Uganda: Rais Museveni amshukuru Rais Samia kwa kumruhusu kuuza sukari Tanzania

Uganda: Rais Museveni amshukuru Rais Samia kwa kumruhusu kuuza sukari Tanzania

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2018
Posts
2,490
Reaction score
3,584
Habari wadau!

Sasa kilio cha upungufu wa sukari kitapungua maana mama amefungua milango na kuamuru sukari iingie nchini.

Mubashara toka Kololo Uganda kupitia TBC 1 kwenye uapisho wa Rais Museveni .Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museven leo katika hotuba yake amemshukuru Rais wa JMT mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kwa kumruhusu kuuza sukari nchini Tanzania.

Asante mama tuna imani na wewe endelea kufungua milango yote iliyofungwa ili kazi iendelee.

Mitano tena kwa mama🙏🙏🙏

1620826099235.png
 
Huyu mama ni mkurupukaji sana, sijui hana washauri au hao washauri ndo wanamuingiza chaka, mweeeeeh

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Viwanda Vyetu Vyote vya Ndani so far Kiwango chao cha Juu cha Uzalishaji hakikidhi soko/Mahitaji yetu ya Ndani.

Ndio maana tangu soko lilivyoyumbishwa kipindi fulani Bei imebaki juu hadi leo.

Hivyo haikwepeki kwa Sasa kuagiza Sukari nje huku tukiwa tunaboresha viwanda vya Ndani ili viongeze uzalishaji kulingana na mahitaji yetu.

Ni Bora Kuagiza Sukari Kutoka Uganda kwa Majirani zetu EA kuliko ilivyo sasa ambapo Sukari inayoingizwa kutoka nchi za Nje inatoka Brazil na Nchi nyingine za Asia.
 
Hili Taifa linageuzwa soko badala la kiwanda.

Kila anakoenda Mama badala ya kuwela wawekezaji yeye analeta wachuuzi.
Watanzania kwa gumu yaani tungekuwa tunaongoza duniani. mbona sisi tuanuza mahindi Kenya. Sukari imepanda bei kelele soko linafunguliwa kelele. wacha walete muhimu mteja aweze kupata bei ya ushindani sio watu wachache ku monopolize soko. Gubu tu Mungu katujalia.
 
Back
Top Bottom