Uganda kuidhinisha Kiswahili kama lugha ya pili baada ya Kingereza - Wakenya fursa hizooo

Uganda kuidhinisha Kiswahili kama lugha ya pili baada ya Kingereza - Wakenya fursa hizooo

So people are just sitting around idly waiting to laugh at peoples accents? How small and ignorant of them! To me personally, I don’t care if someone has an accent or not...I am not going around as a dictionary correcting peoples grammar...How does someone’s accent add or subtract anything substantial from my life? I think it is immature,petty, ignorant and nonsensical to laugh or demean someone based on their accent...There are better more important things to worry about than the perfection of a language...What’s important to me is what increases my wealth monetarily and intellectually...So these language wars are simply nonsensical to me period...
Well said Logania. Be blessed!
 
So people are just sitting around idly waiting to laugh at peoples accents? How small and ignorant of them! To me personally, I don’t care if someone has an accent or not...I am not going around as a dictionary correcting peoples grammar...How does someone’s accent add or subtract anything substantial from my life? I think it is immature,petty, ignorant and nonsensical to laugh or demean someone based on their accent...There are better more important things to worry about than the perfection of a language...What’s important to me is what increases my wealth monetarily and intellectually...So these language wars are simply nonsensical to me period...
Kwahiyo hiyo "gikuyu accent" yako uchwara utakuwa unaicharaza popote bila matata?
 
Kwahiyo hiyo "gikuyu accent" yako uchwara utakuwa unaicharaza popote bila matata?
I am actually Tznian....I don’t have that accent but refuse to look down on anyone’s accent....Like I said it is shallow, petty, ignorant and discriminatory...Those are qualities I despise...Accents are not a measure of intelligence nor success...Everybody should be proud of their accent...

Like I said earlier Language is a medium of communication...It doesn’t have to be perfect so long as you get the message across...Just because a Frenchman speaks English in a French accent doesn’t make them inferior...So when a Congolese, Rwandese, Kenyan etc speaks Kiswahili in their accents it doesnt make them inferior either...Fighting over proper diction of widely used Language is petty and ridiculous....
 
We komaa na kisukuma buda...mababu zako wakifufuliwa watakushangaa unaongea lugha gani
"aisei"nahisi kama kijaluo vile wakenya bwana [emoji23][emoji23][emoji23] alama za uandishi zingatia wewe ambae bado unajifunza humu jf .naona mmelishwa unga wa ndwele mnahisi kingereza kama lugha za babu zenu vile
 
We unajua maana ya official language...ama unapiga domo tu...

Wakati mwengine kaa ukitumia ile 1% basi..
Katiba ya Kenya imetamka wazi wazi kwamba lugha ya taifa Kenya ni Kiswahili, hakuna mahali popote katika katiba yenu panaposema lugha rasmi ya shughuli za serikali ni Kiingereza, acha uongo.

60% ya wakenya hawakifahamu kiingereza kwa ufasaha, sasa kama serikali lugha yake rasmi ni kiingereza, serika ya Kenya ni kwa ajili ya 40% pekee?
 
Kweli kabisa mkuu...uandishi wenyewe ni balaa...
Hauwezi ukaijua lugha bila kuitumia, tena ukubwani, yaani unakumbana na Kingereza kuanzia kidato cha kwanza, halafu haukitumii kwenye mawasiliano, hicho kidogo unachofundishwa kinakutoka mara moja.
Lugha yoyote ile lazima uitumie mara kadhaa ndio uje kuimudu. Mpo ovyoo sana kingereza watu wa ze ze ze, na hata Kiswahili uandishi wenu ovyoo sana.
Hamna lugha hata moja mliyoimudu, hadi zenu za asili, asilimia kubwa kati yenu hamjui hata salamu kwa lugha zenu za asili.
 
Ukwel ni kwamba...kingenge kina wakanganya watanzania...wengi wenu wanaondika na kuongea kingereza fasaha hasa hapa jf ni wale ambao walisomea nje ya nchi...
Lkn ukikutana na jamaa wa st kayumba utashangaa...utajiuliza huyu wa ni graduate kwel ama ananizengua tu...
Manake jamaa atangangania muongee kingereza wakati yeye hayumo kabisa...
Kwavile mnajidanganya Watanzania hawajui Kiingereza, bila kufahamu tofauti ya Watanzania na Wakenya, ni shobo kwenye lugha ya Kiingereza!!

Hivi kabisa unaamini mtu amesoma History, Swahili, and English kwa miaka 4, kisha akaenda A-Level akasoma History, Kiswahili, English (HKL),au (HGL) kwa miaka 2, kisha akaenda chuo akasoma ama Linguistic, BA, n.k, na kwa madogo wa siku hizi, wapo wengi sana waliosoma English Medium kuanzia shule ya msingi; lakini bado unaamini wote hao hawajui English?!

Unachekesha!! Unachekesha kwa sababu usichofahamu ni kwamba, wakati nyie mnaonea fahari kuongea Kiingereza hata pasipo na sababu za msingi, Watanzania wengi wanaamini kuongea Kiingereza pasipo na sababu za msingi ni ushamba na ulimbukeni!!

Kwa mfano, ukinikuta nimesimama kwenye kituo cha daladala ukaniongelesha Kiingereza, amini usiamini, ama sitakujibu, lakini nikikujibu basi nitakujibu kwa Kiswahili! Nitakujibu kwa hiyo lugha ya kigeni endapo tu utakuwa hufahamu Kiswahili!!

Halafu kingine usichokijua ni kwamba, Watanzania wengi tatizo lao ni kwenye Kiingereza cha kuongea lakini sio cha kuandika!!!

Kwenye kufundisha Kiswahili, Mfundishaji anahitajika kuwa na ufahamu wa kawaida wa lugha ya Kiingereza lakini anatakiwa kuwa na ufahamu wa juu wa Kiswahili, na sio ufahamu wa juu wa Kiingereza na ufahamu wa kawaida wa Kiswahili!!
 
Kweli kabisa mkuu...uandishi wenyewe ni balaa...

Unakuta Mtanzania amesoma hadi chuo kikuu, mwambie aandike ripoti kwa lugha yoyote atakayochagua yeye, kwanza Kingereza hatathubutu, na akiandika kwa Kiswahili utajikuta unapata kichefuchefu.
 
Ukwel ni kwamba...kingenge kina wakanganya watanzania...wengi wenu wanaondika na kuongea kingereza fasaha hasa hapa jf ni wale ambao walisomea nje ya nchi...
Lkn ukikutana na jamaa wa st kayumba utashangaa...utajiuliza huyu wa ni graduate kwel ama ananizengua tu...
Manake jamaa atangangania muongee kingereza wakati yeye hayumo kabisa...
Kiingereza cha nini wakati tuna Kiswahili kitamu kuliko chochote kile chini ya jua?

Kingenge tunajifunza ili kuongea na nyie majibwa ya kikoloni ambao bado mnababaika na minyororo ya wazungu.

Halafu hicho Kingenge chenyewe pia hamkijui. Ukijumlisha na lafudhi yenu ya gikuyu ndio kinyaa tupu! Madomo yenu mazitooo mno!

Sasa kwa kukusaidia tu, naomba nikupe kamusi mbili za Kiswahili pamoja na vitabu vya fasihi!

Kataa ukoloni!

Wanakucheka watu!
 
That’s all you got bro? Didn’t expect substance from you...Am sure MK254 isnt loosing sleep over me...
Kwanini unadanganya utaifa bwana mdogo! Kumbe unaona maujiko kuwa mtanzania? Hahahaaaa.....

Karibu tu!

Choma na kitambulisho chako cha Taifa cha Kinyang'au uje kwenye nchi ya maziwa na asali!
 
Kwanini unadanganya utaifa bwana mdogo! Kumbe unaona maujiko kuwa mtanzania? Hahahaaaa.....

Karibu tu!

Choma na kitambulisho chako cha Taifa cha Kinyang'au uje kwenye nchi ya maziwa na asali!
You let me down my fellow country man...Why are you so pressed with our neighbors? Get out more...It’s okay to be a Pan Africanist..You learn and navigate the world more intelligently when not prejudiced...Imma keep it classy and pray for you...
 
You let me down my fellow country man...Why are you so pressed with our neighbors? Get out more...It’s okay to be a Pan Africanist...Imma keep it classy and pray for you...
Ni sawa tu. We uje Tanzania bwana achana na hayo maviingereza yako!

Unakuja lini?
 
Ni sawa tu. We uje Tanzania bwana achana na hayo maviingereza yako!

Unakuja lini?
Domiciled here bro...Learn to embrace Africanism and Pan Africanism....There is more to life than perfecting a language....
 
Ukwel ni kwamba...kingenge kina wakanganya watanzania...wengi wenu wanaondika na kuongea kingereza fasaha hasa hapa jf ni wale ambao walisomea nje ya nchi...
Lkn ukikutana na jamaa wa st kayumba utashangaa...utajiuliza huyu wa ni graduate kwel ama ananizengua tu...
Manake jamaa atangangania muongee kingereza wakati yeye hayumo kabisa...
Yale yale... ushamba wa Kikenya! Kwamba kujua Kiingereza fasaha ndio usomi!!

Hata hivyo, Tanzania pia zamani kulikuwa na washamba wengi wa aina hiyo, na ndio maana enzi zetu tunasoma, baadhi ya wazazi wenye uwezo walikuwa wanapenda sana kupeleka watoto wao Kenya au Uganda kwa masomo kabla ya baadae hawajishituka!!

Btw, hivi kuna Wakenya wangapi wanaojua Kiingereza fasaha?! Wengi wao ukiwasililiza au kusoma kazi zao unakumbana na makosa kibao ya grammar halafu unataka kujiweka kwa wazungumzaji wa Kiingereza fasaha?!

Kama nilivyosema hapo awali, sio Wakenya wote wanaofahamu vizuri lugha ya Kiingereza! Majority, wanaoongea Kiingereza cha kuunga unga tu na, na kwa wale wa vijijini, na hata miji midogo, wanategemea zaidi Kiswahili (ambacho ni chenyewe ni kibovu ) kama lugha ya mawasiliano kuliko Kiingereza!!

Na hata hao wanaotumia mara kwa mara Kiingereza, na wenyewe sio wote walio fluent! Wengi wao level yao ni conversational English.
 
Hujafuzu kupewa mtihani wa Kiswahili.
Kwa sasa unapaswa kupewa mafunzo ya silabi na irabu!
...Kana kwamba sijawahi kaa darasani na kufundishwa. Silabi,konsonanti na irabu huna cha kunifundisha hapo.
Nilishangaa nyie wenye kiswahili hamjui mnyambuliko wa vitenzi, visawe, vitawe, kutofautisha r,l,dh,z,th,s
Afadhali wenye lafudhi na wanajua kuandika.
Amini usiamini kipindi nipo shuleni nilisoma vitabu vingi sana vya fasihi ambavyo vimeandikwa na wakenya na wabongo.Kusema kweli hadithi za waandishi wa Tanzania ni tamu sana lakini kwa uandishi mzuri na matumizi ya misamiati Walibora yupo vizuri (sisemi hivi kwa sababu ni mkenya
Kwa kuongea kiswahili mmetushinda hapo siwezi pinga..
 
We komaa na kisukuma buda...mababu zako wakifufuliwa watakushangaa unaongea lugha gani
afadhali nimempeta mjaluo mmoja humu jf.mababu zako watakushangaa wewe ambae bado unatumia lugha ya mabwana zako(wakoloni)wakati wenzio wako huru .kiswahili kina 64% ya lugha za kibantu(lugha za makabila) ni lugha mama kwangu.unaweza ukanipa mfanano wa kingereza na Kikuyu or jaluo language

Bantu from north zone of tz
 
Back
Top Bottom