Uganda kuidhinisha Kiswahili kama lugha ya pili baada ya Kingereza - Wakenya fursa hizooo

Uganda kuidhinisha Kiswahili kama lugha ya pili baada ya Kingereza - Wakenya fursa hizooo

Bro hujui kiswahili nakwambia
"kuropokwa" kweli kiswahili waachie wenyewe utaumia
ccm wamekuchukulia mmeo nini![emoji33]
20190917_183610.jpeg
 
Du maisha yangu yoote toka nina miaka 2 naongea kiswahili lakini sijawai kukutana na maneno haya ,mwanzoni nilidhani kamusi ya kilugha cha kabila flani kumbe kiswahili. Leo ndo nimejua kama wakenya hawajielewi ,Eti lugha hawaijui vizur na bado wanatunga kamusi harafu mtu akikosea anakimbilia katika kamusi ambayo imetungwa na mbumbumbu hahahaha huruma kweli!!.
Bro hujui kiswahili nakwambiaView attachment 1209930
 
Heheeee!!!wacha kulia lia..byda..hao unaowatukana waangalie vizuri katika hilo pachiko hko chini kabisa...[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Ndio inamaanisha watanzania hamjui kiswahili ..kw sababu ukikutana na mtu wa mombasa..huwez sikia hta siku moja akikwambia eti hilo neno sijawai liskia...bali tu atakwambia linafaa kutumika hv au kuandikwa vingine...

Ndio nimeamini sasa km kiswahili hakiwahusu..waachieni wa pwani bana
Du maisha yangu yoote toka nina miaka 2 naongea kiswahili lakini sijawai kukutana na maneno haya ,mwanzoni nilidhani kamusi ya kilugha cha kabila flani kumbe kiswahili. Leo ndo nimejua kama wakenya hawajielewi ,Eti lugha hawaijui vizur na bado wanatunga kamusi harafu mtu akikosea anakimbilia katika kamusi ambayo imetungwa na mbumbumbu hahahaha huruma kweli!!.
20190918_094138.jpeg
 
Vema, vyema, hivo, hivyo, mnabishana nini mbona Sijaona tatizo kwenye haya maneno ila inategemea umetumia katika aina ipi ya sentence .
Heheeee!!!wacha kulia lia..byda..hao unaowatukana waangalie vizuri katika hilo pachiko hko chini kabisa...[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Ndio inamaanisha watanzania hamjui kiswahili ..kw sababu ukikutana na mtu wa mombasa..huwez sikia hta siku moja akikwambia eti hilo neno sijawai liskia...bali tu atakwambia linafaa kutumika hv au kuandikwa vingine...

Ndio nimeamini sasa km kiswahili hakiwahusu..waachieni wa pwani banaView attachment 1210363
 
We ropoka tu..lkn ukwel huu hapa chini...View attachment 1210192
"we ropoka tu"hapa umetambua tofauti kati ya "kuropokwa" na "kuropoka"wenzio kina MK254 tunawaelekeza wanaeleza.tatizo unataka kuonekana unajua .hapo kina kauli ya kutenda na kutendeshwa.
Ushauri:tumia kamusi ya kiswahili sanifu(kiswahili-kiswahili),hiyo uliyonayo Haita kusaidia
 
Wacha kuropkwa bro...
Manake naona wajiropokea tu...
"we ropoka tu"hapa umetambua tofauti kati ya "kuropokwa" na "kuropoka"wenzio kina MK254 tunawaelekeza wanaeleza.tatizo unataka kuonekana unajua .hapo kina kauli ya kutenda na kutendeshwa.
Ushauri:tumia kamusi ya kiswahili sanifu(kiswahili-kiswahili),hiyo uliyonayo Haita kusaidia
 
'Vema' na 'hivo' napinga..labda uniletee ushahidi kw kamusi..
Kiilicho nishangaza mwenzako kasema ' 'vyema' ni kiswahili cha kenya...
Vema, vyema, hivo, hivyo, mnabishana nini mbona Sijaona tatizo kwenye haya maneno ila inategemea umetumia katika aina ipi ya sentence .
 
Sasa mbona hueleweki tena [emoji23][emoji23][emoji23]
Kamusi za kihuni hzo...kamusi zote kongwe hamna vitu vya kipuuzi km hvyo...eti "hiko"
Nilicheka sana...

Watanzania wengi wanashindwa kuyatamka hayo maneno...
 
Heheee...unaogopa...niletee kamusi ya maana...neno hata google ukiliandika halip[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yani kamusi verified zenye ziko mitandaoni haziyatambui hayo maneno...eti TUKI my foot[emoji1787][emoji1787]
Sasa mbona hueleweki tena [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unataka kuniambia VEMA sio neno la kiswahili?
Heheee...unaogopa...niletee kamusi ya maana...neno hata google ukiliandika halip[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yani kamusi verified zenye ziko mitandaoni haziyatambui hayo maneno...eti TUKI my foot[emoji1787][emoji1787]
 
Duh!!
Nakwambia wewe hujui kiswahili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1210680
wewe ni mjinga kupindukia ukitaka kureply unatafuta Google kwanza alafu uonekane unajua.
Nikwambie tu hata kugoogle kwenyewe hujui😏Google language imetofautisha kiswahili cha Kenya,Tanzania na Uganda
Unatafuta kuonekana unajua ila we kichwa panzi tu kichwani huna chochote.
 
Back
Top Bottom