Uganda imekubali kuwapa raia wa Afghanistani hifadhi ya ukimbizi

Uganda imekubali kuwapa raia wa Afghanistani hifadhi ya ukimbizi

Mkuu usilaumu sana. Hao wote hawatakaa Uganda maishani mwao yote. Watakuwa chini ya UNHCR. Baada ya paper works kukamilika watatawanywa kila mmoja ama familia nchi tofauti tofauti zilizoendelea Australia, Marekani, Canada, Uingereza EU. Na sio wao wataamua ni nchi gani wanaenda.

Process itachukuwa muda kwaanzia miezi 12 hadi miaka 5. Wa Afghanistan wanaofanya kazi UNHCR watakuwwpo hapo kufacilirate kila kitu wakisaidiana na wafanyakazi wengine.

Halafu kwa Museveni ni hela ndefu atapata sana kwa kipindi hicho. Hao Waafghanistan watapokea msaada wa fedha na malazi kwa kipindi chote wakisubiri kuwaresettled hawajapoteza chochote kabisa.

Kumbuka pia majeshi ya Ethiopia jamii ya Tigray walioenda kulinda amani Darfur na kwengineko wote kwa mamia wako Uganda kama wakimbizi wakisubiri ni nchi gani watapelekwa.
Wasijali watakula sosho.
 
Naomba nisaidie kuna kitu kinanitatiza. Taliban wamechukua nchi ila tofauti na vikundi vingine vya ukombozi vinapopigania ukombozi huwa wanaungwa mkono na wananchi ila Taliban ni tofauti nini tatizo?
Mkuu nadhani hawaungwi mkono na Wananch wengi kwasababu ya Sheria tofauti kali za kiislam Sharia (form of sharia Islamic law based on fundamentalism and militant Islamism) ambayo imechanganyikana na mila na Desturi za kabila la Pashtun kwasababu asilimia 98 ya Wataliban ni Pashtun. Wako kivyao.
 
Mkuu nadhani hawaungwi mkono na Wananch wengi kwasababu ya Sheria tofauti kali za kiislam Sharia (form of sharia Islamic law based on fundamentalism and militant Islamism) ambayo imechanganyikana na mila na Desturi za kabila la Pashtun kwasababu asilimia 98 ya Wataliban ni Pashtun. Wako kivyao.
Nashukuru kwa kunielewesha mkuu, ngoja tuone vuta nikuvute yao itakuwaje.
 
Marekani wamemwomba raisi Museven awahifadhi kwa muda kabla hawajapelekwa Marekani.

Wapo 2000 na wote inabidi wapimwe COVID-19 wawe documented maana wengine waliingia tu kwenye ndege.

Hivyo wapo kwenye Transit Uganda itapiga mpunga wa kutosha hapo.

Ni shughuli ya miezi mitatu na nchi zingine zitaleta watu hao hapo Uganda.

Marekani itagharamia kila kitu.
Umeona mkutano wa uongozi wa Taliban na waandishi wa habari leo? Wamesema watasamehe kila kitu na hakuna kulipa kisasi. Sana sana naona wakikaa Uganda kwa muda halafu hali ya Afghanistani ikionekana ni nzuri warudishwe.
 
Naomba nisaidie kuna kitu kinanitatiza. Taliban wamechukua nchi ila tofauti na vikundi vingine vya ukombozi vinapopigania ukombozi huwa wanaungwa mkono na wananchi ila Taliban ni tofauti nini tatizo?
Ujue kuwa Taliban ni wa kabila moja, Pashtun, wanafuqtq siasa kali za sheria za Kiislamu. Zamani walisaidiwa na watu wa mataifa mengine kama Al Qaeda. Wanakubatia Uislamu kuendesha nchi. Sharia kali. Wale wenzao pamoja na kuwa pia ni waislamu hawakubatii Sharia. Hivyo Taliban hawapendeki nchini kwao.

Tatizo la suala la sasa ni kuwa wanajeshi wa serikali wenyewe walikuwa hawapendi Wamarekani hivyo wakaona heri zimwi likujualo. Ambalo ni Taleban.
Wamarekani walipooondoka majeshi ya serikali yalikuwa yanasalimu amri bila mapigano yoyote. Ndio maana ikawa rahisi Taliban kuteka nchi.
 
Yaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan au warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa. Any way ngoja nikatafute toto la kiarabu Uganda...
M7 amelipwa pesa nyingi kuwapokea, sio hivi hivi tu
 
Yaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan au warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa. Any way ngoja nikatafute toto la kiarabu Uganda...
Hhhhhh
Hatari sana
 
Mkuu nadhani hawaungwi mkono na Wananch wengi kwasababu ya Sheria tofauti kali za kiislam Sharia (form of sharia Islamic law based on fundamentalism and militant Islamism) ambayo imechanganyikana na mila na Desturi za kabila la Pashtun kwasababu asilimia 98 ya Wataliban ni Pashtun. Wako kivyao.
Na ukifuatilia hili swala,hofu kubwa inakuja kwenye uvunjifu wa haki haswa kwa wanawake na watoto. Maana wananchi wengi wanaijua shughuli ya hawa jamaa, japo jamaa kwa wakati huu ni kama wamekuja kwa mrengo tofauti na wanatafuta kuungwa mkono na jamii ya kimataifa


Sasa kwa wanayosema leo na kuyaahidi kuwa watayasimamia, hamna mwenye uhakika kama ndiyo yatatokea, ndio maana wengi wana hofu.
 
Ujue kuwa Taliban ni wa kabila moja, Pashtun, wanafuqtq siasa kali za sheria za Kiislamu. Zamani walisaidiwa na watu wa mataifa mengine kama Al Qaeda. Wanakubatia Uislamu kuendesha nchi. Sharia kali. Wale wenzao pamoja na kuwa pia ni waislamu hawakubatii Sharia. Hivyo Taliban hawapendeki nchini kwao.

Tatizo la suala la sasa ni kuwa wanajeshi wa serikali wenyewe walikuwa hawapendi Wamarekani hivyo wakaona heri zimwi likujualo. Ambalo ni Taleban.
Wamarekani walipooondoka majeshi ya serikali yalikuwa yanasalimu amri bila mapigano yoyote. Ndio maana ikawa rahisi Taliban kuteka nchi.
Naamini hapa kuna kitu kilikuwa kinaendelea. Maana jana Biden amefanya press conference na alisema kwamba Marekani ilitoa mafunzo yote ya kijeshi kwa wanajeshi wa jeshi la Afghanistan ikiwepo hadi jeshi la anga. Tafsiri yake ni kuwa serikiali na jeshi walikuwa wana silaha nzito na za kisasa ukilinganisha na Taliban.

Akasema Marekani haiwezi kuendelea kupigana vita ya kufa na kupona ilhali wanajeshi wa nchi husika hawako tayari kupigania nchi yao.

Ila pia inasemekanika kuwa pamekuwa na rushwa sana ndani ya serikali na kupelekea polisi na wanajeshi kutolipwa stahiki zao kwa muda mrefu. Hii imepelekea hawa watu kuona hamna faida ya kundelea kujiweka rehani maisha yao ilhali hamna wanachopata.
 
Back
Top Bottom