TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari wadau!
Sasa kilio cha upungufu wa sukari kitapungua maana mama amefungua milango na kuamuru sukari iingie nchini.
Mubashara toka Kololo Uganda kupitia TBC 1 kwenye uapisho wa Rais Museveni .Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museven leo katika hotuba yake amemshukuru Rais wa JMT mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kwa kumruhusu kuuza sukari nchini Tanzania.
Asante mama tuna imani na wewe endelea kufungua milango yote iliyofungwa ili kazi iendelee.
Mitano tena kwa mama🙏🙏🙏
Sasa kilio cha upungufu wa sukari kitapungua maana mama amefungua milango na kuamuru sukari iingie nchini.
Mubashara toka Kololo Uganda kupitia TBC 1 kwenye uapisho wa Rais Museveni .Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museven leo katika hotuba yake amemshukuru Rais wa JMT mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kwa kumruhusu kuuza sukari nchini Tanzania.
Asante mama tuna imani na wewe endelea kufungua milango yote iliyofungwa ili kazi iendelee.
Mitano tena kwa mama🙏🙏🙏