uganda.

Marekani itagharamia kila kitu.
Kabisa na hao wengi walikuwa wanafanya kazi Za ukalimani,upishi n.k kwenye Kambi za Jeshi za USA ,wengi wanaofia maisha yao baada ya Talaban kuchukua nchi.USA imewahaidi kuwapa makazi USA ila mbali na kupata chanjo ya Corona,wanatakiwa kuwa Vetting na FBI na CIA ndo waweze ingia USA
 
Marekani wamemwomba raisi Museven awahifadhi kwa muda kabla hawajapelekwa Marekani.

Wapo 2000 na wote inabidi wapimwe COVID-19 wawe documented maana wengine waliingia tu kwenye ndege.

Hivyo wapo kwenye Transit Uganda itapiga mpunga wa kutosha hapo.

Ni shughuli ya miezi mitatu na nchi zingine zitaleta watu hao hapo Uganda.

Marekani itagharamia kila kitu.
Afadhali. Nimefarijika kusikia hivyo. Wanastahili kupata makao mapya bora zaidi kuliko walikotoka.
 
Hahaha,msema kweli mpenzi wa mungu

Kwa waliyokulia kulia kino %35 wamekanyaga iran[emoji23][emoji23][emoji23]

Ah poa tutafutane

Nakuambia hawo wa Afghan wamekuja afrika
Ni kama chura kapigwa take
Maana kna mafgan mmja yuko mbeya igurusi analima sana mpunga anakuambia afrika ndiyo
Kwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
amekaa bongo kwa muda gani? au mzawa
 
Yaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan au warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa. Any way ngoja nikatafute toto la kiarabu Uganda...

Nani kakuambia aghan ni waarabu?
 
Marekani wamemwomba raisi Museven awahifadhi kwa muda kabla hawajapelekwa Marekani.

Wapo 2000 na wote inabidi wapimwe COVID-19 wawe documented maana wengine waliingia tu kwenye ndege.

Hivyo wapo kwenye Transit Uganda itapiga mpunga wa kutosha hapo.

Ni shughuli ya miezi mitatu na nchi zingine zitaleta watu hao hapo Uganda.

Marekani itagharamia kila kitu.
Nafikiri ni muda wa kutafta hifadhi kwa mzee Yoweri Kaguta 😅😅😅 mchongo wa kuzamia US umeiva
 
Ni kawaida Uganda kuhost wakimbizi. Uganda ni miongoni mwa nchi zenye rekodi ya kuhost wengi zaidi Duniani.
Mkimbizi Uganda anaruhusiwa kufanya kazi ya kujikimu na uhuru wa kutembea(hafungiwi kambini)
Uganda's progressive refugee policy has been widely acknowledged. ... Uganda is widely recognised as having one of the most progressive refugee policies in the world. In addition to hosting more refugees than any other country in Africa,[1] it allows refugees the right to work and significant freedom of movement
 
Kwani hao ndugu zao majirani si wako na utulivu? Kwa nini wasiende huko?
 
Back
Top Bottom