green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Iyo inaitwa mbele kwa mbeleMsela ndani ya Newyork
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iyo inaitwa mbele kwa mbeleMsela ndani ya Newyork
Kikoti cha lamiNjaa tu imemwendesha M7, dakika sifuri anatelekezewa zigo...
hao jamaa ni Sunni au Shia?Afghan are very good people. Ni jamii ya Pashtun ndio watata na ndio Taliban na wako wengi ni asilimia 42 na hao Pashtun hawasafiri kabisa. Ni hizi jamii zingine za afghanistan minority kama Uzbek, Hazara, Tajik, Aimak, Baloch (akina Rostam), Turkmen hao ndio unawaona wanatoroka Afghanistan. Wanaonewa sana na Taliban kwasababu wametofautiana kimafundisho na mila.
Malala ni pashto wa Pakistan sijui imetokea vipi akawa na Mrengo tofauti. Ndo maana Taliban wanammaindi
Ni kawaida Uganda kuhost wakimbizi. Uganda ni miongoni mwa nchi zenye rekodi ya kuhost wengi zaidi Duniani.Uganda nayo imeingia mkenge tu kama hao Wa-Afghanistan. M7 pesa za US zitakuja kukutokea masikioni.
Real Estate ndo nini baharia?Mrangi mkuu unajua kuna siku ntakutafuta huko na exposure sana. Uligusiaga kidogo biashara yako ya real estate Canada kwenye comment flani hivi. Nikasema huyu si mwenzetu. Ila unakausha hujioneshioneshi.
Kabisa na hao wengi walikuwa wanafanya kazi Za ukalimani,upishi n.k kwenye Kambi za Jeshi za USA ,wengi wanaofia maisha yao baada ya Talaban kuchukua nchi.USA imewahaidi kuwapa makazi USA ila mbali na kupata chanjo ya Corona,wanatakiwa kuwa Vetting na FBI na CIA ndo waweze ingia USAMarekani wamemwomba raisi Museven awahifadhi kwa muda kabla hawajapelekwa Marekani.
Wapo 2000 na wote inabidi wapimwe COVID-19 wawe documented maana wengine waliingia tu kwenye ndege.
Hivyo wapo kwenye Transit Uganda itapiga mpunga wa kutosha hapo.
Ni shughuli ya miezi mitatu na nchi zingine zitaleta watu hao hapo Uganda.
Marekani itagharamia kila kitu.
Hahahahhahahahah kmmmk walai 😂😂😂😂😂 kwani hazifai kwenda au?Yaani we ulitegemea zile sura wazipeke Washington?
Afadhali. Nimefarijika kusikia hivyo. Wanastahili kupata makao mapya bora zaidi kuliko walikotoka.Marekani wamemwomba raisi Museven awahifadhi kwa muda kabla hawajapelekwa Marekani.
Wapo 2000 na wote inabidi wapimwe COVID-19 wawe documented maana wengine waliingia tu kwenye ndege.
Hivyo wapo kwenye Transit Uganda itapiga mpunga wa kutosha hapo.
Ni shughuli ya miezi mitatu na nchi zingine zitaleta watu hao hapo Uganda.
Marekani itagharamia kila kitu.
hao nao makafiri tu maana wanapingana na maandiko ya quran[emoji2]Wataleban hawana utani kwenye Sharia Ukizini unapigwa mawe hadi unakufa na ukiiba wanakata mkono. Wanawake wote hakuna kufanya kazi za kuajiriwa wote ni mama wa nyumbani kazi yao moja tu na inajulikana.
amekaa bongo kwa muda gani? au mzawaHahaha,msema kweli mpenzi wa mungu
Kwa waliyokulia kulia kino %35 wamekanyaga iran[emoji23][emoji23][emoji23]
Ah poa tutafutane
Nakuambia hawo wa Afghan wamekuja afrika
Ni kama chura kapigwa take
Maana kna mafgan mmja yuko mbeya igurusi analima sana mpunga anakuambia afrika ndiyo
Kwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Yaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan au warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa. Any way ngoja nikatafute toto la kiarabu Uganda...
Nafikiri ni muda wa kutafta hifadhi kwa mzee Yoweri Kaguta 😅😅😅 mchongo wa kuzamia US umeivaMarekani wamemwomba raisi Museven awahifadhi kwa muda kabla hawajapelekwa Marekani.
Wapo 2000 na wote inabidi wapimwe COVID-19 wawe documented maana wengine waliingia tu kwenye ndege.
Hivyo wapo kwenye Transit Uganda itapiga mpunga wa kutosha hapo.
Ni shughuli ya miezi mitatu na nchi zingine zitaleta watu hao hapo Uganda.
Marekani itagharamia kila kitu.
Hawajadanganywa mkuu ikifika issue ya Asylum mabeberu wanajitahidi sana kuwa fair.Hao wamedanganywa tu,uzuri mda haujawahi kudanganya , tutarud humu kufungua thread za masikitiko
Biashara za kuuza na kununua nyumbaReal Estate ndo nini baharia?
Ni muhimu sana nyie pambaneni na Tozo sie wacha tukale kuku wa UNHCR hapo wakati tukisubiria pipa la kwenda USAJamaa zetu flani baada ya kusikia hiyo issue ya Uganga wameondoka fasta niw wapo namanga wanachanja mbuga to Entebe
Isije ikawa Wanapelekwa kongo kufanya ukatili....!Yaani we ulitegemea zile sura wazipeke Washington?
Mkimbizi Uganda anaruhusiwa kufanya kazi ya kujikimu na uhuru wa kutembea(hafungiwi kambini)Ni kawaida Uganda kuhost wakimbizi. Uganda ni miongoni mwa nchi zenye rekodi ya kuhost wengi zaidi Duniani.
Hai sehemu gani hasaHapa wilaya ya Hai kuna wasomali walimwaga miaka mingi hiyo Hadi Leo kunaitwa kwa wasomali wamechanganyika na wamaasi na ndio mji umekua balaa uwezi amini